Mzee Butiku asitisha Mkutano wake na Wazee kuwa mubashara

Mzee Butiku asitisha Mkutano wake na Wazee kuwa mubashara

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Akizungumza leo Januari 22, 2026 katika Mkutanao na wazee wa jiji la Dar es Salaam, Mzee Butiku amesitisha mkutano huo kurushwa mubashara akiwataka waaandishi wa habari kuwapisha na kwamba watarejea baadae kusikiliza maazimio ya mkutano huo.

 
Akizungumza leo Januari 22, 2026 katika Mkutanao na wazee wa jiji la Dar es Salaam, Mzee Butiku amesitisha mkutano huo kurushwa mubashara akiwataka waaandishi wa habari kuwapisha na kwamba watarejea baadae kusikiliza maazimio ya mkutano huo.

Wazee wanaogopa Waandishi wa habari.

Kazi kweli kweli.
 
Akizungumza leo Januari 22, 2026 katika Mkutanao na wazee wa jiji la Dar es Salaam, Mzee Butiku amesitisha mkutano huo kurushwa mubashara akiwataka waaandishi wa habari kuwapisha na kwamba watarejea baadae kusikiliza maazimio ya mkutano huo.

Nchi ya kusadikika !! tumefika kuingizana gizani , nini hasa wanataka kuficha!!! Ni FUTUHI!!
 
Wakiitwa waandishi wa habari atasema wazee wengi wametaka chadema ifute
Samia akupigiwa kura hata na waislamu wenzie na wanawake wenzie walimpuuza ...kitendo kilicho onyesha kuwa hadi mashekh wamepuuzwa na wananchi baada ya wananchi kugundua kuwa mashekh wote asilimia 98% ni wapumbavu na wapuuzi hivyo wakawapuuza wasiwasikilize kuhusu kupiga kura ....nawapongeza waislamu wa kawaida kwa kuliona hili na kuchukua hatua sahihi ya kumkataa kahaba na wahuni wenzie kina Rostam
 
Samia akupigiwa kura hata na waislamu wenzie na wanawake wenzie walimpuuza ...kitendo kilicho onyesha kuwa hadi mashekh wamepuuzwa na wananchi baada ya wananchi kugundua kuwa mashekh wote asilimia 98% ni wapumbavu na wapuuzi hivyo wakawapuuza wasiwasikilize kuhusu kupiga kura ....nawapongeza waislamu wa kawaida kwa kuliona hili na kuchukua hatua sahihi ya kumkataa kahaba na wahuni wenzie kina Rostam
Mashehe wa Bakwata wote ni chawa wa Samuya wanachojua ni kugombea vijinyama toka Makkah
 
Akizungumza leo Januari 22, 2026 katika Mkutanao na wazee wa jiji la Dar es Salaam, Mzee Butiku amesitisha mkutano huo kurushwa mubashara akiwataka waaandishi wa habari kuwapisha na kwamba watarejea baadae kusikiliza maazimio ya mkutano huo.

kitumbua kimeingia mchanga
 
Kila ukweli unaosemwa kwenye huo mkutano ni ukweli usiopendeza viongozi majizi waliojipachika madarakani. Hivyo watakuwa wamepewa maagizo toka juu waache uchochezi.
 
Yaani watu wameuwawa wao wanaleta ngonjera
Sijui maridhiano
Huyu Mzee kumbe mpuuzi hivi
 
Hii Mbugi ngumu sana, Sasa tutakaaje kwenye maridhiano kama Taifa
 
M
Akizungumza leo Januari 22, 2026 katika Mkutanao na wazee wa jiji la Dar es Salaam, Mzee Butiku amesitisha mkutano huo kurushwa mubashara akiwataka waaandishi wa habari kuwapisha na kwamba watarejea baadae kusikiliza maazimio ya mkutano huo.

Panazidi kuchangamka
 
Tayari unaona dhamira ya hicho kikao. Wameitana kwa vigezo vizisivyoeleweka, wakatueleza sababu za kukutana hadharani, then majadiloano wqnaficha! Hayo maazimio watakuwa wanayo tayari!
 
Back
Top Bottom