Mzungu yupo mbele ya muda, maisha aliyoishi tutayakuta mbeleni, suala la watoto na wajukuu zetu kuoa single mothers halikwepeki

Mzungu yupo mbele ya muda, maisha aliyoishi tutayakuta mbeleni, suala la watoto na wajukuu zetu kuoa single mothers halikwepeki

mkata uzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2025
Posts
1,910
Reaction score
5,451
Sikuhizi kumekuwa na ongezeko kubwa sana la single moms, tena sio ile ya zamani tuliyozoea ya mtoto moja, hii version mpya unamkuta binti ana 24 tayari ana watoto watatu.

Kufikia 2040 hii rate ya single moms inaweza kuwa juu mno

Wazazi na kina babu wa watoto zetu wa kiume, kwanza kabisa shukuru mtoto wako akija kuleta binti wa kutaka kuja kumuoa kwasababu kwa hali ya sasa vijana wengi wanazidi kuleft, pili punguza ujuaji wa miaka yetu ya kutaka kuoa binti ambae hana mtoto, kwa miaka ya sasa na kuendelea itakuwa ngumu sana kukuta binti mwenye 21+ hana mtoto,
 
Hawa wazungu wametuharibia sana tamaduni zetu,zamani binti anaolewa 22yrs ni mpya na bikra yake,kwa sasa katoto miaka 9 tayari kameshaanza mambo hayo na hakana bikra,sa kwa nini kasipewe mimba miaka 12? Zamani binti akikutana na kijana anaogopa,akitongozwa anaona aibu anafunika uso huyo anaenda kusema kwa nyanya yake! Sasa hivi tubinti tunajipamba,kujipodoa,tunavaa nguo fupi,tunatembea kwa kunengua eti tuwavutie wanaume! Hii ni akili ama matope?
 
Hawa wazungu wametuharibia sana tamaduni zetu,zamani binti anaolewa 22yrs ni mpya na bikra yake,kwa sasa katoto miaka 9 tayari kameshaanza mambo hayo na hakana bikra,sa kwa nini kasipewe mimba miaka 12? Zamani binti akikutana na kijana anaogopa,akitongozwa anaona aibu anafunika uso huyo anaenda kusema kwa nyanya yake! Sasa hivi tubinti tunajipamba,kujipodoa,tunavaa nguo fupi,tunatembea kwa kunengua eti tuwavutie wanaume! Hii ni akili ama matope?
😢😢😢😢 Dear God, have mercy on us!
 
Hawa wazungu wametuharibia sana tamaduni zetu,zamani binti anaolewa 22yrs ni mpya na bikra yake,kwa sasa katoto miaka 9 tayari kameshaanza mambo hayo na hakana bikra,sa kwa nini kasipewe mimba miaka 12? Zamani binti akikutana na kijana anaogopa,akitongozwa anaona aibu anafunika uso huyo anaenda kusema kwa nyanya yake! Sasa hivi tubinti tunajipamba,kujipodoa,tunavaa nguo fupi,tunatembea kwa kunengua eti tuwavutie wanaume! Hii ni akili ama matope?
Hatari sana
 
Huu utandawazi umekuja ni kwasababu mila na gesturing walizokua wakitumia wazee wetu ni tofauti ujue pindi tunakua ulikua mzee yoyote haijalishi ni baba ako au mama ako ila tu akiwa jirani akikukutana sehemu isiyoeleweka unatembezewa bakora na nyumbani huendi kusema na bado anakufata kwenu kufikisha taarifa ndo maana wengi walichunga maadili ya nyumbani mpaka mtaani ila kwasasa ni ngumu picha tu ukimgusa junior kimekulambq ambae umemkuta kasimama na angel uchochoroni unaitwa mwanga
 
Zamani kuona nguo ya ndani ya mama yako ilikuwa haiwezekani na hata ikitokea inaweza kukupa trauma ya milele. Siku hizi mama anavaa chupi mbele ya mwanae wa kiume eti swimming costume. Huko beach na mahotelini familia zikitoka kustarehe ni kawaida kukuta mama kavalia kichupi.. single mama wengi wao ndo hovyo kabisa.. kubadili nguo mbele ya mwanae wa zaidi ya miaka 10 ni kawaida. Akiwa wa kike hata chupi wanaweza valiana. Upuuzi mtupu. Shetani kafanya uwekezaji mkubwa sana kwenye kuvunja amri ya 6. Kaweka mitego ya kutosha.
 
Zamani kuona nguo ya ndani ya mama yako ilikuwa haiwezekani na hata ikitokea inaweza kukupa trauma ya milele. Siku hizi mama anavaa chupi mbele ya mwanae wa kiume eti swimming costume. Huko beach na mahotelini familia zikitoka kustarehe ni kawaida kukuta mama kavalia kichupi.. single mama wengi wao ndo hovyo kabisa.. kubadili nguo mbele ya mwanae wa zaidi ya miaka 10 ni kawaida. Akiwa wa kike hata chupi wanaweza valiana. Upuuzi mtupu. Shetani kafanya uwekezaji mkubwa sana kwenye kuvunja amri ya 6. Kaweka mitego ya kutosha.
Kwamba shetani miaka hii ndo kafanikiwa zaidi kuliko huko awali?
 
Zamani kuona nguo ya ndani ya mama yako ilikuwa haiwezekani na hata ikitokea inaweza kukupa trauma ya milele. Siku hizi mama anavaa chupi mbele ya mwanae wa kiume eti swimming costume. Huko beach na mahotelini familia zikitoka kustarehe ni kawaida kukuta mama kavalia kichupi.. single mama wengi wao ndo hovyo kabisa.. kubadili nguo mbele ya mwanae wa zaidi ya miaka 10 ni kawaida. Akiwa wa kike hata chupi wanaweza valiana. Upuuzi mtupu. Shetani kafanya uwekezaji mkubwa sana kwenye kuvunja amri ya 6. Kaweka mitego ya kutosha.
Hasa wanawake ndio wanatuharibia watoto
 
Back
Top Bottom