WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 5,610
- 5,276
Ufafanuzi mzuri kama ni mtu wa kuelewa ataelewa ila kama ana mapenzi na hayati jiwe asubiri afufuke ili aje amletee maendeleo maana kwake bila Magufuri hakuna maendeleo Tanzania.Wewe mshenzi akili yako iko tumboni tu ndiyo maana unafikilia kula tu kujaza tumbo. Wenye akili wanafikiria mambo makubwa.
Mzimu wa Magufuli ni nini? Kwangu ni kwamba watu wana furaha baada ya Magufuli kufa. Magufuli alikuwa ni DIKTETA aliyetawala nchi kwa maamuzi binafsi bila kufuata katiba...