GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,177
Mzee pumzika sasa, hili la DP World linakuabisha na kukuvua kabisa nguo kwa unavyolitetea hovyo.
Njaa,akinyamaza posho ataitoa wapi!?Mzee pumzika sasa hili la DP World linakuabisha na kukuvua kabisa Nguo kwa Unavyolitetea hovyo.
Mzee pumzika sasa hili la DP World linakuabisha na kukuvua kabisa Nguo kwa Unavyolitetea hovyo.
Njaa,akinyamaza posho ataitoa wapi!?
Huyu kinachomsumbua ni Tamaa hapo hapo anataka heshima , niliwahi kusema .tamaa na heshima HAVIKAI pamoja , si ana jengo nyuma ya stend atulie . Mtu serikali zote kapiga chapuo .duuuu anatia aibu c ana mke na watoto si wamwambie aacheMzee pumzika sasa hili la DP World linakuabisha na kukuvua kabisa Nguo kwa Unavyolitetea hovyo.
Hawez coz an tamaa hapo hapo anataka heshimaAfuate mfano wa mzee Butiku na Warioba
MZEE WENU ANATIA AIBU UMRI ULE SIO WA KUWA MNAFIKI NA UCHAWA ISHAURINI FAMILIA YAKE IMWAMBIE MZEE WAO APUMZIKE CCM INAMTUMIA TUMzee pumzika sasa, hili la DP World linakuabisha na kukuvua kabisa nguo kwa unavyolitetea hovyo.
Kuna wazee na misukule... Nashangaa watu kuwapa hadhi ya uzee hivi vimisukule, vichumia tumbo, mvi zizizo na thamani,.....Huyu mzee awamu zote sita yupo tu kwenye payroll ya CCM. Toka enzi za Nyerere. Mwenzake Mkuchika hana mbambamba
Wanafasihi wamekuelewaHUYU MZEE NI MAKINI SANA
Masikini wa nini?HUYU MZEE NI MAKINI SANA
rudia kusoma ulichoandikaMasikini wa nini?
Unaijua CCM unaisikia?Mzee pumzika sasa, hili la DP World linakuabisha na kukuvua kabisa nguo kwa unavyolitetea hovyo.
Sana. Hata pale alipovaa koti kwa staili mpya alikuwa makini sana.HUYU MZEE NI MAKINI SANA
Ukimsikiliza bila kuwa na upande hapa Wasira anakosoa uamzi wa kuuza na aliyeuza kwa lugha ya kistaarabu!Mzee pumzika sasa, hili la DP World linakuabisha na kukuvua kabisa nguo kwa unavyolitetea hovyo.