TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

AFANDE RPC (R)RCO(R)STAFF OFFICER (R)OPP OFFICER (R)OCD MABWEPANDE


YAH: TUKIO LA KIFO CHA MASHAKA
GBA/IR/142/2021

MLAL: O.A.MSHANGAMA - ASP

Mlalamikaji anaeleza kuwa mnamo tarehe 16/1/2021 majira ya saa 18:00hrs akiwa kituo cha polisi Mabwepande alipokea taarifa toka kwa incharge CID Goba A/Insp. Gwake kuwa huko Mbezi Makonde katika hoteli ya Mbezi Garden kuna mteja amefariki chumbani(x)

Taarifa kamili ni

Kwamba mnamo tarehe 16/01/2021 majira ya saa 17:55hrs huko goba kituo cha polisi(x) a/insp.gwake mwakapande alipokea taarifa toka kwa meneja wa hoteli ya mbezi garden aitwaye Newton s/o Simkonda, Mnyiha, 44yrs, Mkristo, Meneja, mkazi wa Ukonga Majohe(x)kuwa huko Mbezi Garden hotelini kwake katika wlaya ya kipolisi Mabwapande na mkoa wa Kinondoni kuna mteja amefariki dunia chumbani alipokodi akiwa na mwanamke wake(x)baada ya taarifa hiyo kupokelewa Mkuu wa Upelelezi Mabwepande pamoja na I/C CID Goba walifika eneo la tukio na kumkuta mwanamke aitwaye Neema d/o Kibaya, Mpare, 33yrs, biashara, Mkristo, mkazi wa Goba Marobo aliyekuwa na marehemu na (x) kueleza kuwa alifika hotelini hapo leo tarehe 16/01/2021majira ya saa 15:00hrs walipokuwa wamekubaliana wakutane na kumkuta marehemu ameshachukua chumba namba 22 akiwa na maji na juice(x)

Baada ya kufika aliweza kuagiziwa chips na mishikaki mitatu na marehemu(x) akiwa anasubiria chips hizo huku wakiwa wanaendelea maandalizi ya tendo la ngono(x) ghafla alimwona marehemu akipumua kwa shida ndipo akatoka kwenda mapokezi kuomba msaada(x)baada ya taarifa wahudumu waliongozana na uongozi wa hoteli walifika na kumkuta marehemu haongei na hafanyi chochote huku akiwa ametoa macho ambapo uongozi wa hoteli ulibaini kuwa mteja wao amefariki dunia (x) ndipo meneja akachukua jukumu la kuwajulisha polisi ambapo walifika eneo la tukio.

Katika uchunguzi wa awali uliofanyika mwili wa marehemu haujakutwa na jeraha lolote (x). Katika upekuzi marehemu alikutwa na simu aina ya tecno na pesa Sh. 37,000/=na kitambulisho cha mpiga kura na kuweza kumtambua kwa jina la Davis Makerege Mabeba, Mluli, 80yrs, Mkristo, mkazi wa Goba kwa Ndambi(x)mwanamke aliyekuwa na marehemu chumbani anashikiliwa kituo cha polisi goba kwa mahojiano(x)tukio limekaguliwa na OC CID Mabwepande O. A Mshangama ASP akisaidiana na Incharge CID Goba A/Insp. Gwake pamoja na timu ya makachero (x)

Mwili wa marehemu umehifadhiwa Hospitali ya Mwananyamala kwa uchunguzi (x) taarifa kituoni na Newton S/O Simkonda na kupokelewa na J 92 PC Inocent leo 16/01/2021 saa18:44hrs(x) fcr maendeleo zitafuata(x)

-Mwisho-

Toka Crime Mabwepande

====

David Makerege (80) Mkazi wa Goba Dar es Salaam amefariki Dunia akiwa kwenye Hotel ya Mbezi Garden (chumba No.22), January 16, 2021, Polisi Kinondoni wamethibitisha.

“Kwenye chumba hicho tulimkuta pia Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Neema Kibaya (33) ambaye ameeleza kuwa Marehemu alikuwa ni Mpenzi wake”- POLISI

“Uchunguzi wa awali umeonesha mwili hauna jeraha lolote, baadaye mwili ulipelekwa Hospitali ya Mwananyamala kwa ajili ya uchunguzi zaidi na hifadhi” -POLISI

Hii imeisha, tuliobaki tusali sana na kumuamini YESU
 
Anyway amepigana vita..... ameumaliza mwendo. Ataonana na mjukuu wake kipenzi wa miaka 33 hapo baadae
 
Ila watu wana maneno kha

images (11).jpeg
 
Hilo na 37,000 mfukoni siwezi kuamini kabisa na mapolisi wetu hawa mh! 🤣
🤣 🤣
Hiyo pesa kwa huyo mzee ni ndogo sans. Polisi waliamua kuacha ya kuripotia tukio. Ila nina uhakika alikutwa na pesa zaidi ya hiyo. Hasa ukizingatia alikuwa hajamtoa huyo Dada na balance ya yeye kurejea kwake
 
