Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Mungu anauzwa stationary shop atakuambia ukweli !?
uhuni + maujanja ndio sifa yake. Yeye kuwa na Kanisa na wafuasi ni dalili ya kuwa na watu waliopoteza muelekeo na wanao tegemea miujizq kufanikisha wayatakayo kwenye maishaha ha..
sidhani kama huyu jamaa ana upako wa utabiri
ingawa anaweza kuombea watu wakatoka mapepo
kama ingewezekana kesho waumini waulize maswali ya papo kwa papo na hili likiwemo mbona aijawa trasfooooooooooooooooooooomaaaaaaaaaaaaaama!!!!!!uuuuuuuuuuuuu!!!!!!
Mchungaji Anton Lusekelo au kwa jina maarufu la Mzee wa upako tarehe 31 januari 2013 ,ndani ya kanisa lake alisema Raila Odinga ndiye angeshinda uchaguzi wa Kenya na Uhuru Kenyatta asingeshinda labda asubiri miaka ijayo na si kwenye uchaguzi huu.
Aliongea maneno haya kwa msisitizo na kurudiarudia sana na kwa mujibu wake utabiri huo alikuwa ameoteshwa na mungu wake.
Huyo ni MZEE WA UPOFU. Kazi yake ni kupofusha watu akili na kuwalia hela zao hapohapo madhabahuni. Ni moja kati ya matapeli wa nchi hii anayejificha kwenye kichaka cha dini.
Mchungaji Anton Lusekelo au kwa jina maarufu la Mzee wa upako tarehe 31 januari 2013 ,ndani ya kanisa lake alisema Raila Odinga ndiye angeshinda uchaguzi wa Kenya na Uhuru Kenyatta asingeshinda labda asubiri miaka ijayo na si kwenye uchaguzi huu.
Aliongea maneno haya kwa msisitizo na kurudiarudia sana na kwa mujibu wake utabiri huo alikuwa ameoteshwa na mungu wake.
Yap!..alikuwa sahihi kabisa,Uhuru amechagulia kiukabila,Odinga ni chaguo la Mungu kwa Wakenya
Aaaagh! Kumbe ni utabiri? Basi yuko sahihi maana kubahatisha kwa kusoma alama za nyakati. Ila angesema ni unabii lazima ingekuwa hivyo. Kwa Mungu hakuna utabiri bali unabii. Mzee wa upako ni msanii wewe huwa huoni akiwa jukwaani hana tofauti na akina Juma Nature maana huwa watu wanaenda kumtuza jukwaani kama vile mcheza show! Na amekaa kimipasho zaidi, lakini kubwa ambalo nataka mniambie hive leo ni lini mmemuona akisoma Bible katika vipindi vyote iwe kanisani kwake au katika media?. Au ndio kameza mistari?
Mungu anauzwa stationary shop atakuambia ukweli !?
Alikwishasema hata kazi ya uchungaji ni usanii, tusubiri atawaambia nini waumini wake, ndoto ilikuwa wongo? Na kama ndivyo kwahiyo alioteshwa na mapepo? Hapa ndio inapothibitisha kuwa sio kila wanalosema latoka kwa Mungu wengine ni kwa tamaa zao.
MKUU IGWE
Mm cmwamini kwa yote kwanza hilo jina analojiita mzee wa upak mm naona
ni kiburi tu jiulize kina paulo walifanya mangapi ktk injili lakini
hawakujiita majina kama hayo lakini leo utasikia mara nabii na mtume
mara ngurumo cjui mara brudoza hovyooooo.