Waziri January Makamba anajua kulea na kufundisha uongozi, namuona Balozi Humphrey Polepole ameiva kiuongozi tofauti na zamani

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,003
20,662
Tangu Jamuary Makamba awe Waziri wa Mambo ya Nje, hakika ameonyesha umahiri wake wa kuwapika viongozi. Humphrey Polepole ninayemuona, sio yule wa kipindi cha miaka kadhaa nyuma.

Miaka kadhaa nyuma, Polepole alikuwa anakata mauno kama Nyosh El Saadat wa FM Academia, sasa Boggoss Band. Sasa hafanyi hivyo, ametambua kwamba watanzania wanapenda kiongozi wao awe na staha, aondoe tabia za hovyo hovyo zinazoashiria utoto na ulimbukeni. Hongera sana January Makamba kwa kuwapa uongozi mabalozi wetu hasa Polepole.

Endelea "kumpika" katika mambo ya protocol na utendaji wa serikali. Ametokea katika NGO za mitaani mitaani huko alikiwq anatembea na kibegi cheusi kwapani, na hicho kibegi ndio ilikuwa ofisi yake. Hajajua kwamba kuna mambo lazima yahakikiwe kiserikali kabla ya kuwa rasmi,mfano matumizi ya dawa ambazo yeye anataka zije bila kujali kwamba lazima zihakikiwe na mamlaka za nchi, kuzipima kama hazina madhara, na pia kuwasiliana na WHO.

Na mwisho, hata mazungumzo yake na Jenerali Ulimwengu yalionyesha ukomavu na utulivu wa kiuongozi. Tofauti na zamani ambapo alikiwq mjivuni, mwenye utoto mwingi, anatukana viongozi mitandaoni. Binafsi nilimfananisha na Mdude Nyagali, moja ya vijana wa hovyo wa Chadema.

Kongole January Makamba kwa kazi nzuri, endelea kumsimamia kijana wako Humphrey Polepole.
 
We kweli chawa ..Yani January huyo Kichwa maji ndio wa kumfundisha uongozi Pole pole? Yani kweli hata ukimweka pamoja Pole Pole na January wajenge hoja au waongelee jambo lolote kila mtanzania anajua nani ni bora na wala hili halina mjadala kabisa!

Hahahahaha hivi kweli vichekesho kabisa…..😂😂😂😂
 
Pole pole ni kichwa ni vile huyo mama yenu anatishwa na kivuli chake huyo january hawezi kumfundisha komredi slowly slowly but sure!
Umemfuatilia Polepole alivyobadilika? Makamba ni mentor aisee
 
Polepole amekuwa balozi kabla ya January hajawa waziri wa mambo ya nje na amekuwa akibehave vizuri tangu mwanzo Sasa haya unayoyasema yametoka wapi na Yana lengo gani? Kila mtu anafanya kazi Kwa mujubu wa kiapo chale na kwa kuzingatia kanuni, taratibu na sheria na sio mtu
 
Polepole amekuwa barozi kabla ya January hajawa waziri wa mambo ya nje na amekuwa akibehave vizuri tangu mwanzo Sasa haya unayoyasema yametoka wapi na Yana lengo gani? Kila mtu anafanya kazi Kwa mujubu wa kiapo chale na kwa kuzingatia kanuni, taratibu na sheria na sio mtu
Amempika vizuri zaidi, sasa walau anaweza kuaminiwa
 
Tangu Jamuary Makamba awe Waziri wa Mambo ya Nje, hakika ameonyesha umahiri wake wa kuwapika viongozi. Humphrey Polepole ninayemuona, sio yule wa kipindi cha miaka kadhaa nyuma.

Miaka kadhaa nyuma, Polepole alikuwa anakata mauno kama Nyosh El Saadat wa FM Academia, sasa Boggoss Band. Sasa hafanyi hivyo, ametambua kwamba watanzania wanapenda kiongozi wao awe na staha, aondoe tabia za hovyo hovyo zinazoashiria utoto na ulimbukeni. Hongera sana January Makamba kwa kuwapa uongozi mabalozi wetu hasa Polepole.

Endelea "kumpika" katika mambo ya protocol na utendaji wa serikali. Ametokea katika NGO za mitaani mitaani huko alikiwq anatembea na kibegi cheusi kwapani, na hicho kibegi ndio ilikuwa ofisi yake. Hajajua kwamba kuna mambo lazima yahakikiwe kiserikali kabla ya kuwa rasmi,mfano matumizi ya dawa ambazo yeye anataka zije bila kujali kwamba lazima zihakikiwe na mamlaka za nchi, kuzipima kama hazina madhara, na pia kuwasiliana na WHO.

Na mwisho, hata mazungumzo yake na Jenerali Ulimwengu yalionyesha ukomavu na utulivu wa kiuongozi. Tofauti na zamani ambapo alikiwq mjivuni, mwenye utoto mwingi, anatukana viongozi mitandaoni. Binafsi nilimfananisha na Mdude Nyagali, moja ya vijana wa hovyo wa Chadema.

Kongole January Makamba kwa kazi nzuri, endelea kumsimamia kijana wako Humphrey Polepole.
Du, si kwamba polepole ndo mwandishi wa January
 
Tangu Jamuary Makamba awe Waziri wa Mambo ya Nje, hakika ameonyesha umahiri wake wa kuwapika viongozi. Humphrey Polepole ninayemuona, sio yule wa kipindi cha miaka kadhaa nyuma.

Miaka kadhaa nyuma, Polepole alikuwa anakata mauno kama Nyosh El Saadat wa FM Academia, sasa Boggoss Band. Sasa hafanyi hivyo, ametambua kwamba watanzania wanapenda kiongozi wao awe na staha, aondoe tabia za hovyo hovyo zinazoashiria utoto na ulimbukeni. Hongera sana January Makamba kwa kuwapa uongozi mabalozi wetu hasa Polepole.

Endelea "kumpika" katika mambo ya protocol na utendaji wa serikali. Ametokea katika NGO za mitaani mitaani huko alikiwq anatembea na kibegi cheusi kwapani, na hicho kibegi ndio ilikuwa ofisi yake. Hajajua kwamba kuna mambo lazima yahakikiwe kiserikali kabla ya kuwa rasmi,mfano matumizi ya dawa ambazo yeye anataka zije bila kujali kwamba lazima zihakikiwe na mamlaka za nchi, kuzipima kama hazina madhara, na pia kuwasiliana na WHO.

Na mwisho, hata mazungumzo yake na Jenerali Ulimwengu yalionyesha ukomavu na utulivu wa kiuongozi. Tofauti na zamani ambapo alikiwq mjivuni, mwenye utoto mwingi, anatukana viongozi mitandaoni. Binafsi nilimfananisha na Mdude Nyagali, moja ya vijana wa hovyo wa Chadema.

Kongole January Makamba kwa kazi nzuri, endelea kumsimamia kijana wako Humphrey Polepole.
February kitu pekee anachoweza ni kuiba mitihani, kuiba Kura, kuiba pesa za umma
na kuandiika risala
 
Tangu Jamuary Makamba awe Waziri wa Mambo ya Nje, hakika ameonyesha umahiri wake wa kuwapika viongozi. Humphrey Polepole ninayemuona, sio yule wa kipindi cha miaka kadhaa nyuma.

Miaka kadhaa nyuma, Polepole alikuwa anakata mauno kama Nyosh El Saadat wa FM Academia, sasa Boggoss Band. Sasa hafanyi hivyo, ametambua kwamba watanzania wanapenda kiongozi wao awe na staha, aondoe tabia za hovyo hovyo zinazoashiria utoto na ulimbukeni. Hongera sana January Makamba kwa kuwapa uongozi mabalozi wetu hasa Polepole.

Endelea "kumpika" katika mambo ya protocol na utendaji wa serikali. Ametokea katika NGO za mitaani mitaani huko alikiwq anatembea na kibegi cheusi kwapani, na hicho kibegi ndio ilikuwa ofisi yake. Hajajua kwamba kuna mambo lazima yahakikiwe kiserikali kabla ya kuwa rasmi,mfano matumizi ya dawa ambazo yeye anataka zije bila kujali kwamba lazima zihakikiwe na mamlaka za nchi, kuzipima kama hazina madhara, na pia kuwasiliana na WHO.

Na mwisho, hata mazungumzo yake na Jenerali Ulimwengu yalionyesha ukomavu na utulivu wa kiuongozi. Tofauti na zamani ambapo alikiwq mjivuni, mwenye utoto mwingi, anatukana viongozi mitandaoni. Binafsi nilimfananisha na Mdude Nyagali, moja ya vijana wa hovyo wa Chadema.

Kongole January Makamba kwa kazi nzuri, endelea kumsimamia kijana wako Humphrey Polepole.
You are not serious. Yaani Makamba amfundishe Polepole? Eh kweli kuna ajira mbali mbali nyingine za kujidhalilisha kupindukia
 
Tangu Jamuary Makamba awe Waziri wa Mambo ya Nje, hakika ameonyesha umahiri wake wa kuwapika viongozi. Humphrey Polepole ninayemuona, sio yule wa kipindi cha miaka kadhaa nyuma.

Miaka kadhaa nyuma, Polepole alikuwa anakata mauno kama Nyosh El Saadat wa FM Academia, sasa Boggoss Band. Sasa hafanyi hivyo, ametambua kwamba watanzania wanapenda kiongozi wao awe na staha, aondoe tabia za hovyo hovyo zinazoashiria utoto na ulimbukeni. Hongera sana January Makamba kwa kuwapa uongozi mabalozi wetu hasa Polepole.

Endelea "kumpika" katika mambo ya protocol na utendaji wa serikali. Ametokea katika NGO za mitaani mitaani huko alikiwq anatembea na kibegi cheusi kwapani, na hicho kibegi ndio ilikuwa ofisi yake. Hajajua kwamba kuna mambo lazima yahakikiwe kiserikali kabla ya kuwa rasmi,mfano matumizi ya dawa ambazo yeye anataka zije bila kujali kwamba lazima zihakikiwe na mamlaka za nchi, kuzipima kama hazina madhara, na pia kuwasiliana na WHO.

