GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,864
Mkuu kulikoni mbona umenitoa Canaan na sasa umenirudisha tena huku Misri?
Huo ndio ukweli,Wanaomchukia ni wezi, wapigadili, wauza madawa ya kulevya na wakwepakodi
Bila shaka wewe ni mtoto umeanza kukua na kusoma mitandao hivi karibuni. Zoea hata aliyetuumba anasemwa sembuse binadamu!Sioni ubaya wake, sioni kosa lake, sioni shida wala tatizo lake, bali naona chuki zenu, naona husuda zenu, naona utovu wenu wa nidhamu kwa kiongozi wa nchi, naona roho zenu mbaya na kukosa kazi za kufanya zaidi ya kukosoa tu kila kitu! nyie wenye sifa nilizozitaja hapo juu mmefanyia nini nchi hii????
Kila kitabu na zama zake, piga kazi JPM!!
Kwani ukitetea awamu hii bila kulinganisha na zilizopita kuna tatizo? Ulikuwa hujazaliwa lkn hata vitabu husemi? Basi hata macho huoni? Kweli kabisa utakuwa na mapungufu makubwa ya analysis ndani ya kichwa chako......Kwa uwazi wazi JPM anapiga kazi sana. Wapo wengi walipita wala hatukuona wamefanyi. Wengine walikaa kwenye nyadhifa kuu miaka 10, miaka 2 nk lakini siwezi kusema wamefanya nini hasa.
JPM yuko mwaka mmoja madarakani na nusu mwaka wa kibajeti lakini watu mapovu yamewatoka. Ndiyo maana huwa nahitimisha ni genge la wapiga dili na mafisadi wako kazini
Mtakuja kuomba kura hayo maneno weka akiba, hizo sio propaganda za kujibu hivyo unaweza ukawa unawapa point watu za kuwashinda mda mgumu utakapofika mana sio mbali........Wapigaji, wezi, matapeli, wavivu, walalamishi, majangiri, wahujumu uchumi, wenye viwanda vya uongo, wazembe, hao wote hawawezi kumpenda kamwe.
Huo utovu wa nidhamu aliuanza mwenyewe. Mimi siwezi kumwita mwanangu kilaza, kwangu hilo ni tusi kubwa. Siwezi kumuita mtu lofa na siwezi kutumia neno ubwege.Sioni ubaya wake, sioni kosa lake, sioni shida wala tatizo lake, bali naona chuki zenu, naona husuda zenu, naona utovu wenu wa nidhamu kwa kiongozi wa nchi, naona roho zenu mbaya na kukosa kazi za kufanya zaidi ya kukosoa tu kila kitu! nyie wenye sifa nilizozitaja hapo juu mmefanyia nini nchi hii????
Kila kitabu na zama zake, piga kazi JPM!!
Kweli mkuu wanafunzi wa vyuo walionyimwa mikopo ni wapiga dili...waliositishiwa ajira zao ni wapiga dili na wafanyakazi waliozuiwa vyeo kupanda ni wapiga dili ila waliokula pesa za rambirambi niwatukufu..hata wale walioonga nyumba za serikali kwa hawara zao ni watukufu..vilevile walioshiriki kwenye ufisadi ununuzi kivuko bagamoyo na wenyewe ni watukufuWanaomchukia ni wezi, wapigadili, wauza madawa ya kulevya na wakwepakodi
Nilikuwa najiuliza kama fedha zinakusanywa na TRA kama kodi kila mwezi, na tunaambiwa wanavuka lengo kwa maana kwamba pato la Taifa linaongezeka kila uchao; sasa kwa nini maisha ya leo afadhali ya Jana?? Naanza kupata jibu; kumbe sehemu kubwa ya kodi zetu inatuma kulipa posho ya wapambe kama huyu. Hivi huyo uliyemtaja amefanya mazuri tu hana mabaya? Mbona wewe unahibiri sifa tu bila kasoro? Yeye mwenyewe anajua siyo Mungu kwa hiyo kuna mahali amekosea na pengine amefanya vizuri. Sasa wewe unayeimba mapambio ya sifa peke yake una tofauti gani na anayekosoa kila kitu??Wanaomchukia ni wezi, wapigadili, wauza madawa ya kulevya na wakwepakodi
Kwa uwazi wazi JPM anapiga kazi sana. Wapo wengi walipita wala hatukuona wamefanyi. Wengine walikaa kwenye nyadhifa kuu miaka 10, miaka 2 nk lakini siwezi kusema wamefanya nini hasa.
