#COVID19 Mzee Makamba: Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki. Lazima wajue uhuru wao unaishia Bungeni

Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swala hili la chanjo.

Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.

Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.

Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.

=====

BAADHI ya viongozi waandamizi ndani ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali, wanadaiwa kuwa na mkakati wa makusudi wa kumdharau Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan.

Taarifa kutoka ndani ya chama hicho, zinasema hatua ya viongozi wake wakuu, kunyamazia matendo ya Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima na mwenzake, Humphrey Polepole, inatafsiriwa ni dalili tosha kuwa “wanamdharau na kumpuuza,” Rais Samia.

Polepole, ambaye ni mbunge wa kuteuliwa na Rais na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, pamoja na Askofu Gwajima, wamekuwa na kampeni ya wazi ya kupinga chanjo ya corona, kinyume na maelekezo ya chama chao.

Kutokana na hayo, Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Mzee Yusuf Makamba, Naibu Katibu Mkuu Bara wa NCCR-Mageuzi, Anthony Komu na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Profesa Edward Hoseah wamezungunzia kadhia hiyo na hatari wanayoiona ndani ya serikali na CCM.

Undani wake, soma Gazeti la Raia Mwema toleo la leo Ijumaa tarehe 20 Agosti 2021.
Namheshimu sana Mzee Makamba ila nimwambie tu kuwa huku Kudharauliwa na Kujaribiwa kwa Mwenyekiti wetu CCM Taifa na Rais Samia Suluhu Hassan ametaka mwenyewe.

Tulimuonya na alionywa sana tu tena hapa hapa JamiiForums kuwa kuna baadhi ya Watu kama akina Dotto, Mwigulu, Bashiru, Polepole, Diwani, Ummy, Jenister na Kheri James akatupuuza na kuendelea Kuwakumbatia na wengine hadi Kuwateua.

Mama Samia kayataka haya Mwenyewe.
 
Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swala hili la chanjo.

Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.

Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.

Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.

=====

BAADHI ya viongozi waandamizi ndani ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali, wanadaiwa kuwa na mkakati wa makusudi wa kumdharau Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan.

Taarifa kutoka ndani ya chama hicho, zinasema hatua ya viongozi wake wakuu, kunyamazia matendo ya Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima na mwenzake, Humphrey Polepole, inatafsiriwa ni dalili tosha kuwa “wanamdharau na kumpuuza,” Rais Samia.

Polepole, ambaye ni mbunge wa kuteuliwa na Rais na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, pamoja na Askofu Gwajima, wamekuwa na kampeni ya wazi ya kupinga chanjo ya corona, kinyume na maelekezo ya chama chao.

Kutokana na hayo, Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Mzee Yusuf Makamba, Naibu Katibu Mkuu Bara wa NCCR-Mageuzi, Anthony Komu na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Profesa Edward Hoseah wamezungunzia kadhia hiyo na hatari wanayoiona ndani ya serikali na CCM.

Undani wake, soma Gazeti la Raia Mwema toleo la leo Ijumaa tarehe 20 Agosti 2021.
Kasahau utovu wa nidhamu alioufanya yeye na mwanawe kwa mwenda zake, naona hapa ameanza kujikomba kwa mama ili amkumbuke mtoto wake, Mzee makamba hana tofauti na Steve Nyerere.
 
Mzee Makamba pindi akiwa katibu mkuu CCM kwa kitendo cha yeye kuwa sehemu ya kuweka wagombea dhaifu wa CCM, ilipelekea kuonekana wana uwezo mdogo kwenye kipindi cha TV TBC1, mchakato majimboni; hii ilipelekea TIDO Mhando kifanyiwa zengwe na kibarua chake cha u-boss kuota magugu.

Enzi za Mzee Makamba huyu huyu, Spika Sitta (mzee wa standard and Speed); aliweka viwango vya juu kwa kutotaka majibu mepesi kutoka kwa mawaziri bungeni. Bunge likawa huru kwa dhana ya mhimili unaoisimamia serikali.
Mzee Makamba na wenzake, wanamfanyia mtimanyongo Big Sam, baada ya kuja na hoja safari hii spika ni zamu ya wanawake.

Well, huyo ndio mzee Makamba ambae anakula pensheni ya ustaafu.
Makamba na mwanawe ni wanafiki sana.
 
Hata kama wanakosea, bado wana uhuru wa maoni. Na kama raia wengine, uhuru wao siyo bungeni tu.
 
Screenshot_2021-08-20-18-30-04-133_com.facebook.katana.jpg

Mkono wa baunsa
 
Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swala hili la chanjo.

Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.

Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.

Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.

=====

BAADHI ya viongozi waandamizi ndani ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali, wanadaiwa kuwa na mkakati wa makusudi wa kumdharau Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan.

Taarifa kutoka ndani ya chama hicho, zinasema hatua ya viongozi wake wakuu, kunyamazia matendo ya Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima na mwenzake, Humphrey Polepole, inatafsiriwa ni dalili tosha kuwa “wanamdharau na kumpuuza,” Rais Samia.

Polepole, ambaye ni mbunge wa kuteuliwa na Rais na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, pamoja na Askofu Gwajima, wamekuwa na kampeni ya wazi ya kupinga chanjo ya corona, kinyume na maelekezo ya chama chao.

