Nabii Flora Peter wa Mbezi Beach...

Nabii Flora Peter wa Mbezi Beach...

Kuna thread alileta mzee yoyo kuhusu huyu nabii mwaka 2008 ikaja ikafungwa na mods
 
Last edited by a moderator:
1443326906300.jpg 1443326933866.jpg 1443326960537.jpg
 
mkuu hebu niambie maana ya rangi ya pink kuzimu kama utakua unauelewa nayo maana kuna sehemu uliidokeza hapo kwa uchache kwenye hiyo satanic crown aliyoivaa huyo nabii

1443330780669.jpg ni rangi rasmi inayotumainiwa na malkia wa kuzimu, rangi ya mvuto nk, kuna maelezo mengi sana Nitarejea 1443330780669.jpg
 
Sikushangai kwa kuwa hata username yako inaakisi uyasemayo

Ndugu pamoja na kumkosoa mchangiaji bt ushauri wangu ni kwamba mnatakiwa kuwa makini sana na watumishi wanao tumia miujiza kama chambo ya kuvuta waumini kwenye mhekalu yao.
 
Na hao manabii waliolezewa kwenye vitabu vitakatifu wanatokea kwenye nchi na jamii waliochoka kinafsi kiakili na kimaisha kwani kuwadanganya kwao ni kwepesi sana...
 
Hizi imani hizi...ukiwafatilia hawa manabii sijui watumishi wa mungu unaweza kuwa chizi
 
2 WAKORINTHO 11;13-15.
Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila, wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo.
14. Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.
15. Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao.
 
Hawa manabii wa sasa inatakiwa umakini sana kama ni wa kweli au wa uongo
 
Back
Top Bottom