Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,160
Watoto wa generation hii hamuwezi kujua mchango wa Mzee Mwinyi katika nchi ya Tanzania, Sisi ndio tunajua, chuki zako dhidi ya rais wa sasa usizitumie kumchafua mzee wetu,
Kaa na wazazi wako wakupe historia ya nchi yako vizuri.
Kaa na wazazi wako wakupe historia ya nchi yako vizuri.