Mkurugenzi wa zamani wa RTD , Mzee DAVID WAKATI amefariki dunia leo asubuhi katika hospital ya Regency Upanga. Mzee David Wakati tutakukumbuka kwa umahiri wako katika kazi. Ulikuwa mzalendo wa kweli!! Bwana ametoa na Bwana ametwaa
Tumshukuru Mungu wetu kwa maisha aliyompa David hapa duniani na akaweza kufanikiwa katika kazi zake, hasa katika ajira kwa kulitumikia Taifa letu akiwa mtumishi wa Radio Tanzania. Apumzike kwa AMANI!
Namkumbuka huyu wakati huo akiwa Mkurugenzi wa RTD,pia alikuwa akiendesha kipindi mashuhuri cha NIPE HABARI. Sauti yake ilikuwa nzito ya wastani isiyokuwa na mikwaruzo kama ya Jacob Tesha wala mbwembwe kama kama za wakina Jongo na Benedict Kikoti (Ben Kiko).
BWANA alitoa na BWANA ametwaa, Jina la BWANA libarikiwe!
Amina!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.