Kutokana na hayo, Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Mzee Yusuf Makamba, Naibu Katibu Mkuu Bara wa NCCR-Mageuzi, Anthony Komu na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Profesa Edward Hoseah wamezungunzia kadhia hiyo na hatari wanayoiona ndani ya serikali na CCM.

Undani wake, soma Gazeti la Raia Mwema toleo la leo Ijumaa tarehe 20 Agosti 2021.
Hashtag GWAJIMA AFUKUZWE CCM ..
 
Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swala hili la chanjo.

Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.

Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.

Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.

=====

BAADHI ya viongozi waandamizi ndani ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali, wanadaiwa kuwa na mkakati wa makusudi wa kumdharau Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan.

Taarifa kutoka ndani ya chama hicho, zinasema hatua ya viongozi wake wakuu, kunyamazia matendo ya Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima na mwenzake, Humphrey Polepole, inatafsiriwa ni dalili tosha kuwa “wanamdharau na kumpuuza,” Rais Samia.

Polepole, ambaye ni mbunge wa kuteuliwa na Rais na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, pamoja na Askofu Gwajima, wamekuwa na kampeni ya wazi ya kupinga chanjo ya corona, kinyume na maelekezo ya chama chao.

Kutokana na hayo, Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Mzee Yusuf Makamba, Naibu Katibu Mkuu Bara wa NCCR-Mageuzi, Anthony Komu na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Profesa Edward Hoseah wamezungunzia kadhia hiyo na hatari wanayoiona ndani ya serikali na CCM.

Undani wake, soma Gazeti la Raia Mwema toleo la leo Ijumaa tarehe 20 Agosti 2021.

Uhiari wa hii chanjo uendelee kuheshimiwa. Maisha ya mtu sio mali ya chama. Kwa CCM kuweka msimamo kusichukuliwe kumaanisha kwamba mwanachama mmoja mmoja wa CCM haruhusiwi kuwa na msimamo unaotofautiana na wa chama chake hata kama hakisemei chama.

Mimi sijamsika Gwajima au Polepole akikisemea chama chake. Juhudi zozote za kuwanyamazisha ni juhudi za kukiuka dhana ya uhiari wa hii chanjo. Hata kama wanapinga hii chanjo hadharani waachwe wafanye hivyo, kwasababu hata wanaoiunga mkono nao wanafanya hivyo hadharani.

Lectures zote zinazotolewa na pro-vaccine crusaders na anti-vaccine crusaders zinaangukia kwenye “akili za kuambiwa” ambazo Watanzania watachanganya na za kwao na kuamua, kila mtu kivyake vyake, whether achanje au asichanje. Hiari iachwe itamalaki.
 
Wee Mzee Makamba Umeshajichokea.Waache Vijana Hawa akina GwajiBoy na polepole wawe huru kutoa Maoni yao.Zama zakusema zidumu fikra za Mwenyekiti zimezeeka Kama nyie mlivyozeeka.Mawazo na matisho Kama ya kwako Sio ya Zama hizi za ki-Digital.Wee Mzee vipi Wewe.
 
Mimi ninachojua chanjo ni hiari. Anayetetea kuchanja ana haki sawa na anayekataza watu wasichanje.

Hivyo, wote wapo sawa, wote haki zao ni sawa.
Unavyosema wewe tukiwa na serikali yaivi kila mtu na jambo lake, hatuwezi kuendelea. Serikali kama serikali inatakiwa iwe na mmsimamo mmoja , na iwe nchi moja na iendelee. Kustawi kwa umoja.
 
Makamba na mwanawe ni wanafiki sana.
Mwana wa Yusufu ambae ni January, Watanzania wameanza kumwona kama exceptional toka 2014, baada ya kuanza kuonekana kama Presidential material na 2015 kwenye mchakato ndani ya CCM akapenya kwenye 5 bora.

Bila shaka huo upekee ipo siku aka-bounce back na kuibukia IKULU ya magogoni; wakati utatujuza; ila mwana akiwa mkulu, ni nani ataweza kumsaidia achague maneno ya kusema???
 
Serikali yenyewe imekosa msimamo kwa kusema eti chanjo ni hiari.
Maana yake mtu yuko huru kujiua na kuuwa wengine.

The HALLMARKS of bad governance:
1. Ambiguity
2. Arbitrariness
3. Capriciousness

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Ni sawa tu zilivokuwa dharau za Kinana, Makamba Sr, Nape, J. Makamba kwa late Magu. Tena wao walifikia kumuita Rais mshamba. Bora hawa wa hoja mahsusi ya corona.
 
Unavyosema wewe tukiwa na serikali yaivi kila mtu na jambo lake, hatuwezi kuendelea. Serikali kama serikali inatakiwa iwe na mmsimamo mmoja , na iwe nchi moja na iendelee. Kustawi kwa umoja.
Wazo lako zuri, hivyo serikali inatakiwa iamue, kama kuchanja wote wachanje... Kama hamna kuchanja basi tusichanje.
 
Kuna hiyari ya kupokea au kukataa kupokea chanjo. Lakini nina shaka kama ni rukhsa kufanya kampeni ya kuipinga chanjo.
 
Back
Top Bottom