Mzigo wa nini?

gaijing umesema mwaya lakin umesahau kitu kimoja.silaha bib weeeeeeeee kijibastola kidooooooooooooogo au kijisplay ile spray ya pilpili basi watoto wa mbwa wakitaka kukudhuru unafanya kuwapulizia tu fyuuuuuuuuuuuuuuu fyuuuuuuuuuuuuu afu safari inaendelea!!!!!!!!!!!1
kijisiraha muhimu km c spray ya upupu au pilipili basi kijitofali flan ivi japo cha robo kilo apo mkoba unakuwa full for evethng ushonaji umo,stationary umo,confevtionary umo ,mc donald umo ,kwa kova na tibaigana pia umo!!!!!!!!!
halaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
nawasilisha.:lie:
 
hahahha rose umenikata mbavu vibaya ..................hahahah

kweli mpenzi silaha muhimu.........nimesahau hapo kuwa una na kidigital camera chako cha kufanyia upaparazi inapolazimu!
 
Mimi nimewagiza da sophy wangu sabuni (odourless) na mafuta yangu viwe sehemu ya mizigo yake.
 
Mbona c wanaume hatuna hofu ya kuchanika suruali zetu wala hatubebi cherehani?

:pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound:Lolz Kaka hapa umeua mazima!

Kweli bana; maana hebu fikiria kila kukicha mtu anabeba kilo nne begani; wanaweza kujazia mkono mmoja bila kujijua!
 
Sabuni ordouless........................mmmh! (Shusha pumzi!)

Wazee wa detection na ukaguzi TAKE NOTE!:mad:
 
Me huwa sibebi khanga kwenye mkoba wangu ila kuna siku nilimuona mdada alivaa suruali ya kubana sana sasa ile ani inama kuokata cjui nini suruali yote pwaaaaaaa ikachanika yaani ilikuwa bonge la aibu bahati mama mmoja akatoa khanga kwenye mkoba kamsitiri yaani halafu hapo pembeni kulikuwa na madreva taxi walimzomea mpka basi maana waliona kila kitu me nadhani khanga ni muhimu kwa matumizi sahihi
 
Mbu kama unataka kuuliza swali hilo basi uwe tayari kwa kasheshe itakayozuka kufuatia swali hilo.
Baba Mwenye nyumba: Hiyo Kanga uliyoifukiza kwa manukato unaiweka kwenye kijaluba chako unaenda nayo wapi?
Mama mwenye nyumba: Kwani wewe unafikiri ninaenda nayo wapi?
Kitakachofuata baada ya wote kuulizana maswali anakijua Mungu na kama hukujiandaa utajuta kuzaliwa.

...ha ha ha, BAK na kweli aisee...maswali mengine unaweza rudishiwa jibu na swali la nyongeza hapo hapo, halafu ikaondolewa na shilingi vile vile mpaka kieleweke!. Ahsante kwa kunikumbusha hili mazee..

Mungu atunusuru!

...nakwambia!... wazee wa onja-onjaring waweza jifunza mengi kuhusu mikoba ya wake zao kutokana na malighafi za hao wanaovunja nao amri ya sita, ikiwemo hivyo vijisabuni, etc. Nasikia wengine hubeba Lotion na Vaseline, vyote vya nini?

Bana si unajua harufu ya vile visabuni vidogo??? Balaa....

...haya sasa, kwani nyumbani kuna mgao wa NUWA mpaka akakoge kazini?
 
Me huwa sibebi khanga kwenye mkoba wangu ila kuna siku nilimuona mdada alivaa suruali ya kubana sana sasa ile ani inama kuokata cjui nini suruali yote pwaaaaaaa ikachanika yaani ilikuwa bonge la aibu bahati mama mmoja akatoa khanga kwenye mkoba kamsitiri yaani halafu hapo pembeni kulikuwa na madreva taxi walimzomea mpka basi maana waliona kila kitu me nadhani khanga ni muhimu kwa matumizi sahihi

...ahaa haa,.....unatuachia maswali zaidi hapa jamani. Kumbe kuna matumizi yasiyo sahihi da Salha, ninong'oneze kwa mfanowe...:A S tongue:
 
...haya sasa, kwani nyumbani kuna mgao wa NUWA mpaka akakoge kazini?[/QUOTE]

Huwezi jua ndugu yangu....labda nyumbani maji ya mgao na kuoga inabidi shurti kwa ndoo...lakini kazini yanatoka na kuna raha yake ya kujiachia ukapata "shawa" yako kabla ya kurudi nyumbani.
 
:pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound:Lolz Kaka hapa umeua mazima!

Kweli bana; maana hebu fikiria kila kukicha mtu anabeba kilo nne begani; wanaweza kujazia mkono mmoja bila kujijua!

Baada ya miaka michache huyu hakawii kuanza kulalama kwamba mgongo unamuuma kila siku iendayo kwa Mungu.
 
mimi nilikuwa nafikiri labda kanga huwa wanaweka dharura wakifikwa na siku zao bila wao kutegemea...watu si wanatofautiana jamani, mwingine anaweza kuanza kubleed because of mshituko fulani tu etc na wengine siku zinakuwa zigzaga hivyo ajajua kama amevaa sketi wakati huo akijisikia ubichi tu anavaa kanga hadi afike nyumbani ili watu wasilitambue hilo...au ni nini zaidi ya hilo?...ni desturi tangu zamani, hivyo hat akama haiotatokea hivyo, ni desturi ya wengine...

kama mnaongelea kuhusu uzinzi, si lazima awe na kanga? mtu mzima anaweza kufanya chochote hata mumewe asijue kama ameamua na kama dhambi ya uzinzi imemjaa moyoni..na kanga sijui kama ndo wanatumia hivyo...wadada wenyewe watuambie kama huwa wanafanya hivyo kwaajili ya nini....
 
Bana si unajua harufu ya vile visabuni vidogo??? Balaa....
visabuni vile sijui kwanini gesti wanavipenda sana!....
kila gesti wanaviweka vile HALAFU VINA HARUFU KWEL KWEL:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
Huwezi jua ndugu yangu....labda nyumbani maji ya mgao na kuoga inabidi shurti kwa ndoo...lakini kazini yanatoka na kuna raha yake ya kujiachia ukapata "shawa" yako kabla ya kurudi nyumbani.

...aaaah, hakuna kitu kama hiyo. kama nakoga kwa ndoo na kata sote tutakoga hivyo! dah...hapo pazazuka maswali mengine taulo mbona hakuchukua?...kandambili je?

Ngoja nami nianzishe katabia ka kubeba makorokoro yangu kazini kwenye ruck sack (ikiwamo msuli wa kulalia,) I hope maza hausi hatalianzisha timbwili la Asha Ngedere.
 
Back
Top Bottom