Nachukia wanaomkosoa Rais Magufuli

Kwa uwazi wazi JPM anapiga kazi sana. Wapo wengi walipita wala hatukuona wamefanyi. Wengine walikaa kwenye nyadhifa kuu miaka 10, miaka 2 nk lakini siwezi kusema wamefanya nini hasa.

JPM yuko mwaka mmoja madarakani na nusu mwaka wa kibajeti lakini watu mapovu yamewatoka. Ndiyo maana huwa nahitimisha ni genge la wapiga dili na mafisadi wako kazini
Kwa hiyo kigezo cha mafanikio ni hayo mapovu unayoona?
 
Asikosolewe yy amekuwa malaika? Hana mapungufu au? Achen mawazo finyu yasiyo na maana! Panapohtaj watu wakosoe acha wakosoe, pakusifu wasifu ila usilazmishe watu wasifu tu! Akili zako namawazo yako usilazmishe yalibgane na watu 50m!
 
Sioni ubaya wake, sioni kosa lake, sioni shida wala tatizo lake, bali naona chuki zenu, naona husuda zenu, naona utovu wenu wa nidhamu kwa kiongozi wa nchi, naona roho zenu mbaya na kukosa kazi za kufanya zaidi ya kukosoa tu kila kitu! nyie wenye sifa nilizozitaja hapo juu mmefanyia nini nchi hii????
Kila kitabu na zama zake, piga kazi JPM!!
Kama hauoni jua wala mwezi kwa kuwa wewe ni kipofu usijefikiri hakuna dunia imefunikwa na giza...
 
Sioni ubaya wake, sioni kosa lake, sioni shida wala tatizo lake, bali naona chuki zenu, naona husuda zenu, naona utovu wenu wa nidhamu kwa kiongozi wa nchi, naona roho zenu mbaya na kukosa kazi za kufanya zaidi ya kukosoa tu kila kitu! nyie wenye sifa nilizozitaja hapo juu mmefanyia nini nchi hii????
Kila kitabu na zama zake, piga kazi JPM!!
Pole sana ndugu km unatafuta cheo kwa njia hii au umetumwa, kawaambie huku ni kugumu sana.
1.Angekuwa hakosei hiyo milion 50 kila kijiji ingekuwa imeshapelekwa sehem husika
2. Mtukufu gani, anasimamisha ajira? Tangia nizaliwe ndiyo niliona maajabu kupitia kwa Sizonje. Raisi unasimamisha ajira?
3. Unawanyima watu mikopo? Mbona yy mtoto wake alipewa mkopo wakat yy ni waziri? Kwann asingekataa km siyo na yy mpiga dili tu.
4.Kuwasimanga wale wanafunz wa UDOM kuwa ni VI.LA.ZA yy alikuwa sawa? Km yy hapend kukosolewa kwann anawakosoa wengine? Mtukufu gani anaongea kauli za ajabu ajabu, angalia kipind ameenda zanzibar
DHAMBI MNAZOZIFANYA NA KUJIITA WATUKUFU PAMOJA NA KUCHAKACHUA MATOKEO YA ZENJI NDIZO MEFANYA MPAKA MUNGU AMETUADHIBU. MVUA HAKUNA, UKIZINGATIA HUU NI MWEZ WA 12 KILA KUKICHA AFADHALI JANA.
ITAKUWA NCHI YA VIWANDA, KILA MWANAFUNZ MWENYE SIFA ATAPEWA MKOPO LEO HII? 0 ajira mesimamisha, Milion 50 kla kijiji nayo hola.
KAMA MUNGU ANAKOSOLEWA, YY NI NANI MPAKA ASIKOSOLEWE? Mtukufu gani anasema uongo? Ni mwezi mmoja 1 na nusu Haitazid miwili lkn mpaka leo kimya halafu bado mnamuita mtukufu? Tehe teh teh
WAFIA CHAMA NA WACHUMIA TUMBO LAZIMA WAJIKOMBE
 
Wewe mtoa mada sio mzima kichwani..!unataka kutuaminisha nini?fucha ujinga wako.
 
