Jinsi Mkuu wa Mkoa wa Mara anavyochochea mgogoro wa ardhi baina ya Serengeti vs Bunda

witzone2

JF-Expert Member
Jan 14, 2022
780
1,633
Kuna mgogoro wa ardhi baina ya wilaya Serengeti vs Bunda katika vijiji vya Mekomariro kilichopo Bunda na remng'orori kilichopo Serengeti.

Kisa kikiwa ni kugombania mpaka. Mgogoro huu umedumu takriban miaka 8 Sasa. Watu wanauana mara Kwa mara. Lakn serikali ya mkoa imeshindwa kulitatua.

Mwaka huu waliweka vigingi kuonesha mipaka yake ambayo ilisimamiwa wakuu wa wilaya zote mbili. Na mgogoro ukawa umeisha.

Sasa juzi Tena watu kutoka Kijiji cha remng'orori wamevamia Tena na kuanza kujenga zoezi likisimamiwa na Mkuu wa mkoa. Na hii ni baada ya watu kwenda Kwa Mkuu wa wilaya ya Bunda kulalamika akawambia Hilo swala liko mkoan na hawezi kulizungumzia

Siku Mkuu wa mkoa amefanya mkutano eneo la mgogoro alionesha kupendelea watu wa Serengeti kwa kuwambia watu wa Kijiji cha Mekomariro kumpatia watu wa serenget ekari 50. Kitu ambacho watu wa Mekomariro walimuambia kuwa labda awapeleke wote mahabusu.

Mgogoro ulikuwa umekwisha na maaskari Toka wilaya zote walikuwa pale Kila siku Kwa kuangalia Hali ya usalama. Lakni Kwa Sasa wameondolewa wa wilaya ya Bunda Kwa amri ya Mkuu wa mkoa na watu wa remng'orori wanajenga Kwa speed wakiwa wamesimamiwa na askari Toka wilaya ya Serengeti.
 
Kuna mgogoro wa ardhi baina ya wilaya Serengeti vs Bunda katika vijiji vya Mekomariro kilichopo Bunda na remng'orori kilichopo Serengeti.

Kisa kikiwa ni kugombania mpaka. Mgogoro huu umedumu takriban miaka 8 Sasa. Watu wanauana mara Kwa mara. Lakn serikali ya mkoa imeshindwa kulitatua.

Mwaka huu waliweka vigingi kuonesha mipaka yake ambayo ilisimamiwa wakuu wa wilaya zote mbili. Na mgogoro ukawa umeisha.

Sasa juzi Tena watu kutoka Kijiji cha remng'orori wamevamia Tena na kuanza kujenga zoezi likisimamiwa na Mkuu wa mkoa. Na hii ni baada ya watu kwenda Kwa Mkuu wa wilaya ya Bunda kulalamika akawambia Hilo swala liko mkoan na hawezi kulizungumzia

Siku Mkuu wa mkoa amefanya mkutano eneo la mgogoro alionesha kupendelea watu wa Serengeti kwa kuwambia watu wa Kijiji cha Mekomariro kumpatia watu wa serenget ekari 50. Kitu ambacho watu wa Mekomariro walimuambia kuwa labda awapeleke wote mahabusu.

Mgogoro ulikuwa umekwisha na maaskari Toka wilaya zote walikuwa pale Kila siku Kwa kuangalia Hali ya usalama. Lakni Kwa Sasa wameondolewa wa wilaya ya Bunda Kwa amri ya Mkuu wa mkoa na watu wa remng'orori wanajenga Kwa speed wakiwa wamesimamiwa na askari Toka wilaya ya Serengeti.
 
Haki haipotei japo inaweza kuchelewa wenye ardhi wataimiliki Tu hata ujengwe ukuta kama wa Mexico na marekani mlikula michongo na wakuu wa wilaya na wahuni wahuni mkaleta vurugu kwenye ardhi ya watu mlidhani ni rahisi bikini na GN za kihuni huni na bado
 
Haki haipotei japo inaweza kuchelewa wenye ardhi wataimiliki Tu hata ujengwe ukuta kama wa Mexico na marekani mlikula michongo na wakuu wa wilaya na wahuni wahuni mkaleta vurugu kwenye ardhi ya watu mlidhani ni rahisi bikini na GN za kihuni huni na bado
Ngudu yangu nikwambie tu. Migogoro mingi ya nchi hii inasababishwa na Viongozi. Ila Kwa hili hamtapata kushinda. Nilikuwa na uelewa kama wako. Lakn baada ya kulifatilia. Niligundua kuwa zilipowekwa bikon ndo mpaka halisi.

