Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,773
Miaka 80? Kumbe mke wangu bado hajazaliwa 😂😂😂 niache haraka ya kuoa aseee! (Kinyakyusa)
Subiri ukifikia umri wa uzee,utakubali ilikuwa hujui.Vizee vingine vinajitakia vifo vyenyewe.
Miaka 80 kanataka kupiga mashine
Yaani Mimi nikivaa viatu vya mke wa marehemu vinanibana!!Apumzike kwa Amani!
Kweli huyo binti hapo kwa picha ndio alikua anaenda kulala na huyo Mzee?!
very trueNilikuwa nina mpango wa kuwa single lakini naghairi. Kuna hatari ya kuja kuzeeka nikaanza kukimbizana na mademu nikatia hasara familia na kuharibu historia yangu. Kwa kuzingatia mzee nani yule Waziri wa zamani aliyekufa baada ya kuoa pisi kali, na huyu wa sasa...
34,000si kweli, washenzi wezi polisiPolisi waongo sana, sio wa kuwaamini hata kidogo linapokuja swala la pesa
Muambie mzee ndosi akuachie mai wakoBado mzee ndosi .. ana miaka 70 + anakula vitoto vya miaka 25 . Anakaa kibaha. Lodge anaenda kutafuta tabata. Juzi kamtumia demu wangu 70,000 alafu anajifanya kakosea namba. Naamini siku zake na yey zinahesabika
Posho ya kumpa mrembo?😳😳😳Huwa wanalipwa posho?Elfu 35?
Sijui chumba alishalipa?
Nauli ya mrembo?
Matumizi wakiwa hapo? Beer, soda maji nk?
Posho ya kumpa mrembo?
Vyote ndani ya elfu 35 tu?