Naenda bao moja tu, halafu sirudii, nifanyaje?

Naenda bao moja tu, halafu sirudii, nifanyaje?

Nazani wazima memba wenzanguni.
Nikikutana na Malkia Elizabeth kunako sita kwa sita huwa naenda bao moja tu! Sirudii tena nini tatizo? na nifanyeje ili niendege bao tatu au kumi nakuendelea nitakapokuwa na Mamito wangu?
Ushauri taphazali!!!
Inategemea hilo moja unatumia muda gani kama nusu SAA au dk 45 sawa tu. Lkn kama hicho kimoja unatumia sekunde hapo kunatatizo? Fanya sana mazoezi upate pumzi.
 
Kumbe wewe mjinga ni hizi stress ambazo huwa zinakusumbua hadi unanitukana kila wakati?
Nilifikiri unavuta bhange,poor you!

BTW hapo hakuna ushauri zaidi ya kujiweka sawa kisaikolojia kwamba UNACHAPIWA!
Wewe unapigwa vingap? Ili jamaa yako asichapiwe eksipiriensi.
 
Kulidhika kwa malkia sio lazima upige bao 3 au kumi hizo ni fikra mbovu huko unatafuta kuchubuana tu na hakuna starehe yoyote cha msingi ongeza mautundu tu kwa kitanda zijue mbinu za kumfikisha mwenza wako usichokifaham mwanamke unaweza ukamfanya mara moja tu yani kwa lile bao moja tu na akalizika tena sana na unaweza ukamfanya zaidi ya mara tatu usimridhishe sana sana ukamuumiza tu na kumsababishia michubuko.....litumie kiufundi bao la kwanza jua namna ya kumuandaa mwenza wako zijue sehemu zake za mwili ambazo ukimshika anapoteza network na kuhisi yupo peponi hakikisha unazing'an'gania hizo sehemu mpaka mwenza wako akojoe yeye mwenyewe pasipo kuingiza kirungu chako mfanyie hivyo mpaka utakapoona amelegea viungo vyote vya mwili na hajiwezi tena baada ya hapo unaweza ukapanda kwa kifua kuendeleza mechi jitahidi kubadili badili style usiwe mvivu itakusaidia wewe kuwa strong zaidi na kutokumaliza haraka tendo kwa mara ya kwanza
Wewe ndio umemshauri vizuri sio nifah.
 
Tatizo la kupungua kwa nguvu za kiume kwa vijana wa siku izi limekuwa ni janga la kitaifa..humu ndani kuna nyuzi zaidi ya kumi na tano za watu tofauti wanalalamika kukosa nguvu za kiume..!
 
Nifa ukolofi sitaki kabisaaaaaaaa kama hauna ushauri bora usingecoment,Kama ungekuwa Wa huruma si unipe wew madudu yako ya chupini ni naniiii!
hahaha nilikuwa nataka nijue kuwa unamporomoshea mitus ila hayo majibu yako tu.... ila nifah lakin na ww leo umemuanza huyu leo au ulikuwa na dukuduku
 
Mnamtia maumivu tu.
Vipi malkia anasemaje, au ukishapiga unageuka. huwa mnaongea kuhusu hilo tendo. Km hamshirikishani ni vigumu kujua hisia zake, na ni vigumu pia kupata ufumbuzi.
 
hahaha nilikuwa nataka nijue kuwa unamporomoshea mitus ila hayo majibu yako tu.... ila nifah lakin na ww leo umemuanza huyu leo au ulikuwa na dukuduku
Hhahahahaa lakini si umeona mwenyewe majibu yake mkuu?
Mimi nilikuwa sijajua kama jamaa ana stress namna hii.
 
Mwanangu nakupa tizi la kijeshi na msosi Wa maana.

Amka asubuhi kimbia 60-80 KM.. Ukiweza hata 120- 145 KM.

Piga sit ups, push ups na kuruka kamba.

Kunywa maji Lita 3-6 kwa siku, ila sio kwa Mara moja.

Kula mihogo, mibichi na ya kupikwa.. Epuka mafuta.

Mboga za majani za kutosha.. Usiweke mafuta, labda karanga.

Uyoga Wa porini mtamu

Matunda, achana na juice za azam

Lala mapema, amka mapema.

Acha stress za kisenge

Omba Mungu pia.

Kila la kheri komando.
Sijui kwanini kila nikifungua hii thread narudia kusoma hii comment!!!
 
Jamani narudia.Mabao hayahusiani na mapenzi tuache kukariri.Mimi nina karama ya kuwashauri watu katika mahusiano .Na nimewashauri wengi sana sometime huwa najishangaa .Kiasili wanawake tulitakiwa kulala na mwanaume mmoja tuu ili hata tusijue size ya mwingine ikoje na idadi ya mabao sijui kitu gani, utandawazi umetuharibu sana.Mwanamke akiamua kukupenda atakustahi hata kama hauna bao kabisa.Watu kibao wameolewa na wanaume wana mapungufu makubwa kuliko hata habari ya mabao.Cha msingi ni kumuomba Mungu akupe ubavu wako.Wanawake tumeumbwa kuaccept love.Maana yake ni kwamba mwanaume akishakupenda ukimkubali nakwambia hata kama ana mapungufu gani haijalishi utamstahi.Kinyume chake siku hizi hadi sisi tunweka vigezo kabisa jamani ndo maana tunaumizwa.Nasimamia ukweli kwamba mabao hayahusiani na mapenzi kwa sababu mapenzi sio ngono peke yake.
So Ikiwa Mwanaume Wako Uwezo Wake Ni Hivyo Asemavyo Mleta UZI!! Je Ww Kama Mwanamke Kamili Utaweza Kuvumilia Hayo!!!?? KILA Kitu Kina Nafasi Yake Na Raha Zake Ktk Mapenzi!!!! TUSIDANGANYANE HAPA!!! Na Hoja Ya Mleta UZI, Ni Kuomba Msaada, Kutokana Tatizo Lake La Kuingia Ktk Mapambano, Anaishia Kucheza Dk 15 Tu Za Mpambano Na PUMZI Kukata, MATOKEO Yake Hata Apumzike Vp, PUMZI Hairudi Kabisa!!! SASA Ikiwa Mpambano Ni Dk 90, Hizo Dk 75 Inakuwaje!!!
 
Nyota nayo inahusika... Unaweza kulazimisha mambo kumbe una Nyota ya Jogoo.
 
Nazani wazima memba wenzanguni.
Nikikutana na Malkia Elizabeth kunako sita kwa sita huwa naenda bao moja tu! Sirudii tena nini tatizo? na nifanyeje ili niendege bao tatu au kumi nakuendelea nitakapokuwa na Mamito wangu?
Ushauri taphazali!!!
Badirisha settings za kichwa chako,fanya mazoezi,kula vizuri(epuka junk food)bila kusahau maji ya kunywa then go to sleep!
 
Back
Top Bottom