johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,168
- 142,285
Waziri mkuu mstaafu mzee Sumaye ameviasa vyama vya siasa na hasa vya upinzani kuwa na uvumilivu tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ili kuilinda amani yetu.
Sumaye amewaasa viongozi wa vyama vya siasa kukumbuka kuwa nchi iliyovurugwa na amani kupotea huwa haitawaliki.
Kwahiyo pasipo na amani sote tutavurugikiwa pasipo kujali itikadi na hata hao wapinzani wakishinda wakati amani imetoweka watatawalaje?....ameuliza Sumaye
Mzee Sumaye alikuwa akihojiwa katika kipindi kilichorushwa na Star tv.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Sumaye amewaasa viongozi wa vyama vya siasa kukumbuka kuwa nchi iliyovurugwa na amani kupotea huwa haitawaliki.
Kwahiyo pasipo na amani sote tutavurugikiwa pasipo kujali itikadi na hata hao wapinzani wakishinda wakati amani imetoweka watatawalaje?....ameuliza Sumaye
Mzee Sumaye alikuwa akihojiwa katika kipindi kilichorushwa na Star tv.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!