Naamini mume wangu nitampata kupitia jf

Naamini mume wangu nitampata kupitia jf

Kila la heri ufanikiwe katika zoezi lako
 
Lol! Kamwe jamii forum haitaisha utamu......

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kilalakheri dada,ukipata tujulishe tafadhali ili wakati wangu ukifika nisitume application kwako.
 
Hivi wewe nadhani unakurupuka mno kwani umri kama huo bado kabisa unahitajika kimasomo kwa nini usiendelee kwanza kusoma?

Asante kwa ushauri,kila kitu ni maamuz,nshasoma kiasi ndoa af kama kuendelea kutakua na umuhm ntaendelea,otherwise ukoo wetu uko vizur,mareferee wakutosha maana ajira sikuhz sio vyeti!! Upo????
 
Back
Top Bottom