IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,737
- 8,176
Huyu Mchungaji bila shaka ni mjaluo! tumechoka na kauli hizi za kuoteshwa na Mungu! Babu wa Loliondo alioteshwa na Mungu atibu watu na Kikombe matokeo yake tumeona! Maaskofu mwaka 2005 walituambia Kikwete ni chaguo la Mungu leo wamemgeuka sasa sijui Mungu kawaambia nini tena? sasa tungoje uchaguzi wa 2015 sijui wataoteshwa nani!
Ni mnyakyusa mkuu.