Nabii Flora Peter wa Mbezi Beach...

Nabii Flora Peter wa Mbezi Beach...

Bwana wetu Yesu Kristo hakuwa na dini kwa hiyo hakuhitaji kubadili dini.Yeye yuko juu ya dini.Dini ni mawazo ya binadamu tu, kwa hiyo hayana uhusiano na Bwana Yesu.Na kuhusu kuokoka, yeye hakuhitaji kuokoka,kwa kuwa yeye mwenyewe ndiye huo wokovu.
Hivi Yesu pamoja na kupata majaribu yooote hayo alibadiri dini na kuokoka? naomba nijibiwe tafadhari.
 
Ndg. Gentamycine, umenipa mashaka sana kwa hasira zako naanenoachafu,
Umeulizwa kuhusu mtumishi wako Gwajima anatoka wap tena? Una uthibitisho gan kua anatembea na wake za watu?
Hujapona kiroho wewe na huna badiliko
 
soma Mathayo 24 yote mkuu, haya ya kina mtume mara nabii mara mtuume na nabii fulani hayatakuumiza kichwa wala hayatakushangaza, Biblia imeeleza yote , "...WATATOKEA MANABII WENGI, WA KWELI NA WA UONGO NA WOTE WATATENDA MIUJIZA...." hayo hayanabudi kutokea, na ukianza kuona dalili hizo ujue MWISHO WA DUNIA UNAKARIBIA.


Kwa mda mrefu nimekuwa nikisikia kuusu nabii flora na mambo anayoyafanya! kabla ya kumreccomand mtu aende, waliowahi kwenda embu tupe ushuhuda ipo miujiza kweli? upo uponyaji kweli?

Je ipo katika misingi ya Mungu wa mbinguni! yani yule Mungu wa Meshack Shedrack na Abednego? toa maoni bila kutukana huduma ya watu bila kumtukana mtumish uyo! nataka expirience tuu kwa walioenda kama hujaenda usijeandika Mungu akakulaani.
je ni kweli anatumia sabuni iliyoombewa kama njia ya kuleta uponyaji na miujiza? je anatumia mafuta ya mzaituni kutoka Israeli kama njia ya kuleta miujiza na uponyaji?

Kwa wanaojua je sabuni kutumika kulete miujiza au uponyaji kuna mtu mwenye maelezo juu ya ufunuo huo! ingawa si wa kwako ndio lakini unaweza kuelewa! katika bible lakini.
 
mimi haya mafundisho ya kusema fuata neno usifuate matendo ni ya kipuuzi maana Yesu alisema tutawatambua kwa matendo yao

Acha kumuhukumu mtu, kila mtu anayake kabeba moyoni, nivema mtu kujisafisha nafsi yako kuliko kumwona mwingine mdhambi.
 
Hata mimi nimepata mshangao mshana,

Huyu sio nabii wa Mungu huyu ni nabii wa kuzimu, malkia wa kuzimu mwenye sura ya binadamu... Hili Nalisema wazi na kwa uhakika, angalia 👑 yake ni satanic crown angalia imenakshiwa na 🎀 ribbon ya pink, tafuta asili ya rangi ya pink, gauni lake ni rangi nyeusi ya kumetameta ina maana kubwa sana kuzimu, nyusi kazitinda na kuziongezea urefu ni Mulemule....... Nitakuja na picha
 
Ninamjua Huyo MTUMISHI Wa Mungu Tokea Akiwa Kigamboni, Kisha Kwa Mzee Willy Pale Mbezi Beach Maguruwe Na Mpaka Alipoanzisha Kanisa Lake Salasala. NINAMKUBALI 100% Kwani MAFANIKIO Yake KIMAOMBI Ni MAKUBWA Na Hayaelezeki Na Tokea NIMFAHAMU Sijawahi Kuona Mtu AKIENDA KWAKE NA ASIFANIKIWE. Lakini Pia TUSISAHAU Kuwa Dini Pia Ni IMANI Ya MTU Na Jinsi UNAVYOJIACHIA Kwa Mwenyezi Mungu au Yesu Kristo. Kwa Mfano UNAKUTA MTU ANAENDA KUOMBEWA LABDA APATE MUME NA MTUMISHI WA MUNGU AKIMWOMBEA NA KUMTAKA AACHANE NA UMALAYA YEYE AKIRUDI TU KITAA MWENDO NI MDUNDO KWA WAUME ZA WATU Je Hapo UNATEGEMEA NINI MKUU? Nabii Flora Peter Ni MTUMISHI Wangu Na Namkubali Hadi Sijui Nisemeje Na Nahisi Nina DENI La Kumlipa Kwa Maombi Yake Ya UHAKIKA Kwangu Na Jinsi Mambo Yangu Yanavyozidi KUNYOOKA. Najisikia Mwenye Furaha Mno KUSALI Kwa Nabii Flora Peter Na Nichukue Nafasi Hii Murua Kuwakaribisheni Na Wengine Wote Ambao Mna IMANI HABA. Mtasikia Mengi Na Mtadanganyana Sana ILA Ushuhuda Wa Maombi Ya Nabii Flora Peter HAUELEZEKI. Namalizia Kwa Kusema " Kwa Msaada Wa Mungu Tutatenda Makuu Kwa Maana Bwana Atawakanyaga Watesi Wetu Zaburi 60:12 Na 108:13 ".

aisee mr P umefunguka ile ile...
 
Back
Top Bottom