Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,409
- 31,394
Tafadhali,dakika chache tu PM zakutosha zimeanza kumiminika! usinitibulie dili.Msalimie bibi
Tafadhali,dakika chache tu PM zakutosha zimeanza kumiminika! usinitibulie dili.Msalimie bibi
Naona niweke mkongojo pembeni, natangaza ujana kwa kuingia MMU na love connect. Subirini akina King'asti, Preta watawapa feedback!
Hebu soma hii PMNina hakika Kongosho hakosi..I bet!!
wee babu huyu, ndevu zake zishakuwa kama unela.
Hebu soma hii PM
'' Kaka Nguluvi, what's up! ukiacha thoda unakunywa nini zaidi? Mi napenda wine, aftena napenda vi-top tank natupia na mkoba! Hobi yako ni nini kwa sanaaa! c ya mmmwwwa!''
Wewe, Kongosho na Katavi mnitue, tena mnikome! khaa! eti mkongojo, si kuchuliana huku, tafazalini.
Ngoja nijibu PM
Hebu soma hii PM
'' Kaka Nguluvi, what's up! ukiacha thoda unakunywa nini zaidi? Mi napenda wine, aftena napenda vi-top tank natupia na mkoba! Hobi yako ni nini kwa sanaaa! c ya mmmwwwa!''
Wewe, Kongosho na Katavi mnitue, tena mnikome! khaa! eti mkongojo, si kuchuliana huku, tafazalini.
Ngoja nijibu PM
Huwa mnaanza hivyohivyo...Kesho utasema mvi zake kama gold...Keshokutwa: Babu na wewe una utani khaa mi sipendi.
Mtondogoo sasa; Babu ukivaa saspenda unakuwa hendisam...Mchezo umekwisha.
In Box inajaa kwa PM!hongera kama umepata hii PM, angalia wasile mafao yako ya uzeeni.
Ukiona vipi, kimbia sana.
Da mkuu wewe una ujamaa na kina Bwanga?In Box inajaa kwa PM!
Hivi kwanini mumeng'ang'ania neno uzee, kama vipi si bora mniite dingi! neno uzee linatibua nzi jamani! Tena sasa nitaweka signature ' Nguruvi Bwanga la Tanga'
In Box inajaa kwa PM!
Hivi kwanini mumeng'ang'ania neno uzee, kama vipi si bora mniite dingi! neno uzee linatibua nzi jamani! Tena sasa nitaweka signature ' Nguruvi Bwanga la Tanga'
ha haaaaaa, umeingia chaka ya kufa mtuHata mi nimeshangaa.. Ila wewe Fixed Point utakuwa 33.....:first:
ha haaaaaa, umeingia chaka ya kufa mtu