Mzee wa Upako alimtabiria Raila ODINGA angeshinda uchaguzi

Mzee wa Upako alimtabiria Raila ODINGA angeshinda uchaguzi

Easyway

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
2,606
Reaction score
3,713
Mchungaji Anton Lusekelo au kwa jina maarufu la Mzee wa upako tarehe 31 januari 2013 ,ndani ya kanisa lake alisema Raila Odinga ndiye angeshinda uchaguzi wa Kenya na Uhuru Kenyatta asingeshinda labda asubiri miaka ijayo na si kwenye uchaguzi huu.

Aliongea maneno haya kwa msisitizo na kurudiarudia sana na kwa mujibu wake utabiri huo alikuwa ameoteshwa na mungu wake.
 
ha ha..
sidhani kama huyu jamaa ana upako wa utabiri
ingawa anaweza kuombea watu wakatoka mapepo
 
Mchungaji Anton Lusekelo au kwa jina maarufu la Mzee wa upako tarehe 31 januari 2013 ,ndani ya kanisa lake alisema Raila Odinga ndiye angeshinda uchaguzi wa Kenya na Uhuru Kenyatta asingeshinda labda asubiri miaka ijayo na si kwenye uchaguzi huu.

Aliongea maneno haya kwa msisitizo na kurudiarudia sana na kwa mujibu wake utabiri huo alikuwa ameoteshwa na mungu wake.

...haa ha ha, muulize jpili ya kesho what happened?maana isije ikawa nae alikuwa anaangalia kura za maoni zile zilizokuwa kila wakati zinaonyesha Raila ndio mwenye nafasi nzuri zaidi..
 
Ganga Ongo ni jitu fulani linalojivika uganga au ujuzi wa kuponya/kutabiri kama hivi kwa uongo.

Linaweza hata kukupa sumu likakwambia dawa.

Nimekupata mkuu....
 
Ganga Ongo ni jitu fulani linalojivika uganga au ujuzi wa kuponya/kutabiri kama hivi kwa uongo.

Linaweza hata kukupa sumu likakwambia dawa.



Brasupa uko wapi uko wapi njoo uone Lusekelo alivochemka huku nilikuambia huyu ni mwongo ukabisha sasa njoo uone kituko cha mwaka je?utamwamini tena?
 
Brasupa uko wapi uko wapi njoo uone Lusekelo alivochemka huku nilikuambia huyu ni mwongo ukabisha sasa njoo uone kituko cha mwaka je?utamwamini tena?

Yeah_hili la kumwini onategemea unamwamin kwa malengo gani,....maake siku hizi mambo ni mengi mkuu,...watu wako kwenye payroll za makanisa na misikiti na wanaishi mjini.
 
Alikwishasema hata kazi ya uchungaji ni usanii, tusubiri atawaambia nini waumini wake, ndoto ilikuwa wongo? Na kama ndivyo kwahiyo alioteshwa na mapepo? Hapa ndio inapothibitisha kuwa sio kila wanalosema latoka kwa Mungu wengine ni kwa tamaa zao.
 
Avunje tunguri zake sasa hehehehehe

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mchungaji Anton Lusekelo au kwa jina maarufu la Mzee wa upako tarehe 31 januari 2013 ,ndani ya kanisa lake alisema Raila Odinga ndiye angeshinda uchaguzi wa Kenya na Uhuru Kenyatta asingeshinda labda asubiri miaka ijayo na si kwenye uchaguzi huu.

Aliongea maneno haya kwa msisitizo na kurudiarudia sana na kwa mujibu wake utabiri huo alikuwa ameoteshwa na mungu wake.

Mzee wa upako si Mungu yeye tu ndiye anayejua yatakayokuja. USIDANGANYIKE.
 
Alikwishasema hata kazi ya uchungaji ni usanii, tusubiri atawaambia nini waumini wake, ndoto ilikuwa wongo? Na kama ndivyo kwahiyo alioteshwa na mapepo? Hapa ndio inapothibitisha kuwa sio kila wanalosema latoka kwa Mungu wengine ni kwa tamaa zao.

Mungu kamuumbua aache kudanganya watu Na yeye ni binadamu kama wengine. Mungu wa kweli huumbua uongo wa dhahiri
 
ndio maana ukaitwa utabiri kama ule wa hali ya hewa tunatangaziwa kimbunga kinakuja baadae tunasikia kimepigwa ajua
 
Hivi wafuasi wake wanajisikiaje baada ya utabiri huo kutotimia
 
Mchungaji Anton Lusekelo au kwa jina maarufu la Mzee wa upako tarehe 31 januari 2013 ,ndani ya kanisa lake alisema Raila Odinga ndiye angeshinda uchaguzi wa Kenya na Uhuru Kenyatta asingeshinda labda asubiri miaka ijayo na si kwenye uchaguzi huu.

Aliongea maneno haya kwa msisitizo na kurudiarudia sana na kwa mujibu wake utabiri huo alikuwa ameoteshwa na mungu wake.

Huyu Mchungaji bila shaka ni mjaluo! tumechoka na kauli hizi za kuoteshwa na Mungu! Babu wa Loliondo alioteshwa na Mungu atibu watu na Kikombe matokeo yake tumeona! Maaskofu mwaka 2005 walituambia Kikwete ni chaguo la Mungu leo wamemgeuka sasa sijui Mungu kawaambia nini tena? sasa tungoje uchaguzi wa 2015 sijui wataoteshwa nani!
 
Jamaa ni Tapeli kama Matapeli wengine tu. Kwangu hana tofauti na akina Papaa Msofe!
 
Back
Top Bottom