Juzi juzi mkurungezi alipika watendaji makofi mbele za watu kisa analazimisha kuja na wanasheria wa wilaya ya Bunda kutengenezea huyo mnae Mwita muwekezaji kupatiwa ekari 50. Watu wakagoma. Ndo akaenda kuleta Mkuu na yeye watu wakagoma. Akaona Sasa atumie nguvu. Na hili nalo litaondoka naye ofisin nikwambie tu ukweli
 
Ngudu yangu nikwambie tu. Migogoro mingi ya nchi hii inasababishwa na Viongozi. Ila Kwa hili hamtapata kushinda. Nilikuwa na uelewa kama wako. Lakn baada ya kulifatilia. Niligundua kuwa zilipowekwa bikon ndo mpaka halisi.

Juzi juzi mkurungezi alipika watendaji makofi mbele za watu kisa analazimisha kuja na wanasheria wa wilaya ya Bunda kutengenezea huyo mnae Mwita muwekezaji kupatiwa ekari 50. Watu wakagoma. Ndo akaenda kuleta Mkuu na yeye watu wakagoma. Akaona Sasa atumie nguvu. Na hili nalo litaondoka naye ofisin nikwambie tu ukweli
Mura nyambura atatufilisi kama una documents za mipaka tuwekee hapa. Tusipojiongeza tutakuwa maskini. Hawa jamaa wana GN zote. Weka iliyoweka mpaka hapa tuione
 
Ngudu yangu nikwambie tu. Migogoro mingi ya nchi hii inasababishwa na Viongozi. Ila Kwa hili hamtapata kushinda. Nilikuwa na uelewa kama wako. Lakn baada ya kulifatilia. Niligundua kuwa zilipowekwa bikon ndo mpaka halisi.

Juzi juzi mkurungezi alipika watendaji makofi mbele za watu kisa analazimisha kuja na wanasheria wa wilaya ya Bunda kutengenezea huyo mnae Mwita muwekezaji kupatiwa ekari 50. Watu wakagoma. Ndo akaenda kuleta Mkuu na yeye watu wakagoma. Akaona Sasa atumie nguvu. Na hili nalo litaondoka naye ofisin nikwambie tu ukweli
Hiyo mipaka uliyofuatili ukajua ni ya mwaka gani? Endeleeni kuchangishana pesa kwa ajili ya kupalilia vurugu huyo anaewachangisha pesa anawatapeli mafuta na maji yatajitenga Tu eneo watu wanamiliki tangu nchi haijapata Uhuru nyie huo ujuzi Wa mipaka na kulipangia matumizi mliutoa wapi 😅 wapeni tena wakuu wa wilaya hela wakapige watu na kubomoa nyumba zao maana ndio kazi mnayoweza Ila huyo anaewachangisha pesa anawatapeli Tu msilazimishe mambo yasiyokuwa na ukweli mnapalilia Fujo zisizo na tija wakati mmebomoa nyumba za watu na kuwatia hasara mbona hukuandika humu tuone
 
Kuna mgogoro wa ardhi baina ya wilaya Serengeti vs Bunda katika vijiji vya Mekomariro kilichopo Bunda na remng'orori kilichopo Serengeti.

Kisa kikiwa ni kugombania mpaka. Mgogoro huu umedumu takriban miaka 8 Sasa. Watu wanauana mara Kwa mara. Lakn serikali ya mkoa imeshindwa kulitatua.

Mwaka huu waliweka vigingi kuonesha mipaka yake ambayo ilisimamiwa wakuu wa wilaya zote mbili. Na mgogoro ukawa umeisha.

Sasa juzi Tena watu kutoka Kijiji cha remng'orori wamevamia Tena na kuanza kujenga zoezi likisimamiwa na Mkuu wa mkoa. Na hii ni baada ya watu kwenda Kwa Mkuu wa wilaya ya Bunda kulalamika akawambia Hilo swala liko mkoan na hawezi kulizungumzia

Siku Mkuu wa mkoa amefanya mkutano eneo la mgogoro alionesha kupendelea watu wa Serengeti kwa kuwambia watu wa Kijiji cha Mekomariro kumpatia watu wa serenget ekari 50. Kitu ambacho watu wa Mekomariro walimuambia kuwa labda awapeleke wote mahabusu.

Mgogoro ulikuwa umekwisha na maaskari Toka wilaya zote walikuwa pale Kila siku Kwa kuangalia Hali ya usalama. Lakni Kwa Sasa wameondolewa wa wilaya ya Bunda Kwa amri ya Mkuu wa mkoa na watu wa remng'orori wanajenga Kwa speed wakiwa wamesimamiwa na askari Toka wilaya ya Serengeti.
Mnatapatapa mshaliwa vijisent vyenu mnavyojichangisha
 
Back
Top Bottom