AFANDE RPC (R)RCO(R)STAFF OFFICER (R)OPP OFFICER (R)OCD MABWEPANDE


YAH: TUKIO LA KIFO CHA MASHAKA
GBA/IR/142/2021

MLAL: O.A.MSHANGAMA - ASP

Mlalamikaji anaeleza kuwa mnamo tarehe 16/1/2021 majira ya saa 18:00hrs akiwa kituo cha polisi Mabwepande alipokea taarifa toka kwa incharge CID Goba A/Insp. Gwake kuwa huko Mbezi Makonde katika hoteli ya Mbezi Garden kuna mteja amefariki chumbani(x)

Taarifa kamili ni

Kwamba mnamo tarehe 16/01/2021 majira ya saa 17:55hrs huko goba kituo cha polisi(x) a/insp.gwake mwakapande alipokea taarifa toka kwa meneja wa hoteli ya mbezi garden aitwaye Newton s/o Simkonda, Mnyiha, 44yrs, Mkristo, Meneja, mkazi wa Ukonga Majohe(x)kuwa huko Mbezi Garden hotelini kwake katika wlaya ya kipolisi Mabwapande na mkoa wa Kinondoni kuna mteja amefariki dunia chumbani alipokodi akiwa na mwanamke wake(x)baada ya taarifa hiyo kupokelewa Mkuu wa Upelelezi Mabwepande pamoja na I/C CID Goba walifika eneo la tukio na kumkuta mwanamke aitwaye Neema d/o Kibaya, Mpare, 33yrs, biashara, Mkristo, mkazi wa Goba Marobo aliyekuwa na marehemu na (x) kueleza kuwa alifika hotelini hapo leo tarehe 16/01/2021majira ya saa 15:00hrs walipokuwa wamekubaliana wakutane na kumkuta marehemu ameshachukua chumba namba 22 akiwa na maji na juice(x)

Baada ya kufika aliweza kuagiziwa chips na mishikaki mitatu na marehemu(x) akiwa anasubiria chips hizo huku wakiwa wanaendelea maandalizi ya tendo la ngono(x) ghafla alimwona marehemu akipumua kwa shida ndipo akatoka kwenda mapokezi kuomba msaada(x)baada ya taarifa wahudumu waliongozana na uongozi wa hoteli walifika na kumkuta marehemu haongei na hafanyi chochote huku akiwa ametoa macho ambapo uongozi wa hoteli ulibaini kuwa mteja wao amefariki dunia (x) ndipo meneja akachukua jukumu la kuwajulisha polisi ambapo walifika eneo la tukio.

Katika uchunguzi wa awali uliofanyika mwili wa marehemu haujakutwa na jeraha lolote (x). Katika upekuzi marehemu alikutwa na simu aina ya tecno na pesa Sh. 37,000/=na kitambulisho cha mpiga kura na kuweza kumtambua kwa jina la Davis Makerege Mabeba, Mluli, 80yrs, Mkristo, mkazi wa Goba kwa Ndambi(x)mwanamke aliyekuwa na marehemu chumbani anashikiliwa kituo cha polisi goba kwa mahojiano(x)tukio limekaguliwa na OC CID Mabwepande O. A Mshangama ASP akisaidiana na Incharge CID Goba A/Insp. Gwake pamoja na timu ya makachero (x)

Mwili wa marehemu umehifadhiwa Hospitali ya Mwananyamala kwa uchunguzi (x) taarifa kituoni na Newton S/O Simkonda na kupokelewa na J 92 PC Inocent leo 16/01/2021 saa18:44hrs(x) fcr maendeleo zitafuata(x)

-Mwisho-

Toka Crime Mabwepande

====

David Makerege (80) Mkazi wa Goba Dar es Salaam amefariki Dunia akiwa kwenye Hotel ya Mbezi Garden (chumba No.22), January 16, 2021, Polisi Kinondoni wamethibitisha.

“Kwenye chumba hicho tulimkuta pia Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Neema Kibaya (33) ambaye ameeleza kuwa Marehemu alikuwa ni Mpenzi wake”- POLISI

“Uchunguzi wa awali umeonesha mwili hauna jeraha lolote, baadaye mwili ulipelekwa Hospitali ya Mwananyamala kwa ajili ya uchunguzi zaidi na hifadhi” -POLISI

MAFAO alikwenda kula na mjukuu wake MBEZI GARDEN , kwa kawaida mwanaume ukifika miaka 80 Plus ukapata binti mdogo hasa hawa watoto "wanaofinyia ndani" lazma upate mshtuko wa moyo , ufe.
 
