Duh, nimekumbuka kile kipindi chake "nipe habari", kila Jumapili saa 8:15 mch na ule wimbo wake wa kufungia kipindi; KWAHERINI NDUGU, KWAHERINI NYOTE, MUNGU AKIPENDA: TUTAONANA TENA, MUNGU AKIPENDA, TUTAONANA TENA JAMANI, MUNGU AKIPENDA; TUTAONANA TENA...
Mungu amevuna kilicho chake.