Mom
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 708
- 29
Unajitahidi usiingie wapi na kanga? Gesti au?
we hakimu? maswali mi siko jela eti? ok nisiingie kwenye infidelity
Unajitahidi usiingie wapi na kanga? Gesti au?
Mbona c wanaume hatuna hofu ya kuchanika suruali zetu wala hatubebi cherehani?
Ahaa! Sawa na safi kabisa.we hakimu? maswali mi siko jela eti? ok nisiingie kwenye infidelity
Kwanini kwenye hiyo list hakuna hela/ ATM card?
Mi nilizani ndo vitu vya muhimu mwanamke kuanavyo na vingesaidia kupatikanika kwa nafasi kwenye dalalala.
Sa mfano unafanya kazi Kariakoo, kunaulazima gani wa kubebelea saduku wakati vitu vyote vinapatikanika madukani?
Najua nitajibiwa eti dharula mf MP au kuchanika kwa nguo kunaweza kutokea ghafa, sa kama ni ivyo, itakushinda nini kumtuma mtu wa hapo ofisni akakununulie sindano ,uzi au always?
Afu hayo mabengi msiwe mnakuja nayo kwenye sherehe, kwani hutumika kuibia vinywaji.
Hapo kwenye red, umejuaje hayo kaka JAMBAZI???
Mi mara nyingi kwenye maharusi huwa napewa uenyekiti wa kamati ya vinywaji na wakati mwingine ulinzi, huwa nagombana nao sana.
kaka jambazi..........beba charahani ukitaka hujakatazwa ati. Mwanamke kaamua kutumia haki yake ya msingi ya kubeba kile apendacho kwenye pochi lake ndo maana likatuna kivile.
unaweza kui waive haki yako hiyo vilevile ukipenda
Ahaa! Sawa na safi kabisa.
Mwanamke aliyeolewa kuingia kwenye infidelity ni DHAMBI na LAANA kubwa. Ila mwanaume aliyeoa kuingia kwenye infidelity ni kudumisha MILA zetu tukufu za kiafrika. Najua kuna watu watabisha lakini ukweli ndio huo...
Mh! Nasikia hizo kanga ni kwa ajili ya dhalula ya yule 'mgeni wao' anaewatembelea kila mwezi. sometimes huwa anaibuka tu bila taharifa wala apointment.
hiyo ya khanga nadhani sio wanawake wote, cjakuaga nawazo la kubeba khanga kabisa, sema handbag yangu haiishi makorokoo, yaani nikitupa fones humu kuzipata ni mpaka ni beep, cjui hata kwanini...lol
lakini mama matesha anayajua haya?
Mom huyo anawachuuza tu watu humu, akifika home heshima kwa mikono yote miwili.
Kwanini kwenye hiyo list hakuna hela/ ATM card?
Mi nilizani ndo vitu vya muhimu mwanamke kuanavyo na vingesaidia kupatikanika kwa nafasi kwenye dalalala.
Sa mfano unafanya kazi Kariakoo, kunaulazima gani wa kubebelea saduku wakati vitu vyote vinapatikanika madukani?
Najua nitajibiwa eti dharula mf MP au kuchanika kwa nguo kunaweza kutokea ghafa, sa kama ni ivyo, itakushinda nini kumtuma mtu wa hapo ofisni akakununulie sindano ,uzi au always?
Afu hayo mabengi msiwe mnakuja nayo kwenye sherehe, kwani hutumika kuibia vinywaji.
Hapo kwenye red, umejuaje hayo kaka JAMBAZI???
yaani huyu kaka jambazi ni jambazi kweli maana kwanza kaulizia Tm na hela then bia za wizi, mmh
Umenichekesha sana Mbu...kuna dada mmoja ofisini huwa namtania jioni lazima ameze panadol na mzee huenda akakosa huduma kwa uchovu kisa begi kubwa.