AFANDE RPC (R)RCO(R)STAFF OFFICER (R)OPP OFFICER (R)OCD MABWEPANDE


YAH: TUKIO LA KIFO CHA MASHAKA
GBA/IR/142/2021

MLAL: O.A.MSHANGAMA - ASP

Mlalamikaji anaeleza kuwa mnamo tarehe 16/1/2021 majira ya saa 18:00hrs akiwa kituo cha polisi Mabwepande alipokea taarifa toka kwa incharge CID Goba A/Insp. Gwake kuwa huko Mbezi Makonde katika hoteli ya Mbezi Garden kuna mteja amefariki chumbani(x)

Taarifa kamili ni

Kwamba mnamo tarehe 16/01/2021 majira ya saa 17:55hrs huko goba kituo cha polisi(x) a/insp.gwake mwakapande alipokea taarifa toka kwa meneja wa hoteli ya mbezi garden aitwaye Newton s/o Simkonda, Mnyiha, 44yrs, Mkristo, Meneja, mkazi wa Ukonga Majohe(x)kuwa huko Mbezi Garden hotelini kwake katika wlaya ya kipolisi Mabwapande na mkoa wa Kinondoni kuna mteja amefariki dunia chumbani alipokodi akiwa na mwanamke wake(x)baada ya taarifa hiyo kupokelewa Mkuu wa Upelelezi Mabwepande pamoja na I/C CID Goba walifika eneo la tukio na kumkuta mwanamke aitwaye Neema d/o Kibaya, Mpare, 33yrs, biashara, Mkristo, mkazi wa Goba Marobo aliyekuwa na marehemu na (x) kueleza kuwa alifika hotelini hapo leo tarehe 16/01/2021majira ya saa 15:00hrs walipokuwa wamekubaliana wakutane na kumkuta marehemu ameshachukua chumba namba 22 akiwa na maji na juice(x)

Baada ya kufika aliweza kuagiziwa chips na mishikaki mitatu na marehemu(x) akiwa anasubiria chips hizo huku wakiwa wanaendelea maandalizi ya tendo la ngono(x) ghafla alimwona marehemu akipumua kwa shida ndipo akatoka kwenda mapokezi kuomba msaada(x)baada ya taarifa wahudumu waliongozana na uongozi wa hoteli walifika na kumkuta marehemu haongei na hafanyi chochote huku akiwa ametoa macho ambapo uongozi wa hoteli ulibaini kuwa mteja wao amefariki dunia (x) ndipo meneja akachukua jukumu la kuwajulisha polisi ambapo walifika eneo la tukio.

Katika uchunguzi wa awali uliofanyika mwili wa marehemu haujakutwa na jeraha lolote (x). Katika upekuzi marehemu alikutwa na simu aina ya tecno na pesa Sh. 37,000/=na kitambulisho cha mpiga kura na kuweza kumtambua kwa jina la Davis Makerege Mabeba, Mluli, 80yrs, Mkristo, mkazi wa Goba kwa Ndambi(x)mwanamke aliyekuwa na marehemu chumbani anashikiliwa kituo cha polisi goba kwa mahojiano(x)tukio limekaguliwa na OC CID Mabwepande O. A Mshangama ASP akisaidiana na Incharge CID Goba A/Insp. Gwake pamoja na timu ya makachero (x)

Mwili wa marehemu umehifadhiwa Hospitali ya Mwananyamala kwa uchunguzi (x) taarifa kituoni na Newton S/O Simkonda na kupokelewa na J 92 PC Inocent leo 16/01/2021 saa18:44hrs(x) fcr maendeleo zitafuata(x)

-Mwisho-

Toka Crime Mabwepande

====

David Makerege (80) Mkazi wa Goba Dar es Salaam amefariki Dunia akiwa kwenye Hotel ya Mbezi Garden (chumba No.22), January 16, 2021, Polisi Kinondoni wamethibitisha.

“Kwenye chumba hicho tulimkuta pia Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Neema Kibaya (33) ambaye ameeleza kuwa Marehemu alikuwa ni Mpenzi wake”- POLISI

“Uchunguzi wa awali umeonesha mwili hauna jeraha lolote, baadaye mwili ulipelekwa Hospitali ya Mwananyamala kwa ajili ya uchunguzi zaidi na hifadhi” -POLISI

Pisi kali imeua huko.

Mzee kala viagra na energy kutaka kumpelekea moto....
Kaenda motoni
 
Pisi kali imeua huko.

Mzee kala viagra na energy kutaka kumpelekea moto....
Kaenda motoni
Wamasai wanachanganya madawa ya kila aiana wanawapea wastafu , wanatuulia wazee wetu: TFDA na TBS wanafungia hospitali na ZAHANATI kwa kukosa mtaalamu aliyehitimu kuuza dawa ila WAMASAI wanaochanganya unga wa betri, dawa ya kukaushia maiti, ugoro, unga wa pembe za ndovu na energy drink na kuita mkongo wanaruhusiwa kuuza hadharani, wanasababisha watu kuua figo zao na kufa ghafla kama mzee wetu huyu mstaafu.
 
Wamasai wanachanganya madawa ya kila aiana wanawapea wastafu , wanatuulia wazee wetu: TFDA na TBS wanafungia hospitali na ZAHANATI kwa kukosa mtaalamu aliyehitimu kuuza dawa ila WAMASAI wanaochanganya unga wa betri, dawa ya kukaushia maiti, ugoro, unga wa pembe za ndovu na energy drink na kuita mkongo wanaruhusiwa kuuza hadharani, wanasababisha watu kuua figo zao na kufa ghafla kama mzee wetu huyu mstaafu.
Inauma sana
Halafu wengi wanaanguka
 
Back
Top Bottom