Mzimu wa Magufuli unavyotesa watu

"Mtanikumbuka kwa mazuri Wala si kwa mabaya,kwa kuwa nimeyasacrifice maisha yangu kwa ajili ya Watanzania maskini" RIP Baba wa Taifa JPM

Mtamuita majina yote feki lakini yule alikuwa ibilisi Shetani. Ndio maana alipata kinachomstahili. Eti baba wa taifa, mnajua maana ya baba wa taifa?. Acheni unafiki.
 
Jpm alikuwa na mazuri mengi kuliko mapungufu,ukiwasikiliza sana vyeti feki utaweza dhania kuwa kwenye uongozi wa jpm tulilazimishwa nchi nzima kulala saa 12 jioni sababu ya udikteta wake.
huu mkoa ninao ishi enzi za jpm mchele wakutumia familia yangu nilikuwa nanunua 2kg sawa 2400 maharage nusu kg sawa na 1000 kwa ujumla nikiwa na 5000 nafanya bajeti lakini leo ukiwa na 10000 hufanyi bajet inayoeleweka. Mpumbavu mmoja anasena eti tukalime mvua zinanyesha

rip my president.
MAGUFULI ana MABAYA MENGI kuliko MAZURI Dhambi ya Kuua inazima mazuri yote
Dhambi ya Chuki
Dhambi ya Wizi wa Kura na Fedha za Masikini
Dhambi y kubambikizia Wananchi wako Kesi nzito za Ugaidi Mauaji Uhujumu uchumi Utakatishaji
Dhambi ya Utekaji
VYOTE hivyo ni CHUKIZO Machoni pa MUNGI
 
Kila nikiwa nasoma Uzi JF haiwezi kupita wiki nzima bila kuwekwa Uzi wa JPM, ni kwamba Magufuli alifanya mambo mazuri Sana Kwa wananchi ndo maana wanamkumbuka?
Ama alifanya ya ovyo Sana Kwa wananchi ndo maana wanamkumbuka.

Nikiwa nafikiria hayo nikakumbuka enzi za JPM petrol ilikuwa 1700/= Michele 1500, na maharage 2000, nikakumbuka hakukuwa na mgao wa umeme japo hapakuwa na mikutano ya kisiasa, kutekwa Kila mara ila gharama za maisha zilikuwa chini.

NIMEKUMBUKA TU
Wewe mshenzi akili yako iko tumboni tu ndiyo maana unafikilia kula tu kujaza tumbo. Wenye akili wanafikiria mambo makubwa.

Mzimu wa Magufuli ni nini? Kwangu ni kwamba watu wana furaha baada ya Magufuli kufa. Magufuli alikuwa ni DIKTETA aliyetawala nchi kwa maamuzi binafsi bila kufuata katiba. Alilitawala bunge kwa remote, alitisha Mahakama isiamue kinyume na Serikali na akavitisha kuvifungia vyombo vya habari vitakavyotangaza habari asizopenda.
Magufuli aliua wakosoaji, aliteka na kuwatesa wapinzani, alisomamisha shughulu za vyama vya siasa. Alimiliki kundi maalum la WASIOJULIKANA likiwa chini ya Makonda na Sabaya kwa ajili ya kutesa na kuua

Huku akijuwa kuwa 90% ya Watanzania ni wajinga na hawana uwezo wa kutafuta taarifa mbadala, akawajaza propaganda zake za uwongo kuhusu Tanzania kuwa donor country, vita vya uchumi na wivu wa mabeberu. Wenye akili wachache wameanza kugundua uwongo wake baada ya kuona mabadiliko na ukweli kwenye awamu ya Samia.

Aliwadanganya kuwa anachukia mafisadi kumbe anataka afanye ufisadi yeye peke yake na wateule wake wachache akina Makonda, Sabaya, Dotto James, Biswalo Mganga, Bashiru Ally, Kijazi, Mfugale, Kabudi nk

Mtoa mada Njegele ni kiwakilishi cha Watanzania wajinga ambao bado wako indoctrinated na propaganda za uwongo za Magufuli.

