Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,604
- 4,259
Kwa hiyo kigezo cha mafanikio ni hayo mapovu unayoona?Kwa uwazi wazi JPM anapiga kazi sana. Wapo wengi walipita wala hatukuona wamefanyi. Wengine walikaa kwenye nyadhifa kuu miaka 10, miaka 2 nk lakini siwezi kusema wamefanya nini hasa.
JPM yuko mwaka mmoja madarakani na nusu mwaka wa kibajeti lakini watu mapovu yamewatoka. Ndiyo maana huwa nahitimisha ni genge la wapiga dili na mafisadi wako kazini