Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 15,075
- 33,785
Una dawa nini🤔Umepona...?
Una dawa nini🤔Umepona...?
Tumia XPowerCaps na zaminocal.Kupata huduma piga 0620321041 au 0673758230Nadhani wazima memba wenzanguni.
Nikikutana na Malkia Elizabeth kunako sita kwa sita huwa naenda bao moja tu! Sirudii tena nini tatizo? Na nifanyeje ili niendege bao tatu au kumi nakuendelea nitakapokuwa na Mamito wangu?
Ushauri tafadhali!!!
Mi sielewi,napiga moja tu ila mpk mammy anaomba poo,moja masaa mawili plus na kilio utafkiri mtu anakufa humo ndani ikitoka hapo anakaa wiki mbili anachungulia tu papuchi km imerecoverAcha kumdanganya mwenzio "women need good sex" ukiona mwanamke anakupenda na hicho kinusu bao ujue kuna ambae anasimamia kucha hapo kwako anakuja kupumzika tu
Mkuu hizo ni tiba asili au made in Europe?Tumia XPowerCaps na zaminocal.Kupata huduma piga 0620321041 au 0673758230
me uwa napiga moja la heshima. kwa wife nikisema nitafte la pili ni dk 45 mpaka lisaa nipo kifuani .nikivaa condom inafka hata lisaa na nusu mpaka condom inakauka inachanika. kwa wife tshazoeana nikipiga changu kimoja cha ngurue mpaka sa 11asbuhiRafiki yangu mpendwa, usijejiona kuwa una matatizo, kwanza kabisa kama huyo malkia wako hakulaumu kwa hali hiyo na analidhika wewe kuwa na amani.. Kuna mambo mawili ya kuzingatia pale unaposikia eti fulan anapiga raundi nyingi.
Moja: kuna kitu watalaam wanaita "ejaculation without orgasm" yaan mtu anatoa mbegu (sperm) lakin hajafika kileleni...hawa kulingana na takwimu ndo walio wengi na pia ndio utakuta wanajisifu kuwa anafika kileleni Mara kibao. Lakin Ku uhalisia ametoa "sperm" tu bila hajafika kileleni.
Mbili: "ejaculation with orgasm" hapa mwanaume hutoa sperm na pia wanakuwa amefikia kileleni. Hawa Mara nyingi hawezi kufanya raundi nyingi kama hao nilizungumzia hapo juu. Na kuna kitu sayansi imakiita "refractory period" ni muda wa kuanzia nusu SAA had I SAA mzima ambapo uume unalala baada ya ejaculation with orgasm.
More important ni kwamba pale unapomfikisha huyo malikia wako naye akalidhika kwa round hiyo moja, bado uko upande sahihi. Pia inawezekana sana malkia wako kufika kileleni Mara nyingi zaid wakati huo mwanamme akiwa amefika Mara moja.
Asante!
[emoji16][emoji16][emoji16]Mama Eva utaliza watu humu , humu mengi ni magoli ya penalty tena moja moja bora point tatu