Mzee David Wakati Katutoka Leo

Mzee David Wakati Katutoka Leo

RIP Mzee D. Wakati.

Wafiwa poleni sana na Mungu awatie nguvu zaidi.
 
one of the best radio presenter the country has ever seen so far rest in peace mzee
 
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na wape watoto, wajukuu, ndugu, jamaa na marafiki nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu kwao~AMEN. Huyu amelitumikia Taifa letu kwa heshima kubwa sana.
 
Apumzike kwa amani.

Alikuwa mmoja wa waasisi wa uandishi Tanzania, na atakumbukwa na wadau wa habari na wananchi kwa ujumla.

Wanahabari wa enzi zile, hata hivyo, hawakupata nafasi ya ku live up to their full potential. Walikuwa wanatumikia a state-run press under Nyerere regime, a semi-autocratic ruler who tolerated little objectivity or criticism in news coverage.

Hivyo, mwanahabari wa Radio Tanzania ya David Wakati hakuwa mtu huru, na mwandishi asiye huru ni mwandishi ovyo. Waandishi wote wa zama zile za David Wakati wakawa waandishi ovyo, japo si kosa lao.
 
Tumepoteza mtu haswa , mtangazaji aliekuwa anajua kusema magharibi na sio mangaribi, alieweza kutofautisha baina ya Luanda na Ruanda. Mwenyezi mungu amlipe malipo yanayomstahili kulipwa,
 
"Kama hupigi nyimbo zangu redioni hamna maneno kwanza mie nilianza kurap kabla ya FM wakati David wakati ni mkurugenzi katika AM na watu walinifahamu"-Sugu

RIP David wakati
 
RIP Mzee David Wakati. Poleni akina Mandela
 
R.I.P Mzee David. Tutakukumbuka kwa utumishi uliotukuka. Namkumbuka sana hasa ktk mazungumzo baada ya habari.
 
Mkurugenzi wa zamani wa RTD , Mzee DAVID WAKATI amefariki dunia leo asubuhi katika hospital ya Regency Upanga. Mzee David Wakati tutakukumbuka kwa umahiri wako katika kazi. Ulikuwa mzalendo wa kweli!!
Bwana ametoa na Bwana ametwaa

MUNGU ailaze mahala pema peponi roho ya Marehemu David Wakati. Tutakukumbuka sana kama mtangazaji mahiri-hasa wa habari idhaa ya external service enzi hizo.
 
RIP DW.

Keneth na nduguzo, tunawaombea Mungu awatie nguvu na kuwafariji katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.
 
Back
Top Bottom