Mzee Yusufu Makamba kwenye Kampeni Mwaka huu

Mzee Yusufu Makamba kwenye Kampeni Mwaka huu

Muda bado, tusubiri. Kama hakutoyokea changes zozote.
 
Hajaonekana. Mzee wa kulamba asali. Nadhani itakuwa yupo reserve anasubiria kufanya Kampeni mkoani mwake Tanga.

Huyu Mzee wa Pwani ana maneno sana nadhani atatumika kwa wakati wake kumnadi mgombea Urais wa CCM.

Huyu ni MwanaCCM kindaki ndaki, kada mzoefu ambaye tunamwitaji aongezee nguvu katika harakati hizi
Wakati umemuacha sana yuko daraja la kina Msekwa na Mukama hao hawana jipya
 
Unajua umri wa huyo Mzee kwasasa kiasi cha kuanza kukimbizana na Kampeni?.

Safarini Tandika Tanzania.
 
Mkuu Chizi Maarifa huyu mzee huko aliko kama kasoma hii thread yako atakuwa kaachia bonge la msonyo na tusi juu! Mwanae mpendwa wamemtemesha ulaji unafikiri atakuwa na huo mzuka wa kupanda jukwaani kumnadi mgombea wa CCM?!
 
Mkuu Chizi Maarifa huyu mzee huko aliko kama kasoma hii thread yako atakuwa kaachia bonge la msonyo na tusi juu! Mwanae mpendwa wamemtemesha ulaji unafikiri atakuwa na huo mzuka wa kupanda jukwaani kumnadi mgombea wa CCM?!

Ha ha ha.... Lakini huyu mzee nadhani hana tatizo na chama maana si kimerudi kwa wenye nacho kwa sasa?
 
Back
Top Bottom