Wapigaji, wezi, matapeli, wavivu, walalamishi, majangiri, wahujumu uchumi, wenye viwanda vya uongo, wazembe, hao wote hawawezi kumpenda kamwe.
Kupiga cm sio tatizo ,Tatizo MTU Wa aina gani Na kwa mahala gani mkuu wa nchi huwa haongei Ovyo huwa Mara Nyingi ktk media za serikali kwa jambo linalohusu inchi kwakuwa Tasisi hiyo ni nyeti! Kupiga cm clouds nimepata shaka sana !hata wapigania uhuru wasingalikuwa na mawazo tofauti huenda hata sasa tungelikuwa bado watumwa
kumbe tuko wengi,Kupiga cm sio tatizo ,Tatizo MTU Wa aina gani Na kwa mahala gani mkuu wa nchi huwa haongei Ovyo huwa Mara Nyingi ktk media za serikali kwa jambo linalohusu inchi kwakuwa Tasisi hiyo ni nyeti! Kupiga cm clouds nimepata shaka sana !
Akina Mwire Obare ndo watu wakeMkuu anashindana na kina full migebuka, pido G pido guy na akina ummy kitwana... Kupiga piga simu kwenye mavituo ya redio.
Yeye kaanza kwa kutumia Lugha chafu,mfano kamtukana mwanangu KILAZA,unategemea huyuhuyo mwanangu akipata chance atamtukanaje?nijibu haraka.Nikweli Kwamba Kutoa Lugha Zisizona Staha Siyo Jambo jema kwa Viongozi wetu.
Tunaweza kukosoana pasipo Kutumia Lugha Ngumu na Zenye Kuvunjiana Heshima.
Hapa ni seme kwa Viongozi wote wana Haki ya Kuheshimiwa hata kama Tunawakosoa basi tuwakosoe kwa Lugha Rafiki na Zenye kupelekea Mlengwa kusikia na Kujirekebisha.
Maabara ikisema Mfalme ana minyoo sio kwamba imemtukana.
Mahakama ya mafisadi... kufungua mahakama ya mafisadi,
Mahakama ya mafisadi
Haaa haaaMaabara ikisema Mfalme ana minyoo sio kwamba imemtukana.
Ni hapo sasa iwe 'bila sababu yeyote'Mkuu, hao ni wa kuwasamehe bure kabisa! Ila saikolojia ndogo San inasema, ukiona watu wanachuki nawe bila sababu yoyote, basi kua kuna jambo zuri sana unalolifanya ambalo hawataki wewe ulifanye! Hao hawakutegemea kama yanayofanyika sasa yatafanyika na serikali hii, hivyo wanahasira kwakua mkate wao upo hatarini. Huu ni mwaka mmoja tu, bado kuna mingine minne mbeleni kwa kazi hii wote hao watapotea kwa kukosa cha kusema!
Cc: GENTAMYCINESioni ubaya wake, sioni kosa lake, sioni shida wala tatizo lake, bali naona chuki zenu, naona husuda zenu, naona utovu wenu wa nidhamu kwa kiongozi wa nchi, naona roho zenu mbaya na kukosa kazi za kufanya zaidi ya kukosoa tu kila kitu! nyie wenye sifa nilizozitaja hapo juu mmefanyia nini nchi hii????
Kila kitabu na zama zake, piga kazi JPM!!