Mzee Yusufu Makamba kwenye Kampeni Mwaka huu

Mzee Yusufu Makamba kwenye Kampeni Mwaka huu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
13,716
Reaction score
30,069
Hajaonekana. Mzee wa kulamba asali. Nadhani itakuwa yupo reserve anasubiria kufanya Kampeni mkoani mwake Tanga.

Huyu Mzee wa Pwani ana maneno sana nadhani atatumika kwa wakati wake kumnadi mgombea Urais wa CCM.

Huyu ni MwanaCCM kindaki ndaki, kada mzoefu ambaye tunamwitaji aongezee nguvu katika harakati hizi
 
Hajaonekana. Mzee wa kulamba asali. Nadhani itakuwa yupo reserve anasubiria kufanya Kampeni mkoani mwake Tanga.

Huyu Mzee wa Pwani ana maneno sana nadhani atatumika kwa wakati wake kumnadi mgombea Urais wa CCM.

Huyu ni MwanaCCM kindaki ndaki, kada mzoefu ambaye tunamwitaji aongezee nguvu katika harakati hizi
Mzee.muongea hovyo
 
Hajaonekana. Mzee wa kulamba asali. Nadhani itakuwa yupo reserve anasubiria kufanya Kampeni mkoani mwake Tanga.

Huyu Mzee wa Pwani ana maneno sana nadhani atatumika kwa wakati wake kumnadi mgombea Urais wa CCM.

Huyu ni MwanaCCM kindaki ndaki, kada mzoefu ambaye tunamwitaji aongezee nguvu katika harakati hizi
Kasusa hadi January arejeshwe.
 
Hamna bwana sisi CCM huwa tuna busara sana tunajiachia tu.
Hajaonekana. Mzee wa kulamba asali. Nadhani itakuwa yupo reserve anasubiria kufanya Kampeni mkoani mwake Tanga.

Huyu Mzee wa Pwani ana maneno sana nadhani atatumika kwa wakati wake kumnadi mgombea Urais wa CCM.

Huyu ni MwanaCCM kindaki ndaki, kada mzoefu ambaye tunamwitaji aongezee nguvu katika harakati hizi
Ngoja nimwite rafiki yako Tanganian
 
Mtoto wake mmemtupilia mbali pamoja na kuhakikisha CCM inabaki kwenye usukani kipindi ambacho ilikuwa hatihati itupwe nje ya ulingo halafu yeye mnataka mumsumbue.
Screenshot_20250826-172539.jpg
Screenshot_20250826-172536.jpg
 
Hajaonekana. Mzee wa kulamba asali. Nadhani itakuwa yupo reserve anasubiria kufanya Kampeni mkoani mwake Tanga.

Huyu Mzee wa Pwani ana maneno sana nadhani atatumika kwa wakati wake kumnadi mgombea Urais wa CCM.

Huyu ni MwanaCCM kindaki ndaki, kada mzoefu ambaye tunamwitaji aongezee nguvu katika harakati hizi
Mzee miguu imevimba kama ya tembo hawezi tena kitu kwa sasa.
 
Hajaonekana. Mzee wa kulamba asali. Nadhani itakuwa yupo reserve anasubiria kufanya Kampeni mkoani mwake Tanga.

Huyu Mzee wa Pwani ana maneno sana nadhani atatumika kwa wakati wake kumnadi mgombea Urais wa CCM.

Huyu ni MwanaCCM kindaki ndaki, kada mzoefu ambaye tunamwitaji aongezee nguvu katika harakati hizi
Aliongea utopia kipindi cha JPM kuwa atatubatuza kwa moto akabatizwa yeye.
 
Hajaonekana. Mzee wa kulamba asali. Nadhani itakuwa yupo reserve anasubiria kufanya Kampeni mkoani mwake Tanga.

Huyu Mzee wa Pwani ana maneno sana nadhani atatumika kwa wakati wake kumnadi mgombea Urais wa CCM.

Huyu ni MwanaCCM kindaki ndaki, kada mzoefu ambaye tunamwitaji aongezee nguvu katika harakati hizi
Ila wewe jamaa mnafiki sana...
 
Back
Top Bottom