Kama hujaona tatizo la pombe maharage basi hujawahi kula kuku wewe.
 
Wanaomchukia ni wezi, wapigadili, wauza madawa ya kulevya na wakwepakodi
kwa hyo hata walimu wanaomchukia kwa kauli za mawazir wake, na yy mwenyew kusitisha ajira nusu mwaka sasa vijana wanalia njaa mitahani walimu toka 2015 hawajapangwa vituoni, uhabakubwa mashuleni, mishahara ileile, wote hao wapiga dili?. wahannga wa kagera nao wapiga dili?. acha upimbi wewe.
 
Kwa uwazi wazi JPM anapiga kazi sana. Wapo wengi walipita wala hatukuona wamefanyi. Wengine walikaa kwenye nyadhifa kuu miaka 10, miaka 2 nk lakini siwezi kusema wamefanya nini hasa.

JPM yuko mwaka mmoja madarakani na nusu mwaka wa kibajeti lakini watu mapovu yamewatoka. Ndiyo maana huwa nahitimisha ni genge la wapiga dili na mafisadi wako kazini
Chagua herufi ya jibu sahihi kisha ujaze katika mabano.
1. Dalili ya mvua ni:- [ ]
(A) upepo
(B) mvua
(C) jua
(D) mwezi
(E) nyota

2. Nyota Njema [ ]
(a) huonekana jioni
(B) huonekana usiku
(C) huonekana mchana
(D) huonekana mwaka wa mwisho
(E) huonekana asubuhi
 
Sioni ubaya wake, sioni kosa lake, sioni shida wala tatizo lake, bali naona chuki zenu, naona husuda zenu, naona utovu wenu wa nidhamu kwa kiongozi wa nchi, naona roho zenu mbaya na kukosa kazi za kufanya zaidi ya kukosoa tu kila kitu! nyie wenye sifa nilizozitaja hapo juu mmefanyia nini nchi hii????
Kila kitabu na zama zake, piga kazi JPM!!
Wewe na makada wenzako wa ccm ni zaidi ya wanafiki...
Magufuli ni binadamu Kama binadamu wengine wote Kwa nini asiwe na kasoro?
Kama watu wanaomkosoa Mungu wasiye muona Leo hii ije kuwa Magufuli wanayemwona?.
Hata Kama mnalipwa Kwa upuuzi mnaoandika lakini sasa mmezidi ujinga.
Halafu ukome Kutuambia eti siye tuna wivu Kwa Magufuli ,hii ni nchi yetu sote na Magufuli ni Rais tu .
kumkosoa si kwamba tunamwonea wivu, nchi ina raia wenye kujitambua mil 38 hao wote ulitaka wamuunge mkono?
Wewe una matatizo ya akili, kwanza kiongozi mwenye hekima hupenda Sana kukosolewa sasa ni Madikteta hatari tu ndo hujiona miungu watu na Hawapendi kukosolewa.
Nenda milembe kapimwe akili.
 
Sioni ubaya wake, sioni kosa lake, sioni shida wala tatizo lake, bali naona chuki zenu, naona husuda zenu, naona utovu wenu wa nidhamu kwa kiongozi wa nchi, naona roho zenu mbaya na kukosa kazi za kufanya zaidi ya kukosoa tu kila kitu! nyie wenye sifa nilizozitaja hapo juu mmefanyia nini nchi hii????
Kila kitabu na zama zake, piga kazi JPM!!
Wewe na makada wenzako wa ccm ni zaidi ya wanafiki...
Magufuli ni binadamu Kama binadamu wengine wote Kwa nini asiwe na kasoro?
Kama watu wanaomkosoa Mungu wasiye muona Leo hii ije kuwa Magufuli wanayemwona?.
Hata Kama mnalipwa Kwa upuuzi mnaoandika lakini sasa mmezidi ujinga.
Halafu ukome Kutuambia eti siye tuna wivu Kwa Magufuli ,hii ni nchi yetu sote na Magufuli ni Rais tu .
kumkosoa si kwamba tunamwonea wivu, nchi ina raia wenye kujitambua mil 38 hao wote ulitaka wamuunge mkono?
Wewe una matatizo ya akili, kwanza kiongozi mwenye hekima hupenda Sana kukosolewa sasa ni Madikteta hatari tu ndo hujiona miungu watu na Hawapendi kukosolewa.
Nenda milembe kapimwe akili.
 
