Mzee Warioba aanguka Jukwaani!

Mzee Warioba aanguka Jukwaani!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
17,147
Reaction score
26,466

Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari Hali ya Kisiasa Nchini, mezee Warioba akiongea ameanguka jukwaani akitoa mada kuhusu katiba na Muungano.

Haijulikani sababu.ya kuanguka. Yupo Serena Hotel.Maombi yenu wadau.

Iteni ambulance apelekwe hospital, ninyi hamna uwezo wa kupa huduma.



Tayari amesimama, hope atakuwa sawa

 

Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari Hali ya Kisiasa Nchini, mezee Warioba akiongea ameanguka jukwaani akitoa mada kuhusu katiba na Muungano.

Haijulikani sababu. ya kuanguka japo , wanasema mic ilikuwa na unga unga, , lakini ni story tu. Yupo Serena Hotel.Maombi yenu wadau.

Iteni ambulance apelekwe hospital, ninyi hamna uwezo wa kupa huduma.
Watanzania ni wapumbavu sana..nini ambacho Mzee Warioba hajakisema? Hakuna haja ya kusumbua Mzee na umri huo..vijana chukua hatua, acheni Mzee Warioba abaki kwake apumzike, mnamualika alika aje aseme nini vyote alishasema, fanyia kazi yale alishasema you idiots!
 

Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari Hali ya Kisiasa Nchini, mezee Warioba akiongea ameanguka jukwaani akitoa mada kuhusu katiba na Muungano.

Haijulikani sababu.ya kuanguka. Yupo Serena Hotel.Maombi yenu wadau.

Iteni ambulance apelekwe hospital, ninyi hamna uwezo wa kupa huduma.

Tayari amesimama, hope atakuwa sawa

Amen , amen!
 
Watanzania ni wapumbavu sana..nini ambacho Mzee Warioba hajakisema? Hakuna haja ya kusumbua Mzee na umri huo..vijana chukua hatua, acheni Mzee Warioba abaki kwake apumzike, mnamualika alika aje aseme nini vyote alishasema, fanyia kazi yale alishasema you idiots!
Yeye mwenyewe huyo Mzee ndo anavyotaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom