Mzee David Wakati Katutoka Leo

RIP David Wakati: Nilianza Rap kabla ya FM, Nilirap wakati ule David wakati ni Mkurugenzi wa AM
 
Kwa niaba yangu na JF tumepokea kwa masikitiko taarifa ya msiba huu mkubwa kwenye tasnia ya Habari nchini..

Roho yake ipumzishwe kwa amani na Mungu awafariji wafiwa na kuwapa ujasiri na subira ktk kipindi hiki kigumu na cha masikitiko kwao na kwetu sote.
 
RIP Mzee Wakati, nakumbuka enzi zile ukisikia Taarifa ya Habari inasomwa na Mzee Wakati unjaua kuna jambo zito limetokea, au Taarifa nyeti sana.
 
Duh, nimekumbuka kile kipindi chake "nipe habari", kila Jumapili saa 8:15 mch na ule wimbo wake wa kufungia kipindi; KWAHERINI NDUGU, KWAHERINI NYOTE, MUNGU AKIPENDA: TUTAONANA TENA, MUNGU AKIPENDA, TUTAONANA TENA JAMANI, MUNGU AKIPENDA; TUTAONANA TENA...
Mungu amevuna kilicho chake.


...Wewe bila shaka utakuwa wa Long. Asante Mkuu. Umenikumbusha Long. RIP David Wakati.
 
Pumzika kwa amani Mzee David Wakati. Bwana alitoa na Bwana ametwa. Jina la bwana lihimidiwe.
 
Pumzika kwa amani Mzee David Wakati. Bwana alitoa na Bwana ametwa. Jina la Bwana lihimidiwe.
 
Alikuwa pia mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya shirika la posta tangu 1996 hadi 2005. Tunamkumbuka pia kwa uadilifu. Apumzike kwa amani.
 
Raha ya Milele umpe ee bwana,Na mwanga wa milele umwangazie.Apumzike kwa amani......Amen
 
Rip Mzee David Wakati!!

Mzee Wakati na wenzake walipomtembelea Rais Nyerere Ikulu enzi hizo
David Wakati.jpg



Mzee Wakati akiwa London enzi hizo
David Wakati 1.jpg
 
RIP David Wakati you were exemplary journalist. Siku hizi tuna waandishi makanjanja hadi unasikia kichefu chefu kusikiliza redio.
 
nilitegemea katika kuhazimisha miaka hamsini ya utanganyika tungesikia kitu kutoka kwake. Lakini haikuwa hivyo!
Mungu amsamehe kwa mapungufu aliyonayo na amlaze salama.

Rip d wakati
wale walio soma minaki au pugu moja kati ya shule hizi sikumbuki vizuri ni siku nyingi alishawahi kuzungumzia alisoma moja ya shule hizo wamempoteza mzee wao.

he kwani unajua alikuwa
katika hali gani?
May be alikuwa hajiwez
na ndo mana hukuskia
lolote toka kwake! R.i.p dw
 
Back
Top Bottom