JPM yuko mwaka mmoja madarakani na nusu mwaka wa kibajeti lakini watu mapovu yamewatoka. Ndiyo maana huwa nahitimisha ni genge la wapiga dili na mafisadi wako kazini
Enyi vijana wakitanzania amkeni acheni siasa , mnapenda kukosoa sana raisi wetu Fanya kazi ipo siku watakuelewa unachokifanya.Sioni ubaya wake, sioni kosa lake, sioni shida wala tatizo lake, bali naona chuki zenu, naona husuda zenu, naona utovu wenu wa nidhamu kwa kiongozi wa nchi, naona roho zenu mbaya na kukosa kazi za kufanya zaidi ya kukosoa tu kila kitu! nyie wenye sifa nilizozitaja hapo juu mmefanyia nini nchi hii????
Kila kitabu na zama zake, piga kazi JPM!!
Ni kawaida watu kutofautiana kimawazo, hawezi kupendwa na wote hatuwezi kufanana kimawazo na kiakili hilo litakua ni janga kuu na ujinga wa hali ya juuSioni ubaya wake, sioni kosa lake, sioni shida wala tatizo lake, bali naona chuki zenu, naona husuda zenu, naona utovu wenu wa nidhamu kwa kiongozi wa nchi, naona roho zenu mbaya na kukosa kazi za kufanya zaidi ya kukosoa tu kila kitu! nyie wenye sifa nilizozitaja hapo juu mmefanyia nini nchi hii????
Kila kitabu na zama zake, piga kazi JPM!!
Enyi vijana wakitanzania amkeni acheni siasa , mnapenda kukosoa sana raisi wetu Fanya kazi ipo siku watakuelewa unachokifanya.
Eti unachukia....we chukia tu uvimbe mpaka upasuke.Sioni ubaya wake, sioni kosa lake, sioni shida wala tatizo lake, bali naona chuki zenu, naona husuda zenu, naona utovu wenu wa nidhamu kwa kiongozi wa nchi, naona roho zenu mbaya na kukosa kazi za kufanya zaidi ya kukosoa tu kila kitu! nyie wenye sifa nilizozitaja hapo juu mmefanyia nini nchi hii????
Kila kitabu na zama zake, piga kazi JPM!!
Kukosoa siyo kosa. Ulivyoandika unaonesha kwamba unahitaji consultation na daktari.Sioni ubaya wake, sioni kosa lake, sioni shida wala tatizo lake, bali naona chuki zenu, naona husuda zenu, naona utovu wenu wa nidhamu kwa kiongozi wa nchi, naona roho zenu mbaya na kukosa kazi za kufanya zaidi ya kukosoa tu kila kitu! nyie wenye sifa nilizozitaja hapo juu mmefanyia nini nchi hii????
Kila kitabu na zama zake, piga kazi JPM!!
Ni kweli kbsa alisimamisha ajira za wale vijana sbb ni wapiga dili hata waliokosa mikopo nao ni wapiga dili. Hongera sana naona unaishi kwa kukariri.Wanaomchukia ni wezi, wapigadili, wauza madawa ya kulevya na wakwepakodi
Sioni ubaya wake, sioni kosa lake, sioni shida wala tatizo lake, bali naona chuki zenu, naona husuda zenu, naona utovu wenu wa nidhamu kwa kiongozi wa nchi, naona roho zenu mbaya na kukosa kazi za kufanya zaidi ya kukosoa tu kila kitu! nyie wenye sifa nilizozitaja hapo juu mmefanyia nini nchi hii????
Kila kitabu na zama zake, piga kazi JPM!!
Nahisi mchepuka wa mkuulu umekuja wenyewe kuanzisha thread hapa JFSioni ubaya wake, sioni kosa lake, sioni shida wala tatizo lake, bali naona chuki zenu, naona husuda zenu, naona utovu wenu wa nidhamu kwa kiongozi wa nchi, naona roho zenu mbaya na kukosa kazi za kufanya zaidi ya kukosoa tu kila kitu! nyie wenye sifa nilizozitaja hapo juu mmefanyia nini nchi hii????
Kila kitabu na zama zake, piga kazi JPM!!