Jiulize kwa nini hakuna nyuzi nyingi zinazowaandika kuwaponda akina Benjamin Mkapa ambaye wamepishana miezi tu na huyo HAYAWANI wa Chato kufa, au JK Nyerere aliyetawala miala 25 tokea uhuru.

Kwani wanaomponda Magufuli wanakutana wapi kupanga kuandika hizo nyuzi? Ni kwamba aisifuye mvua imemnyea. Wala usihangaike kuzipiga vita
 
Wapi Saanane, Azory, Mawazo ,viroba vya maiti pale CoCo beach,Ruvu etc ,elewa ni binadamu wenzetu wale, huyu rais alikua muuaji, katili wa kiwango cha juu nchi imewahi kushughudia, wewe unalalama humu kwa sababu familia yako ipo around, je umewahi kujiuliza familia ya Azory inauspicious vipi?,je lini watapata closure?,LNG ipo njiani kwenda ile black address
Wewe mpumbavu, wapi alipo Mwangosi, Ulimboka na wale watu 5 waliouawa na bomu kwenye mkutano wa machadema pale arusha?
 
As long as alihusisha aliyoyafanya na KUUA WATU/KUPOTEZA WATU/KUWAFUNGA WATU GEREZANI KWA KESI ZA KUSINGIZIWA-KISIASA basi wote ubageuka kuwa upouuzi. Acha ninunue kilo ya maharage elfu 4 , petrol elfu 3 etc etc lakini nina uhakika kuwa kesho yangu nitaiona! Sitatekwa, sitauawa , sitapotezwa. Ni bora niwe masikini kwenye UHURU
Taahira, pumbavu, kapuku na mjinga kama wewe utekwe na nani? Kwa lipi?

Waonee huruma ndugu zako wanaoshindia mlo mmoja huku wewe ukiendekeza siasa za akina Mbowe walookumbatia mabuyu ya asali
 
Wewe mshenzi akili yako iko tumboni tu ndiyo maana unafikilia kula tu kujaza tumbo. Wenye akili wanafikiria mambo makubwa.

Mzimu wa Magufuli ni nini? Kwangu ni kwamba watu wana furaha baada ya Magufuli kufa. Magufuli alikuwa ni DIKTETA aliyetawala nchi kwa maamuzi binafsi bila kufuata katiba. Alilitawala bunge kwa remote, alitisha Mahakama isiamue kinyume na Serikali na akavitisha kuvifungia vyombo vya habari vitakavyotangaza habari asizopenda.
Magufuli aliua wakosoaji, aliteka na kuwatesa wapinzani, alisomamisha shughulu za vyama vya siasa. Alimiliki kundi maalum la WASIOJULIKANA likiwa chini ya Makonda na Sabaya kwa ajili ya kutesa na kuua

Huku akijuwa kuwa 90% ya Watanzania ni wajinga na hawana uwezo wa kutafuta taarifa mbadala, akawajaza propaganda zake za uwongo kuhusu Tanzania kuwa donor country, vita vya uchumi na wivu wa mabeberu. Wenye akili wachache wameanza kugundua uwongo wake baada ya kuona mabadiliko na ukweli kwenye awamu ya Samia.

Aliwadanganya kuwa anachukia mafisadi kumbe anataka afanye ufisadi yeye peke yake na wateule wake wachache akina Makonda, Sabaya, Dotto James, Biswalo Mganga, Bashiru Ally, Kijazi, Mfugale, Kabudi nk

Mtoa mada Njegele ni kiwakilishi cha Watanzania wajinga ambao bado wako indoctrinated na propaganda za uwongo za Magufuli.

Jiulize kwa nini hakuna nyuzi nyingi zinazowaandika kuwaponda akina Benjamin Mkapa ambaye wamepishana miezi tu na huyo HAYAWANI wa Chato kufa, au JK Nyerere aliyetawala miala 25 tokea uhuru.

Kwani wanaomponda Magufuli wanakutana wapi kupanga kuandika hizo nyuzi? Ni kwamba aisifuye mvua imemnyea. Wala usihangaike kuzipiga vita
Povu lote hili linaonesha ni jinsi gani yule mtu alikutesa, anakutesa na ataendelea kukutesa.

