Baba wa Taifa huwa ni mmoja tu ,wala Mzee hana Sifa ya kuwa Baba wa TaifaNi Jambo lililo wazi kwamba Mzee Mwinyi ni mtu mwema mpole mnyenyekevu na mkarimu asie na makuu. Alipaswa kuwa na nguvu baada ya Mwalimu kuondoka kwasababu ya kigezo cha seniority list.
Lakini maboko yake yalimkosesha hadhi hiyo na kupewa Mkapa. Hebu fikiria mfano huu mdogo.
Eti yeye Mzee Mwinyi anamhusudu Magufuli na kwamaneno yake anaongoza nchi vizuri sana. Mbaya zaidi, anatamani hata tuvunje katiba ili Magufuli abaki madarakani. Kweli hii ni hadhi ya mtu kuwa na hadhi ya pili next from Nyerere?
Mkapa deserved it kwasababu alithubutu kumkemea JPM waziwazi kama tu Mwalimu alivyofanya kwa Mwinyi.
Unakumbuka jina la aliyempiga kibao?Kuna vijana watakuja kuuliza alie mpiga ni nani..
Unafahamu kwamba inasemekana kuna vikongwe wachawi kupindukia?Huyu mzee mwenye enzi Mungu amemjalia maisha marefu ana miaka 94 na bado yuko vizuri akili yake iko timamu kuliko sehemu kubwa ya member wa JF. Je hakuna cha kujifunza? Tafakari
Vipi ile ahadi aliyoitoa Mungu? Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na kheri duniani? Tuanzia hapaUnafahamu kwamba inasemekana kuna vikongwe wachawi kupindukia?
Kiimani Wakati mwingine binadamu tunapewa nafasi ya kuishi miaka mingi ili tupate nafasi ya kuacha maovu na kutubu.
Please, nisiwekewe maneno kwamba namuongelea mzee mwinyi. Nimekujibu tu ishu ya kuishi miaka mingi.
Vipi ile ahadi aliyoitoa Mungu? Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na kheri duniani? Tuanzia hapa
Kuishi miaka mingi hakutokani na ahadi hiyo pekee. Kila kitu kina exceptional zake, hata MUNGU naye ana exceptional zake, wapo watoto wachanga wanafariki bila kujua kuwa kuna ahadi ya kuishi miaka mingi.
Aliempiga mwinyi Kofi alikufa mwaka juzi.Unakumbuka jina la aliyempiga kibao?
Ingawa niliona kwenye tv hata sura sikumbuki nakumbuka jamaa alikua na baraghashia ila vazi sikumbuki kama ilikua kanzu ya hughurungi au shati jeupe na suruali nyeusi
Check post no 30 mkuuVipi ile ahadi aliyoitoa Mungu? Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na kheri duniani? Tuanzia hapa
MmmmhNyerere alikuwa na akili ila akishindwa kutumia akili zake kipindi cha mwisho kuwa na maono juu ya uelekeo wa dunia kutoka ujamaa kwenda ubepari. Kiburi chake ndio kimesababisha hadi sasa tupo nyuma kimaendeleo.
Nakumbuka enzi zake, mke wake aliifanya ikulu kuwa ofisi ya wapiga deal, mpaka Nyerere akasema
Na nyerere umemsahau mbona?Jana kwenye hotuba yake nilipatwa na mshangao, alimsifia sana mkapa kwa kukuza sana uchumi, then akaja kumsifia Magufuli kwa kuipeleka nchi mbele kwamba aliitoa nchi kubaya. Hii inamaanisha yeye Mwinyi na Kikwete waliiharibu nchi au sio?
Sasa tumwombee JK maisha marefu, maana huyu chakubanga wa Sasa bila JK ataizamisha nchi shimoniNi Jambo lililo wazi kwamba Mzee Mwinyi ni mtu mwema mpole mnyenyekevu na mkarimu asie na makuu. Alipaswa kuwa na nguvu baada ya Mwalimu kuondoka kwasababu ya kigezo cha seniority list.
Lakini maboko yake yalimkosesha hadhi hiyo na kupewa Mkapa. Hebu fikiria mfano huu mdogo.
Eti yeye Mzee Mwinyi anamhusudu Magufuli na kwamaneno yake anaongoza nchi vizuri sana. Mbaya zaidi, anatamani hata tuvunje katiba ili Magufuli abaki madarakani. Kweli hii ni hadhi ya mtu kuwa na hadhi ya pili next from Nyerere?
Mkapa deserved it kwasababu alithubutu kumkemea JPM waziwazi kama tu Mwalimu alivyofanya kwa Mwinyi.
Baba wa kamboUliona wapi mtu kuwa na baba wawili?
Mwalimu Nyerere ni baba wa Taifa mnataka na nyongeza ya baba.
Sent using Jamii Forums mobile app
tena mimi naona ile kibao haikumtosha.Vile vibao labda vilimvuruga akili