Hypersonic
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 615
- 1,139
Mkoa wa Mara una historia kubwa sana katika nchi hii. Ni mkoa pekee ambao mewahi kutoa viongozi wa juu wa serikali kwa wakati mmoja. Nikimaanisha CDF, PM na President.
Bahati mbaya sana ulipachikwa sifa mbaya kuwa ni mkoa wa watu wa korofi, wanyanyasaji na ambao kazi zao kuu ni mbili kama si tatu kwa maana jwtz,polisi na ualimu. Nyote tunakubaliana kuwa mkoa wa Mara siyo tena Mkoa unattended kwa kesi za unyanyasaji, mauaji na ubakaji.
Badala yake naona mikoa kama Morogoro,Mbeya,Manyara na Iringa.
Wengi kwa wakati huo walishindwa kutofautisha misimamo binafsi ya watu na ukorofi.
Lakini pia mkoa wa Mara ndo ulikuwa wa kwanza kuchagua mbunge wa upinzani kutokea jimbo la Musoma mjini.
Bahati mbaya sana ulipachikwa sifa mbaya kuwa ni mkoa wa watu wa korofi, wanyanyasaji na ambao kazi zao kuu ni mbili kama si tatu kwa maana jwtz,polisi na ualimu. Nyote tunakubaliana kuwa mkoa wa Mara siyo tena Mkoa unattended kwa kesi za unyanyasaji, mauaji na ubakaji.
Badala yake naona mikoa kama Morogoro,Mbeya,Manyara na Iringa.
Wengi kwa wakati huo walishindwa kutofautisha misimamo binafsi ya watu na ukorofi.
Lakini pia mkoa wa Mara ndo ulikuwa wa kwanza kuchagua mbunge wa upinzani kutokea jimbo la Musoma mjini.