Dada mzimu wa Magufuli utawatesa sana. Ushahidi ni hili povu ulilotoa hapa
 
Wapi Saanane, Azory, Mawazo ,viroba vya maiti pale CoCo beach,Ruvu etc ,elewa ni binadamu wenzetu wale, huyu rais alikua muuaji, katili wa kiwango cha juu nchi imewahi kushughudia, wewe unalalama humu kwa sababu familia yako ipo around, je umewahi kujiuliza familia ya Azory inauspicious vipi?,je lini watapata closure?,LNG ipo njiani kwenda ile black address
Hahahaaa haha Hahahaaa,unaweweseka sana,unapata taabu na hulali kbs usiku,
 
Kila nikiwa nasoma Uzi JF haiwezi kupita wiki nzima bila kuwekwa Uzi wa JPM, ni kwamba Magufuli alifanya mambo mazuri Sana Kwa wananchi ndo maana wanamkumbuka?
Ama alifanya ya ovyo Sana Kwa wananchi ndo maana wanamkumbuka.

Nikiwa nafikiria hayo nikakumbuka enzi za JPM petrol ilikuwa 1700/= Michele 1500, na maharage 2000, nikakumbuka hakukuwa na mgao wa umeme japo hapakuwa na mikutano ya kisiasa, kutekwa Kila mara ila gharama za maisha zilikuwa chini.

NIMEKUMBUKA TU
Sio kila wiki,ni kila siku iendayao kwa mola,

Wamemuua ila hawaamini kama ameshakufa
 
..walioshirikiana na Jpm ktk kuteka, kutesa, kupora fedha na mali, na kuua, nao wanateseka na mzimu wake kila siku.
Hapo ndio jpm alisema utawala wake tajiri anaweza kufanywa lolote. Alikua na maana wale fisadi kama singa na yule muhaya patna wake iptl. Hayo ya eti kuteka kupora na kuua ni uzushi tu ila fisadi mlikiona cha mtema kuni. Matokeo wananchi waliyaona kwa uchumi kukua na kuwepo fedha nyingi za miradi kutokana na fisadi na wazembe kufyata mikia yenu.
 
Hahahaaa haha Hahahaaa,unaweweseka sana,unapata taabu na hulali kbs usiku,
Exactly mkuu, ninaomba niwe naye ana kwa ana nimuulize kiapo chake cha kulinda raia why alikisaliti?,nitamuuliza wapi Mr.Ben Saanane mwana JF mwenzetu?,na nita maintains eye contact naye, nimewahurumia sana wanafunzi wake pale sengerema sec school, na siku ulanzi wangu ukipanda picha za pale kwa Mbata musical shop nitazituma kwenye social networks, Nina hasira naye jibu NI YES
 
As long as alihusisha aliyoyafanya na KUUA WATU/KUPOTEZA WATU/KUWAFUNGA WATU GEREZANI KWA KESI ZA KUSINGIZIWA-KISIASA basi wote ubageuka kuwa upouuzi. Acha ninunue kilo ya maharage elfu 4 , petrol elfu 3 etc etc lakini nina uhakika kuwa kesho yangu nitaiona! Sitatekwa, sitauawa , sitapotezwa. Ni bora niwe masikini kwenye UHURU
Good.
 
MAGUFULI ana MABAYA MENGI kuliko MAZURI Dhambi ya Kuua inazima mazuri yote
Dhambi ya Chuki
Dhambi ya Wizi wa Kura na Fedha za Masikini
Dhambi y kubambikizia Wananchi wako Kesi nzito za Ugaidi Mauaji Uhujumu uchumi Utakatishaji
Dhambi ya Utekaji
VYOTE hivyo ni CHUKIZO Machoni pa MUNGI
Hakika.
 
"Mtanikumbuka kwa mazuri Wala si kwa mabaya,kwa kuwa nimeyasacrifice maisha yangu kwa ajili ya Watanzania maskini" RIP Baba wa Taifa JPM
Baba wa Taifa ni mzalendo pekee kuwahi kutokea tangu uhuru nae ni Mwalimu Julius kambarage Nyerere!! Over
 
Back
Top Bottom