Sioni ubaya wake, sioni kosa lake, sioni shida wala tatizo lake, bali naona chuki zenu, naona husuda zenu, naona utovu wenu wa nidhamu kwa kiongozi wa nchi, naona roho zenu mbaya na kukosa kazi za kufanya zaidi ya kukosoa tu kila kitu! nyie wenye sifa nilizozitaja hapo juu mmefanyia nini nchi hii????
Kila kitabu na zama zake, piga kazi JPM!!
Wewe na makada wenzako wa ccm ni zaidi ya wanafiki...
Magufuli ni binadamu Kama binadamu wengine wote Kwa nini asiwe na kasoro?
Kama watu wanaomkosoa Mungu wasiye muona Leo hii ije kuwa Magufuli wanayemwona?.
Hata Kama mnalipwa Kwa upuuzi mnaoandika lakini sasa mmezidi ujinga.
Halafu ukome Kutuambia eti siye tuna wivu Kwa Magufuli ,hii ni nchi yetu sote na Magufuli ni Rais tu .
kumkosoa si kwamba tunamwonea wivu, nchi ina raia wenye kujitambua mil 38 hao wote ulitaka wamuunge mkono?
Wewe una matatizo ya akili, kwanza kiongozi mwenye hekima hupenda Sana kukosolewa sasa ni Madikteta hatari tu ndo hujiona miungu watu na Hawapendi kukosolewa.
Nenda milembe kapimwe akili.
 
Sioni ubaya wake, sioni kosa lake, sioni shida wala tatizo lake, bali naona chuki zenu, naona husuda zenu, naona utovu wenu wa nidhamu kwa kiongozi wa nchi, naona roho zenu mbaya na kukosa kazi za kufanya zaidi ya kukosoa tu kila kitu! nyie wenye sifa nilizozitaja hapo juu mmefanyia nini nchi hii????
Kila kitabu na zama zake, piga kazi JPM!!
Wewe na makada wenzako wa ccm ni zaidi ya wanafiki...
Magufuli ni binadamu Kama binadamu wengine wote Kwa nini asiwe na kasoro?
Kama watu wanaomkosoa Mungu wasiye muona Leo hii ije kuwa Magufuli wanayemwona?.
Hata Kama mnalipwa Kwa upuuzi mnaoandika lakini sasa mmezidi ujinga.
Halafu ukome Kutuambia eti siye tuna wivu Kwa Magufuli ,hii ni nchi yetu sote na Magufuli ni Rais tu .
kumkosoa si kwamba tunamwonea wivu, nchi ina raia wenye kujitambua mil 38 hao wote ulitaka wamuunge mkono?
Wewe una matatizo ya akili, kwanza kiongozi mwenye hekima hupenda Sana kukosolewa sasa ni Madikteta hatari tu ndo hujiona miungu watu na Hawapendi kukosolewa.
Nenda milembe kapimwe akili.
 
This country has many idiots! Huwezi chukia mtu kisa mtazamo wake juu ya kile kinachoendelea, we can't think and act the same! Never on Earth
 
Ngoma droo tu mkuu, wengine wanachukia zaidi kunyimwa haki zao za msingi katika nchi yao. Usiwachukie sana maana watakuona wewe mbumbumbu mpiga kelele tu.
 
Back
Top Bottom