Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Ndio kaja Lissu baba lao Sasa, umemuona na chembe yeyote ya chama tawala?Wavumilie muda wao wa kutawala bado maana hawana jipya zaidi ya ku copy na ku paste kutoka chama tawala.
Niambie lini wapinzani walisimamisha mgombea awe rais au ubunge hana chembe chembe za chama tawala?
Hahahahhahaaaa hivi viamri mnavyowapa polisi hivi Sasa wanawasikiliza ndio vinawapa jeuri eti?Mwaga mkojo tu barabarani acha damu utaumia mwaga mkojo tu hapo ndo utajua mbingu si Dunia
Mie huwa sielewi,why wapinzani tu kila mara ndo watakiwe kuwa wavumilivu? na huo uvumilivu ni dhidi ya nani?Waziri mkuu mstaafu mzee Sumaye ameviasa vyama vya siasa na hasa vya upinzani kuwa na uvumilivu tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ili kuilinda amani yetu.
Sumaye amewaasa viongozi wa vyama vya siasa kukumbuka kuwa nchi iliyovurugwa na amani kupotea huwa haitawaliki.
Kwahiyo pasipo na amani sote tutavurugikiwa pasipo kujali itikadi na hata hao wapinzani wakishinda wakati amani imetoweka watatawalaje?....ameuliza Sumaye
Mzee Sumaye alikuwa akihojiwa katika kipindi kilichorushwa na Star tv.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Amewataka wavumilie nini?
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Watu tunataka amani itoweke ili wote tukiona tunaweza, kuharibikiwa then tutaanza kuheshimiana going forward na huu ujinga wa mlikosea kuchagua hutauona tenaWaziri mkuu mstaafu mzee Sumaye ameviasa vyama vya siasa na hasa vya upinzani kuwa na uvumilivu tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ili kuilinda amani yetu.
Sumaye amewaasa viongozi wa vyama vya siasa kukumbuka kuwa nchi iliyovurugwa na amani kupotea huwa haitawaliki.
Kwahiyo pasipo na amani sote tutavurugikiwa pasipo kujali itikadi na hata hao wapinzani wakishinda wakati amani imetoweka watatawalaje?....ameuliza Sumaye
Mzee Sumaye alikuwa akihojiwa katika kipindi kilichorushwa na Star tv.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Kupokonywa mashambaAmewataka wavumilie nini?
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Mkuu leo akili zimekutembelea kidogo aisee,Mungu akusaidie uendelee hivyo hivyoMsingi wa amani ni haki.
Kwani wewe unadhani upinzani ni nini?Wavumilie muda wao wa kutawala bado maana hawana jipya zaidi ya ku copy na ku paste kutoka chama tawala.
Niambie lini wapinzani walisimamisha mgombea awe rais au ubunge hana chembe chembe za chama tawala?
Amewataka wavumilie nini?
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Pale ambapo asiyejua nini maana ya uvumilivu anashauri watu uvumilivu, alikua CCM akishindwa kuvumilia akaondoka, Chadema uvumilivu umemshinda Leo anafundisha watu uvumilivu.Waziri mkuu mstaafu mzee Sumaye ameviasa vyama vya siasa na hasa vya upinzani kuwa na uvumilivu tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ili kuilinda amani yetu.
Sumaye amewaasa viongozi wa vyama vya siasa kukumbuka kuwa nchi iliyovurugwa na amani kupotea huwa haitawaliki.
Kwahiyo pasipo na amani sote tutavurugikiwa pasipo kujali itikadi na hata hao wapinzani wakishinda wakati amani imetoweka watatawalaje?....ameuliza Sumaye
Mzee Sumaye alikuwa akihojiwa katika kipindi kilichorushwa na Star tv.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Experience ni mwalimu mzuri!Pale ambapo asiyejua nini maana ya uvumilivu anashauri watu uvumilivu, alikua CCM akishindwa kuvumilia akaondoka, Chadema uvumilivu umemshinda Leo anafundisha watu uvumilivu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni zamu ya CCM kuwa wavumilivu, kinyume na hapo damu (ya CCM) itamwagika!
Inawezekana ila siwezi kusema hana chembe chembe za chama tawala ni mapema mno kubashili hayo,muda utaongea tuvute subira mkuu.Ndio kaja Lissu baba lao Sasa, umemuona na chembe yeyote ya chama tawala?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana