TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Mzee wa miaka 80 alienda kupiga kazi ya miaka 33 huku akiwa na 37,000 mfukoni baada ya chipsi na mishkaki 3.

Inasemwa kwamba daktari ndiye anaweza declare mtu kufariki, hivyo huu uongozi wa gesti kudai uligundua mteja wao amefariki na kuamua kutaarifu polisi ni move sahihi kweli?

As walitumia kipimo gani? Achana na muvi ule mtindo wa kusikiliza kifua... Mimi naona na mtu aliyetoa taarifa ya kifo angehojiwa pia.
mtu kifa anajulikana ,daktari anathibitisha tu.
 
Inatakiwa daktari asithinitishe ili hata mahakamani ikiulizwa mthibitishaji ni nani aonekane ni mtu mwenye utaalamu huo.

Katika ishu za mfano kiwiliwili kuachana na kichwa hapo sasa yeyote anaweza jua humu uhai umekwenda. Kwa kesi ya mzee daktari ndiye angeconfirm
hawajasema wamecomfirm kitaalam,ila walivyomuona katoa macho bila kupepesa kwa muda mrefu huku ameanza kuwa wabaridi hata mtoto mdogo anajua tu kama huyo mtu amekufa,daktari atakuja kuthibitisha tu badae
 
Nilikuwa nina mpango wa kuwa single lakini naghairi. Kuna hatari ya kuja kuzeeka nikaanza kukimbizana na mademu nikatia hasara familia na kuharibu historia yangu. Kwa kuzingatia mzee nani yule Waziri wa zamani aliyekufa baada ya kuoa pisi kali, na huyu wa sasa.

Kuna uwezekano mwamko wa ngono unahifadhiwa ila unakuja kuulipia kama ukijinyima usingizi inavyokuwa. Ndo kwanza below 25, mpaka nafikia 40 uko si nitakuwa nimeridhika.
 
Back
Top Bottom