Naamini mume wangu nitampata kupitia jf

Naamini mume wangu nitampata kupitia jf

Wadau nadhani mei moja imekwisha,mimi lwa ufupi ni msichana nina miaka24 nimemaliza chuo mwaka jana nipo mtaani nafanya biashara ndogo ndogo,me ni mchaga mmarangu, katika mipango yangu ya maisia nadhanh huu ni wakati wangu wa kuanzisha familia na kupanga maisha mengine,nadhani mume wangu yupo humu,ni wa kabila langu sio mbali na nilipozaliwa hvyo naomba ajitokeze tuwasiliane au tukutane,me naishi mwanza na tarime kwa sasa kwa sababu ya biasiara yangu,

nadhani mmenielewa ,

Mnaingia Millenia Mpya umepanda basi la makabira? Kabila lina maana gani karne hii? Loh! !! Shame on you!!
 
kiruuuuuuuuuuu, nkiki monowama..

Siwezi kusema ni mapema sana au ndio muda muafaka but nahisi kama uko too ambitious jamani; taratibu mdogo wangu. Mwombe Mungu akusaidie, aidha nadhani unaweza kumpata mume nje ya JF pia.

Kila la kheri
 
Hata mi nimemaliza chuo nafanya kazi kwenye kampuni moja huku arusha. Natafuta mchumba ila sijui kama utakubali maana unataka mmarangu tu. Usipopata mmarangu nitfute.
 
Nikikosaga usingizi na stress zikizidi naingia humu mdogo angu utampata mume kama ipo ipo tu!!! Kila mtu na malengo yake wengine mlianza la kwanza na miaka kumi la saba miaka kumi na saba mpaka ufike chuo miaka ishirini na nane... Mwenzenu kamaliza chuo mapema anatafuta kamume kake mna.mdiscourage umri kwendrrreni zenu huko.... Sema mdogo angu usingeweka ubaguzi wa kabila kwanza nasikiaga kaka zetu wa nyanda hizo hamna kitu sita kwa sita natanguliza samahani sina uhakika...
 
My dia 24 unataka kuolewa...aiseeeeeeeee :A S 13::A S 13:
Fanya kwanza pilika zako mi nahisi ni mapema mnooo .....utazeeka kabla ya muda...
yani mi nikiwa miaka 24 nilikuwa nawaza kitu cha kunifikisha mbali kimaisha,wewe unawaza ndoa,Fikiria vizuri nahisi umekurupuka

She is right kuolewa kwa sasa ili aanze malezi mapema na kuyamaliza mapema coz ndio nzr si kuzeeka na kuja kuanza majukumu muda ambao mpk hamu ya kua na familia ilishakutoka na mauzazi ya utu uzima ya operation. Kila la kheri ktk mikakati na umpatapo ulete mrejesho hapa.
 
Mbuzi kafia kwa muuza supu, haya wanaume wa jf kamateni fursa
SAYANSIKIMU na hapa ukikosa kaoge baharini....

Tatizo huyu dada anaubaguzi anataka mtu wa kabila lake mimi ni MGOGO lakini yeye anataka mchaga mmarangu nahisi fursa hii nimeshaikosa.Au sijui ni mdanganye kuwa mimi ni mchaga mmarangu.Maana Sasa Huku Nikubaguana.
 
Last edited by a moderator:
kama ulikuwepo wao wanawaza pesa tu
Nikikosaga usingizi na stress zikizidi naingia humu mdogo angu utampata mume kama ipo ipo tu!!! Kila mtu na malengo yake wengine mlianza la kwanza na miaka kumi la saba miaka kumi na saba mpaka ufike chuo miaka ishirini na nane... Mwenzenu kamaliza chuo mapema anatafuta kamume kake mna.mdiscourage umri kwendrrreni zenu huko.... Sema mdogo angu usingeweka ubaguzi wa kabila kwanza nasikiaga kaka zetu wa nyanda hizo hamna kitu sita kwa sita natanguliza samahani sina uhakika...
 
bahati ya wazi hii..
ila kwa bahati tayari ninae mke wangu 'Valentina'

oooh mmmm GGG
vipi moreen baby maana tulijitahidi kuwapatanisha
akakataa
umeoa mkuuu

HONGERA you deserve the best msalimie wifi hahahhahahahahahahhahaa nimefurahi huwezi amini
 
Last edited by a moderator:
Every time i think about u my sweetheart!

Valentina sijui nije pm

naomba usimlize kaka plz he deserve the best si unakumbuka lakin what hapen dah natamani kuwaanzishia uzi jamani nimefurahi sana sikujua mambo yalikuja kuwa mazuri hivi
 
My dia 24 unataka kuolewa...aiseeeeeeeee :A S 13::A S 13:
Fanya kwanza pilika zako mi nahisi ni mapema mnooo .....utazeeka kabla ya muda...
yani mi nikiwa miaka 24 nilikuwa nawaza kitu cha kunifikisha mbali kimaisha,wewe unawaza ndoa,Fikiria vizuri nahisi umekurupuka

Kila mtu ana mipango yake na hujui mpaka hapo alipo amefanikiwa kwa kiwango gani kimaisha. 24 ni umri muafaka kabisa
 
My dia 24 unataka kuolewa...aiseeeeeeeee :A S 13::A S 13:
Fanya kwanza pilika zako mi nahisi ni mapema mnooo .....utazeeka kabla ya muda...
yani mi nikiwa miaka 24 nilikuwa nawaza kitu cha kunifikisha mbali kimaisha,wewe unawaza ndoa,Fikiria vizuri nahisi umekurupuka

kwani wewe una miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom