#COVID19 Mzee Makamba: Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki. Lazima wajue uhuru wao unaishia Bungeni

Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.

Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.

Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.

Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.

Chanzo: Magazeti

😂😂😂😂 Wala haituhusu hata kama chimeumana:

IMG_20210820_061852_470.jpg


Yaache yarukaruke yakanyagane yatajiju.
 
Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.

Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.

Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.

Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.

Chanzo: Magazeti
Huyu mzee atulie kwanza. asije akamharibia mwanae njia ya kwenda Ikulu.

Kipindi kile walipigwa pini kwa sababu hizi hizi na kutaka kujionesha yupo.
 
Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.

Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.

Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.

Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.

Chanzo: Magazeti
Analipiza kisasi?
 
Alitakiwa aendelee kuiweka chini volume kama alivyofanya tulipokumbwa na tukio zito kama Taifa. Kwa sasa kuiweka volume juu ataleta rabsha zisizoza msingi. Asilazimishe watu waanze kumshuku isivyotakikana! Yangu ni hayo.
aiseeeeeeee
 
Mzee kusema anadharauliwa ni dharau pia,

Katibu Mkuu si alishasema wameshaanza mchakato wa kuwashughulikia ?

Au mnataka na "mama" aanze kuwabatiza kwa moto🔥
labda yeye anaona mchakato unachelewa
 
alikaa kimya kabisa hahaha sasa hivi kuna uhuru na yeye ana washangaa kutumia uhuru wao
zee jinga hiloooooooooooooooooooooo lilikaa kimywa wakati wa Magu, leo linafugua domo kuzuia watu wasiseme wanayoona si mazuri.
 
Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.

Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.

Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.

Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.

Chanzo: Magazeti
Mzee Makamba pindi akiwa katibu mkuu CCM kwa kitendo cha yeye kuwa sehemu ya kuweka wagombea dhaifu wa CCM, ilipelekea kuonekana wana uwezo mdogo kwenye kipindi cha TV TBC1, mchakato majimboni; hii ilipelekea TIDO Mhando kifanyiwa zengwe na kibarua chake cha u-boss kuota magugu.

Enzi za Mzee Makamba huyu huyu, Spika Sitta (mzee wa standard and Speed); aliweka viwango vya juu kwa kutotaka majibu mepesi kutoka kwa mawaziri bungeni. Bunge likawa huru kwa dhana ya mhimili unaoisimamia serikali.
Mzee Makamba na wenzake, wanamfanyia mtimanyongo Big Sam, baada ya kuja na hoja safari hii spika ni zamu ya wanawake.

Well, huyo ndio mzee Makamba ambae anakula pensheni ya ustaafu.
 
Mzee makamba Kama unayajua hayo ilikuwaje na wewe ukamhujumu mwendazake? Una tofauti gani na gwajima?
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Wasilazimishe watu suala la chanjo..dharau inatoka wapi? Watu wana uhuru wa kutoa maoni. Wana haki ya kuchagua what's injected into their bodies. Pole Pole na Gwajima wametoa maoni and its constitutional. Hili suala linaweza kuiumiza sana ccm wasipokuwa makini.

Those of us who are not vaccinated are choosing to stay that way because we are allowed to make that choice for ourselves. My body, my choice, am tired with this bs on social media trolling us to get experimental vaccine that is not even approved.

What studies have been done showing the long term effects?? No one has even had the vaccine that long to conduct that type of study...
'Long term effects' zinatokana na kile kilichomo kwenye chanjo, sio 'speculations'. Wataalamu wamefanya 'sequencing' na kuthibitisha kwamba hakuna kilichomo kwenye chanjo kinachoweza kuwa na 'Long term effects'
 
Mimi ninachojua chanjo ni hiari. Anayetetea kuchanja ana haki sawa na anayekataza watu wasichanje.

Hivyo, wote wapo sawa, wote haki zao ni sawa.
Kufanya kazi au kutofanya kazi ni hiari lakini kuwashawishi watu wasifanye kazi, ni kosa.

Unaelewa?

Unaweza kuamua kutochanjwa lakini usishawishi watu kutochanjwa kwa sababu uamuzi wa Serikali na ushauri wa WHO, ni wananchi wapate chanjo. Hivyo huna haki ya kutumia ignorance ya watu kuwapotosha.

Haina tofauti na chanjo za polio, tetekuwanga, kifua kikuu, n.k; wananchi wanashauriwa kuwapeleka watoto wao kuchanjwa, hakuna anayekamatwa kwa nguvu kwenda kumchanja mtoto wake lakini ukipatikana unashawishi wazazi wasiwapeleke watoto wao kupata chanjo, ni kosa kwa sababu unakwenda kinyume na sera ya Taifa na miongozo ya WHO.
 
Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.

Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.

Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.

Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.

Chanzo: Magazeti
Makamba nae anafungua kinywa chake against hiyo miamba?
Angekaa kimya tu uwezo wake mdogo mno.
 
Back
Top Bottom