Nabii Flora Peter wa Mbezi Beach...

Nabii Flora Peter wa Mbezi Beach...

Onyo anamuonya nani?? Na kwa lipi???

Unaingilia maisha ya mtu tena kimuonekano, tena hilo ni kosa sana,

toeni boriti kwenye macho kwanza ndio mje mtafute vibanzi katika macho ya wengine.

Anamwonya nabii wa uongo na hao wanaomfuata kwamba wasipotubu uovu wao watapotea motoni milele. Kama nawe.unamjua mwenye boriti lakini anashughulika na mwenye kibanzi, mwonye.
 
Wakuu tunaomba contacts na direction za kumfikia huyo nabii Flora. Thanks
 
Miili yetu ni hekalu la roho mtakatifu.Kama ni hivo naona si busara kulivuruga vuruga hekalu hilo.Mfano kutoa mimba, kuzini au kujichubua.

Ukiambiwa uweke ushahidi wa yeye kuchubua unao??

Unadhani dhambi ni hzo tu ulizotaja??? Hata kumunenea mtu maneno usiyo na ushahidi nayo dhambi pia. Ni vema mkakaa kimya.


NAWACHUKIA SANA WATU WANAOJIFANYA WASO DHAMBI.
 
attachment.php
[
Naona kama mlevi, halafu anafanana morphologically na Lwakatare. Why?
 
Ukiambiwa uweke ushahidi wa yeye kuchubua unao??

Unadhani dhambi ni hzo tu ulizotaja??? Hata kumunenea mtu maneno usiyo na ushahidi nayo dhambi pia. Ni vema mkakaa kimya.


NAWACHUKIA SANA WATU WANAOJIFANYA WASO DHAMBI.

Nlikua naongelea hapo ulipo andika "wapi imeandikwa kujichubua ni dhambi".Huyo flora ndo kwanza namuona(picha) na kumskia sasa hivi hapa Jamii forum.

Kusemwa hapa duniani hakuepukiki wache watu waseme wanvyomjua wawe na ushahidi wasiwe nao ndo washaamua kumsema.
 
attachment.php
[
Naona kama mlevi, halafu anafanana morphologically na Lwakatare. Why?
Huyu lazima atakuwa mcongo tu maana wanapenda kujikoboa na kuvaa majina kama GUCCI,ADIDAS,LIS VUITTON NA MENGINE
 
Nlikua naongelea hapo ulipo andika "wapi imeandikwa kujichubua ni dhambi".Huyo flora ndo kwanza namuona(picha) na kumskia sasa hivi hapa Jamii forum.

Kusemwa hapa duniani hakuepukiki wache watu waseme wanvyomjua wawe na ushahidi wasiwe nao ndo washaamua kumsema.

Haiwasaidii kwakua hawazui huduma yake kuendelee, wao maneno yeye kazi. Inahuu
 
Huyu lazima atakuwa mcongo tu maana wanapenda kujikoboa na kuvaa majina kama GUCCI,ADIDAS,LIS VUITTON NA MENGINE

Unaweza Kutuambia Na Wewe Hilo LICHUPI Lako Ulilovaa Sasa Ambalo Hujalifua Mwezi Sasa Lina Majina au Nembo Gani?
 
Wakuu tunaomba contacts na direction za kumfikia huyo nabii Flora. Thanks

Contact Yake Ya Haraka Ni KUJIACHIA Na KUMKUBALI Yesu Kristo Na Kukumbuka Kila Mara Kutoa FUNGU LAKO LA KUMI Kwa Kila Pato Unalolipata Basi!
 
Huyu sio nabii wa Mungu huyu ni nabii wa kuzimu, malkia wa kuzimu mwenye sura ya binadamu... Hili Nalisema wazi na kwa uhakika, angalia 👑 yake ni satanic crown angalia imenakshiwa na 🎀 ribbon ya pink, tafuta asili ya rangi ya pink, gauni lake ni rangi nyeusi ya kumetameta ina maana kubwa sana kuzimu, nyusi kazitinda na kuziongezea urefu ni Mulemule....... Nitakuja na picha

Mara ya kwanza kumuona alikuwa amevaa suti ya suruali ya koti refu la kufika magotini ya rangi nyeusi. Nilishindwa kuamini mtu ambaye anawasiliana na Mungu ( nabii) anapata wap mda wa mkorogo na make-up km tunaoendaga outing??! Kwa kweli tumuombe Mungu atujalie hekima
 
Back
Top Bottom