Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,130
- 2,414
Hvi kwa akili yako tu, rais hajaenda kuhani kule kagera ambako watu wengi wamekufa,hapo hapo kumetokea msiba wa kwao haraka haraka kaenda. Hiv na hili hasikoselewe!
Mbona lowassa hajawai kuja huku kijijini kwetu ambako watu walideki barabara ili yeye apite....kaenda kwa mchungaji yule aliyewadondoshea waumini gorofa?