Nadhani ni kweli Rais Samia na makamu wake hawaivi

Nadhani ni kweli Rais Samia na makamu wake hawaivi

Isenye

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2024
Posts
1,605
Reaction score
4,263
Kwa sisi wataalamu wa ramli chonganishi,iko hivi leo kwenye uzinduzi wa bwawa la kufua umene lililojengwa na Hayati Magufuli, high table walikua wamekaa Samia na Nchimbi..Nchimbi akawa anajifanya kumchekesha Samia kinafiki ila Samia akawa hana muda nae kivile..

So naamini ni kweli hawa viongozi wawili hawako sawa kimahusiano.
 
Wewe unafikiri mwandishi wa gazeti hili anapata nguvu wapi??Umesahau yale ya Musiba?? Hakuna chombo chochote cha habari kinaweza kumbagaza makamu kama hivi bila kupata baraka kutoka kwa mkuu wake...Haiwezekani mwandishi apate kiburi kutoka kwenye mamlaka iliyo chini ya Makamu wa raisi
FB_IMG_1787307868172.jpg
 
Kwa sisi wataalamu wa ramli chonganishi,iko hivi leo kwenye uzinduzi wa bwawa la kufua umene lililojengwa na Hayati Magufuli, high table walikua wamekaa Samia na Nchimbi..Nchimbi akawa anajifanya kumchekesha Samia kinafiki ila Samia akawa hana muda nae kivile..
So naamini ni kweli hawa viongozi wawili hawako sawa kimahusiano.
Kuna ushahidi mwingine zaidi ya huu?
 
Kwa sisi wataalamu wa ramli chonganishi,iko hivi leo kwenye uzinduzi wa bwawa la kufua umene lililojengwa na Hayati Magufuli, high table walikua wamekaa Samia na Nchimbi..Nchimbi akawa anajifanya kumchekesha Samia kinafiki ila Samia akawa hana muda nae kivile..
So naamini ni kweli hawa viongozi wawili hawako sawa kimahusiano.
Mkuu ambatanisha hata na short video clip
 
Sasa kama hawaivi si amuue ijulikane moja anasubiri nini?
 
Wewe unafikiri mwandishi wa gazeti hili anapata nguvu wapi??Umesahau yale ya Musiba?? Hakuna chombo chochote cha habari kinaweza kumbagaza makamu kama hivi bila kupata baraka kutoka kwa mkuu wake...Haiwezekani mwandishi apate kiburi kutoka kwenye mamlaka iliyo chini ya Makamu wa raisi
View attachment 3655183
Waandishinwanajisahau sana. Hili gazeti litakuja kupotea.
 
Kwani katiba inasemaje kuhusu hilo?
Kazi ni kipimo cha utu
 
Wewe unafikiri mwandishi wa gazeti hili anapata nguvu wapi??Umesahau yale ya Musiba?? Hakuna chombo chochote cha habari kinaweza kumbagaza makamu kama hivi bila kupata baraka kutoka kwa mkuu wake...Haiwezekani mwandishi apate kiburi kutoka kwenye mamlaka iliyo chini ya Makamu wa raisi
View attachment 3655183
Watu huwa hawana akiba ya maneno na hawawazi mbeleni hiyo ndiyo shida kubwa , wanajisahau nawaza tu mara mkubwa puuu! Maana yake huyo wanaye mbagaza ndiye mshika mpini ajaye kikatiba, je? Watajifichaje labda ! Watu hawajifunzi kwa yule bwana aliye kuwa mkuu wa wilaya HAI zama za jiwe alivyo lia kama mtoto baada ya bosi wake kuanguka puu!
 
Wewe ndo mnafki mkubwa wewe.
Wale wapo pale kuongoza wajinga km nyinyi.
Wacheke au wanune wateja wao nyie hapo.
 
Back
Top Bottom