yani ndio tunaanza mitihani ya kwetu ya mwisho wa kumaliza kidato cha sita. Kuanzia tarehe 8 febr. Mpaka tarehe 14 febr ndo nitamaliza nitarudi jamvini sintakuwepo rasmi. Waliopo chuoni naombeni mniandalie makazi humo ndani.
You can send your wishes here.
Kazi njema na MUNGU AWABARIKI.
Mbwembwe kama hizi nilishazisikiaga sana...usijechanganyikiwa baada ya matokeoyani ndio tunaanza mitihani ya kwetu ya mwisho wa kumaliza kidato cha sita. Kuanzia tarehe 8 febr. Mpaka tarehe 14 febr ndo nitamaliza nitarudi jamvini sintakuwepo rasmi. Waliopo chuoni naombeni mniandalie makazi humo ndani.
You can send your wishes here.
Kazi njema na MUNGU AWABARIKI.
Kazana upate div. one uje UDOM ufaudu magorofa! Teh teh!
Assuming mtoa maada is 19 (which is the usual age for form 6 candidates) then 19 years ago you were roughly the same age as his/her age today. This in turn makes you 38, niamkie haraka hata kama am just 42 maana mimi NI MKUBWA WAKO sana tu