Naenda bao moja tu, halafu sirudii, nifanyaje?

Naenda bao moja tu, halafu sirudii, nifanyaje?

Pole sana mkuu.Mabao hayahusiani kabisa na mapenzi ya kweli watu ndo tumekariri vibaya.Mwanamke akiamua kukupenda hata kama una nusu bao haijalishi.Cha msingi mjali kwa vitendo labda kama unatoka na wasichana tofaut tofaut.Ila kama ni mmoja mpende na umjali wala hiyo sio issue ya kukupa stress.Jiamini tuu labda baadae yataongezeka ila sio suala la kukupa stress.

Acha kumdanganya mwenzio,
Kwenye 6 kwa 6 ndio mahala pa kuonesha urijali wako,
kama kusimamisha tu masaa mawili uchezewe weeeh baadae kuchomeka dkk 1 umemwaga na huwezi kurudi tena,
Yani hata uhonge mbingu, mwanamke atakukimbia tu.
 
Mpe ukweli Mkuu, mimi sijatembea na wanawake wengi saana ila kwa niliowahi date nao nimegundua kwamba wengine wakikupenda wamekupenda kweli.
Mbona huwa inatokea mwanamke au mwanamme anampenda sana mtu flani lakini hawajawahi kufanya sex!? Hiki kitu kipo.
Tatizo watu wengine wanajua mahusiano ni sex tuu!!

Sex ni starehe 'burudani' sasa kama mmeanza sharti mmburudishane,
Na hao uliokua nao kama walikupenda sana mbona mliachana.

Kaza msuli mwanaume, onesha urijali wako katika 6 kwa 6.
 
achana na nyama, na makuku ya kisasa na mafuta ya cholestrol , penda sana kula chakula cha baharini yaani samaki wa kuchemsha kwa sana. itakusaidia vyakula vinachangia sana. na susisahau kufanya mazoezi. utakaa poa tu kijana, halafu sio lazma upige bao kumi kijana fanya mautundu kwa sana ukiwa ktk sita kwa sita sio lazima kuchu kuchu kuchu kuchu mwisho mtachubuana,
 
Nazani wazima memba wenzanguni.
Nikikutana na Malkia Elizabeth kunako sita kwa sita huwa naenda bao moja tu! Sirudii tena nini tatizo? na nifanyeje ili niendege bao tatu au kumi nakuendelea nitakapokuwa na Mamito wangu?
Ushauri taphazali!!!
una stress sana, una hofu, una mawazo, hauli ushibe?????
Jaribu kula ushibe halafu inategemea pia figure ya huyo mwanamke.
 
Sex ni starehe 'burudani' sasa kama mmeanza sharti mmburudishane,
Na hao uliokua nao kama walikupenda sana mbona mliachana.

Kaza msuli mwanaume, onesha urijali wako katika 6 kwa 6.
Mkuu wewe unapigwa ngapi?
 
Nazani wazima memba wenzanguni.
Nikikutana na Malkia Elizabeth kunako sita kwa sita huwa naenda bao moja tu! Sirudii tena nini tatizo? na nifanyeje ili niendege bao tatu au kumi nakuendelea nitakapokuwa na Mamito wangu?
Ushauri taphazali!!!
Rafiki yangu mpendwa, usijejiona kuwa una matatizo, kwanza kabisa kama huyo malkia wako hakulaumu kwa hali hiyo na analidhika wewe kuwa na amani.. Kuna mambo mawili ya kuzingatia pale unaposikia eti fulan anapiga raundi nyingi.

Moja: kuna kitu watalaam wanaita "ejaculation without orgasm" yaan mtu anatoa mbegu (sperm) lakin hajafika kileleni...hawa kulingana na takwimu ndo walio wengi na pia ndio utakuta wanajisifu kuwa anafika kileleni Mara kibao. Lakin Ku uhalisia ametoa "sperm" tu bila hajafika kileleni.

Mbili: "ejaculation with orgasm" hapa mwanaume hutoa sperm na pia wanakuwa amefikia kileleni. Hawa Mara nyingi hawezi kufanya raundi nyingi kama hao nilizungumzia hapo juu. Na kuna kitu sayansi imakiita "refractory period" ni muda wa kuanzia nusu SAA had I SAA mzima ambapo uume unalala baada ya ejaculation with orgasm.

More important ni kwamba pale unapomfikisha huyo malikia wako naye akalidhika kwa round hiyo moja, bado uko upande sahihi. Pia inawezekana sana malkia wako kufika kileleni Mara nyingi zaid wakati huo mwanamme akiwa amefika Mara moja.

Asante!
 
Kwani malkia wako anataka ngapi?
Unasema unataka uende 3 au 10, kwani hiyo ni dose unayoandikiwa na daktari?

Tatizo lako ni lipi, wewe au mwenzi wako kuridhika au idadi?

Naaaam hayo nayo ni maswali muruwa
 
More important ni kwamba pale unapomfikisha huyo malikia wako naye akalidhika kwa round hiyo moja, bado uko upande sahihi. Pia inawezekana sana malkia wako kufika kileleni Mara nyingi zaid wakati huo mwanamme akiwa amefika Mara moja.
Asante!

Hapo ndio nilikua napataka, ndio maana kila mara nilikua namuuliza suala sio mara kumi wala mara moja, Je wote wanaridhika? Hilo ndio jambo la muhimu, nashukuru kwa kuelezea kwa ufasaha mkuu.
 
NOPE HIYO MAMBO NASIKIA BULLS' BALLS NDIO INASAIDIA, PIA INASAIDIA KUONGEZA MASCULINITY KIUJUMLA

Kama huo ndio ukweli inamaana kuna haja ya kuchunguza hizo balls zina virutubisho gani? Kama ni protein kwa wingi au mafuta ili kuweza kujua mbadala wa hivyo vitu unapatikana kwenye vyakula gani vingine. Shukrani mkuu
 
Starehe gani hiyo ukibugi step tu unapata ngoma.ukipata ngoma utasema kwanini hata ulizaliwa lijari.ngoma inatesa jamani dahhhh
 
Acha kumdanganya mwenzio,
Kwenye 6 kwa 6 ndio mahala pa kuonesha urijali wako,
kama kusimamisha tu masaa mawili uchezewe weeeh baadae kuchomeka dkk 1 umemwaga na huwezi kurudi tena,
Yani hata uhonge mbingu, mwanamke atakukimbia tu.

Maneno kuntu
 
Back
Top Bottom