Kiukweli huyu mzee alikua mchekeshaji haswaa bonge la comedian
Mimi ni miongoni mwa watu waliopenda sana sanaa yake hususan movie zake za vichekesho
Hatokaa hatokee kwa sasa hayupo wala cjaona aliyemzidi au hata kumkaribia majuto kwa comedy
Ila kinachoniuma ni kimoja wasanii maarufu kama hawa wangekua europe wangekua mabilionea ila inasikitisha sana kuona wasanii kama mzee majuto na bibi kidude na wengineo wengi wanaish maskini wakati wamefanya kazi kubwa
Nina wasiwasi huenda kuna watu wanakula na kuwanyonya wasanii
Nimalizie kwa kusema jaman cc wabongo tuachen unafiki maana majuto aliugua sana akawa anaomba msaada huku na kule aende india ni wachache sana walichanga eti leo kafaa mnamwaga mirambi rambi na kumpost mara wengine wanatoa misaada ya msiba mxiiiiiiew kwanini mtyu akiwa hai tusimthamini lakini akishakufa tunaleta unafiki oooh rip ooooh nichangia
kwanini msijitoe akiwa hai?mpk afe tu ndo mjitolee mxxieewww
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.