Naamini mume wangu nitampata kupitia jf

Naamini mume wangu nitampata kupitia jf

Munazingua nyinyi kwa ubaguzi wenu,je wa kutoka pwani ndio atuna nafac kwako?
 

Attachments

  • 1399005330181.jpg
    1399005330181.jpg
    38.3 KB · Views: 123
Nipm mama watoto mie pia nko mwanza ni mchaga wa marangu kama wwe

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Utampata humu ikiwa utaonyesha nia ya dhati na kutafuta bila kuchoka....
 
Yaani wewe ndo chenga kweli, unamuongopea mwenzako azeeke kama wewe bila ndoa? Kila mtu ana mipango yake, na haiwezi kufanana... Acha kumwingiza chaka mwrnzio!

chenga ni wewe unayehisi nimezeeks wakati hunifahamu waala age yangu huijui.....Hiz ndo div6 zenyewe
 
Kwa hiyo mimi Mwiraq cna changu cyo? Hivi ni seme wachaga ni wabaguzi au ni wdwe tu.
 
Wadau nadhani mei moja imekwisha,mimi lwa ufupi ni msichana nina miaka24 nimemaliza chuo mwaka jana nipo mtaani nafanya biashara ndogo ndogo,me ni mchaga mmarangu, katika mipango yangu ya maisia nadhanh huu ni wakati wangu wa kuanzisha familia na kupanga maisha mengine,nadhani mume wangu yupo humu,ni wa kabila langu sio mbali na nilipozaliwa hvyo naomba ajitokeze tuwasiliane au tukutane,me naishi mwanza na tarime kwa sasa kwa sababu ya biasiara yangu,

nadhani mmenielewa ,

Ni pm ili tuongee zaid,tueleweshane vizuri,ila nanyi muwage serious
 
24 Unataka aendelee kupuyanga mitaani?

Huo ni mida muafaka wake kuolewa ajenge familia ww kama unasubiri ndoa za uzeeni mwachie mwenzio aanze maisha yake mapema.
we umeoa/umeolewa? kama ndio, ulioa/kuolewa na miaka mingapi?
 
Hakika umepata kwani Kirua na marangu sii mbali hata wazee wetu walikuaga wanakwendaga kwa miguu kunywaga pombe.
 
uuuuwi mama mbura huku wapo woooote elewa msafara wa mamba na kenge wapo

kuwa makini zaid ya kuwa makini lakin usikate tamaa kwa maana hawahawa viumbe wa jf ndo tunaishi nao mtaani

best wishes
 
Anaye wa kwake, ila kaingia mitini sasa anamtafuta humu jf. Ndo nilivyoelewa jamani
 
Back
Top Bottom