econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,818
- 21,816
"Mtanikumbuka kwa mazuri Wala si kwa mabaya,kwa kuwa nimeyasacrifice maisha yangu kwa ajili ya Watanzania maskini" RIP Baba wa Taifa JPM
Mtamuita majina yote feki lakini yule alikuwa ibilisi Shetani. Ndio maana alipata kinachomstahili. Eti baba wa taifa, mnajua maana ya baba wa taifa?. Acheni unafiki.