Naamini mume wangu nitampata kupitia jf

Naamini mume wangu nitampata kupitia jf

My dia 24 unataka kuolewa...aiseeeeeeeee :A S 13::A S 13:
Fanya kwanza pilika zako mi nahisi ni mapema mnooo .....utazeeka kabla ya muda...
yani mi nikiwa miaka 24 nilikuwa nawaza kitu cha kunifikisha mbali kimaisha,wewe unawaza ndoa,Fikiria vizuri nahisi umekurupuka

24 Unataka aendelee kupuyanga mitaani?

Huo ni mida muafaka wake kuolewa ajenge familia ww kama unasubiri ndoa za uzeeni mwachie mwenzio aanze maisha yake mapema.
 
Wadau nadhani mei moja imekwisha,mimi lwa ufupi ni msichana nina miaka24 nimemaliza chuo mwaka jana nipo mtaani nafanya biashara ndogo ndogo,me ni mchaga mmarangu, katika mipango yangu ya maisia nadhanh huu ni wakati wangu wa kuanzisha familia na kupanga maisha mengine,nadhani mume wangu yupo humu,ni wa kabila langu sio mbali na nilipozaliwa hvyo naomba ajitokeze tuwasiliane au tukutane,me naishi mwanza na tarime kwa sasa kwa sababu ya biasiara yangu,

nadhani mmenielewa ,

tumekuelewa mangi ....owky CC.TEAMPLAYERS mteremko na mountain due yabaridiiii easy comee easy geda geda
 
Ifike wakati wasichana tupunguze viherehere vya kuolewa....
Re: Naamini mume wangu nitampata kupitia jf
Wasichana wa hapa wengi wamefeli kwenye hiyo idara..wamekataa tamaa..wana negative thought kuhusu ndoa..so uwe makini watakukatisha tamaa sana
 
Kila la heri binti,,, ngoja vijana waamke but pls kwa mume wangu usikaribie
 
Npm...nilikua nasubir sana useme ivo...m mwenyew mke wang anatoka umu umu na ni ww
 
Back
Top Bottom