Khalidoun
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,842
- 4,474
Nabii Frola Peter anatenda asee!...kuna siku nakumbuka tuko kanisani kwake aliombea maji ya uhai yakawa asali tamuu...
Mlifumba macho wakati mnaombea hayo maji?
Nabii Frola Peter anatenda asee!...kuna siku nakumbuka tuko kanisani kwake aliombea maji ya uhai yakawa asali tamuu...
Nabii Frola Peter anatenda asee!...kuna siku nakumbuka tuko kanisani kwake aliombea maji ya uhai yakawa asali tamuu...[/QUOTE Hayo ni mazingaombwe. Mtu hata ishi kwa asali bali kwakila neno litokalo kinywani Mungu.
Kumbe na matusi yote yale humu Jf una mama wa kiroho?Mungu akubariki.Nimefurahi Sana Na Mno Ulivyoweka Hii Picha Ya Mama Yangu Wa KIROHO Mtumishi Wa Mungu Na Mpaka Mafuta Nabii Flora Peter.
GENTAMYCINE jitafakari rafiki, replies za namna hii hazipendezi hata kidogo.... Naamini utanielewaUnaweza Kutuambia Na Wewe Hilo LICHUPI Lako Ulilovaa Sasa Ambalo Hujalifua Mwezi Sasa Lina Majina au Nembo Gani?
GENTAMYCINE jitafakari rafiki, replies za namna hii hazipendezi hata kidogo.... Naamini utanielewa
....... aiseeh ! kwani mnafundishwaje huko !? ........ sasa jibu ni A au B !? ....... wagalatiaa !
kweli kabisa hata mimi nimesaidiwa mambo yangu kupitia mkono wa huyu dada
mimi haya mafundisho ya kusema fuata neno usifuate matendo ni ya kipuuzi maana Yesu alisema tutawatambua kwa matendo yao[/QU
nitonye;
Sikutaka kucomenti chochote lakini umenikuna. Hivi kweli, mtu na akili zako atokee mtu atii anakuambia; Fuata mimachokuambia usifuate ninacho tenda. Kesho utakwenda kwake??
Hivi kweli, mtu unayejikoboa kama mahindi ya sembe, utakapofika pale mbele za Mungu utasema nini? Mtu anauliza atii; Ni wapi pameandikwa usijikoboe!!!! Ni aibu kuuliza swali kama hili au sivyo?? Hujasoma neno la Mungu kuwa hata usijichore (Tatoo) mwili wako?? Iweje kujikoboa kuwe sawa??
Mnaniambia ati anatumia mafuta ya mzeituni kutoka Israel, nikitumia mafuta kutoka Supermarkiti kuna shida gani?? Hivi kinachotoka Israel ndiyo "Kitakatifu" saana au? Nasema; Hapo ni manyoya tuuuuu.
Hata angemfanya kuku akojoe, hanitishi huyooo
GENTAMYCINE jitafakari rafiki, replies za namna hii hazipendezi hata kidogo.... Naamini utanielewa
Anaongozwa na mama wa kiroho. Kama waumini wapo sampuli hiyo pata picha mama wa kiroho atakuwaje
Mambo kama...?
Uponyaji, mahusiano au finances??
Funguka kidogo coz ushuhuda utasaidia wengi humu.
financial na pia kiroho alinisaidia pia aliweza kunitoa kwenye ulevi alishawah kuniombea nikawa nataka kupiga vyombo natapika na nina imani ni yeye amefanya yote hayo
Thanks for sharing with us mkuu.
Kwahiyo bado unaendelea kuabudu hapo?
Naelewa vizuri sana. Sina upofu wowote mpendwa.Mnaotumia vifungu hivi mmekuwa upofu. Tena mwapotosha maandiko ili kuziangamiza roho
Ndio maana watu wengi wanakata tamaa na dini. Sasa wewe na uchafu wote unaoandika hapa forum eti unasali kwa nabii halafu tena amekusaidia? Basi atakuwa ni Lusifa mwenyewe na wewe ni ibilisi
Ukishaona kuna kundi halibarikiwi na huduma ya mtumishi wako, Omba Roho wa bwana akupe neema ya kuitambua hiyo Roho