Huwezi jua wanajuana vipi na kwny simu alikua na bei gani usikute walikubaliana namna ingine ya malipo mana hapo kilichomleta demu ni pesa tu na si kingine njaa inamaliza sana dada zetu....Elfu 35?
Sijui chumba alishalipa?
Nauli ya mrembo?
Matumizi wakiwa hapo? Beer, soda maji nk? .
Posho ya kumpa mrembo?
Vyote ndani ya elfu 35 tu?
sponsor kafariki kakuachia my wakoBaby wa 80 yrs, loh
Aiseee hapo sasa pesa ndio mchawiPesa Pesaaaa
mtu kifa anajulikana ,daktari anathibitisha tu.Mzee wa miaka 80 alienda kupiga kazi ya miaka 33 huku akiwa na 37,000 mfukoni baada ya chipsi na mishkaki 3.
Inasemwa kwamba daktari ndiye anaweza declare mtu kufariki, hivyo huu uongozi wa gesti kudai uligundua mteja wao amefariki na kuamua kutaarifu polisi ni move sahihi kweli?
As walitumia kipimo gani? Achana na muvi ule mtindo wa kusikiliza kifua... Mimi naona na mtu aliyetoa taarifa ya kifo angehojiwa pia.
Alishalipa na alikuwa na juisi na maji ya kunywaElfu 35?
Sijui chumba alishalipa?
Nauli ya mrembo?
Matumizi wakiwa hapo? Beer, soda maji nk? .
Posho ya kumpa mrembo?
Vyote ndani ya elfu 35 tu?
Ova
Ukute ni juisi ya 700 na maji ya hill ya 600Alishalipa na alikuwa na juisi na maji ya kunywa
Ukute ni juisi ya 700 na maji ya hill ya 600
Dada chips kavu na mishkaki 3 ya jerojero
Bajeti nzima haikuzidi 50k
Hatari sanasponsor kafariki kakuachia my wako
Inatakiwa daktari asithinitishe ili hata mahakamani ikiulizwa mthibitishaji ni nani aonekane ni mtu mwenye utaalamu huo.mtu kifa anajulikana ,daktari anathibitisha tu.
hawajasema wamecomfirm kitaalam,ila walivyomuona katoa macho bila kupepesa kwa muda mrefu huku ameanza kuwa wabaridi hata mtoto mdogo anajua tu kama huyo mtu amekufa,daktari atakuja kuthibitisha tu badaeInatakiwa daktari asithinitishe ili hata mahakamani ikiulizwa mthibitishaji ni nani aonekane ni mtu mwenye utaalamu huo.
Katika ishu za mfano kiwiliwili kuachana na kichwa hapo sasa yeyote anaweza jua humu uhai umekwenda. Kwa kesi ya mzee daktari ndiye angeconfirm
Sawahawajasema wamecomfirm kitaalam,ila walivyomuona katoa macho bila kupepesa kwa muda mrefu huku ameanza kuwa wabaridi hata mtoto mdogo anajua tu kama huyo mtu amekufa,daktari atakuja kuthibitisha tu badae
Shemeji yako Mshana hatembei na hela nyingi mfukoniAlikuwa na sh 37,000 mfukoni na kachukua chumba Mbezi garden...