Na mwisho, hata mazungumzo yake na Jenerali Ulimwengu yalionyesha ukomavu na utulivu wa kiuongozi. Tofauti na zamani ambapo alikiwq mjivuni, mwenye utoto mwingi, anatukana viongozi mitandaoni. Binafsi nilimfananisha na Mdude Nyagali, moja ya vijana wa hovyo wa Chadema.

Kongole January Makamba kwa kazi nzuri, endelea kumsimamia kijana wako Humphrey Polepole.
Ni kweli amebadilika kidogo, ila sijui ni impact ya Makamba au mwenyewe kujifunza kupitia mapito

Nafikiri CCM kipindi kile Magufuli akiwa mwenyekiti ilikuwa na impact mbaya kwa viongozi wa chini ikizingatiwa Magufuli na yeye hakuwa "cultured" kiuongozi
 
Tukiweka mahaba kando, Polepole ni vile alichanganyikiwa awamu ya tano ila ni mtu makini na ana uelewa mpana sana.

Waheshumu watu ambao wameingia kwenye siasa na kutambulika bila kipigwa push na majina ya Baba zao mkuu!

Tulioanza kumjua Polepole kupitia mchakato wa katiba mpya tunamheshimu.
 
Tangu Jamuary Makamba awe Waziri wa Mambo ya Nje, hakika ameonyesha umahiri wake wa kuwapika viongozi. Humphrey Polepole ninayemuona, sio yule wa kipindi cha miaka kadhaa nyuma.

Miaka kadhaa nyuma, Polepole alikuwa anakata mauno kama Nyosh El Saadat wa FM Academia, sasa Boggoss Band. Sasa hafanyi hivyo, ametambua kwamba watanzania wanapenda kiongozi wao awe na staha, aondoe tabia za hovyo hovyo zinazoashiria utoto na ulimbukeni. Hongera sana January Makamba kwa kuwapa uongozi mabalozi wetu hasa Polepole.

Endelea "kumpika" katika mambo ya protocol na utendaji wa serikali. Ametokea katika NGO za mitaani mitaani huko alikiwq anatembea na kibegi cheusi kwapani, na hicho kibegi ndio ilikuwa ofisi yake. Hajajua kwamba kuna mambo lazima yahakikiwe kiserikali kabla ya kuwa rasmi,mfano matumizi ya dawa ambazo yeye anataka zije bila kujali kwamba lazima zihakikiwe na mamlaka za nchi, kuzipima kama hazina madhara, na pia kuwasiliana na WHO.

Na mwisho, hata mazungumzo yake na Jenerali Ulimwengu yalionyesha ukomavu na utulivu wa kiuongozi. Tofauti na zamani ambapo alikiwq mjivuni, mwenye utoto mwingi, anatukana viongozi mitandaoni. Binafsi nilimfananisha na Mdude Nyagali, moja ya vijana wa hovyo wa Chadema.

Kongole January Makamba kwa kazi nzuri, endelea kumsimamia kijana wako Humphrey Polepole.
Unajipendekeza kwa January - huyo hawezi kuwa Rais wa hii nchi , fanya mengine.

Afu usimfananishe Polepole wa kwenye Siasa na huyu wa International Relationship.

January anahitaji kukopa akili ili akaongee na Polepole.

Sasa sijui atamkopa nani, maana za Nape ni Mtama tupu. Utamsaidia mwenyewe huko
 
Unajipendekeza kwa January - huyo hawezi kuwa Rais wa hii nchi , fanya mengine.

Afu usimfananishe Polepole wa kwenye Siasa na huyu wa International Relationship.

January anahitaji kukopa akili ili akaongee na Polepole.

Sasa sijui atamkopa nani, maana za Nape ni Mtama tupu. Utamsaidia mwenyewe huko
Nimeongea ukweli, sijajipendekeza
 
You are not serious. Yaani Makamba amfundishe Polepole? Eh kweli kuna ajira mbali mbali nyingine za kujidhalilisha kupindukia
Polepole alikuwa hana etiquette za uongozi, alichojua ni kukashifu wapinzani wake halafu mwisho wa siku anakuja kuwanunua wahamie CCM na kisha kuanza kuwasifia tena
 
Unajipendekeza kwa January - huyo hawezi kuwa Rais wa hii nchi , fanya mengine.

Afu usimfananishe Polepole wa kwenye Siasa na huyu wa International Relationship.

January anahitaji kukopa akili ili akaongee na Polepole.

Sasa sijui atamkopa nani, maana za Nape ni Mtama tupu. Utamsaidia mwenyewe huko
Hahitaji kukopa, actually Makamba ni boss wa Polepole kwa sasa hivi, anampa maagizo tu....anayehitaji kukopa akili nadhani ni wewe kama hata hilo hufahamu
 
Back
Top Bottom