Tunafuatilia kwa karibu comments zako.tumeshafahamu ulipoAsante mkuu lakini nitashtakiwa kwa kosa gani kwa mfano?
Tunafuatilia kwa karibu comments zako.tumeshafahamu ulipoAsante mkuu lakini nitashtakiwa kwa kosa gani kwa mfano?
Mshanaaaaaa![]()
![]()
![]()
ntakuja na jichawa hybrid jeupee... Malazi vepee?
Ni mwendo wa kufyatua tuu...![]()
![]()
... Neno linasema.. Basi zaaneni mkaongezeke muijaze dunia.... Ilikuwa ni pale bustani ya Eden








Kwa zile trip za kwenda kumuona mama kichanga nadhani akimaliza maternity leave basi na mimba changa itakuwamo alfajiri ile ya kwenda kuzibua mtoto masikio shubhamiiiiti zao.
Matembele ni matamu eeh oyaaaee matembelezi ni matamu kama muke wa ba*l*zi![]()

Kwa sisi wafugaji kuna aina fulani ya mbegu iwe mbuzi, ng'ombe au kondoo lazima zihasiwe na kama ni jogoo kama si sikukuu basi akija mgeni lazima awe kitoweoNi mwendo wa kufyatua tuu...![]()
![]()
... Neno linasema.. Basi zaaneni mkaongezeke muijaze dunia.... Ilikuwa ni pale bustani ya Eden
Hakuuza mechi.Kuna mtu alikuwa anapenda totoz kama mr handsome? Lakini ha kufika to this extent.
Haikuwa in publicHakuuza mechi.
A name or username or user ID can mean a lot in our life.. And it can affect us in a very strange way... Just like word crippled... Direct Swahili translation is kilema... If in any case this word appears in your name or username it may lead to a crippled mind....
Yule 'bingwa' sana, ni kubwa la maadui wote waliopitia pale kwenye kale kamchezo.Haikuwa in public
Yule born town halafu internationalHaikuwa in public
Mtani acha Uchochezi

......Ujumbe umefika mkuu, cheupe dawa amefanya makubwa. Kule Gemstones mzee baba ameshikilia mwenyewe, cheupe akitekeleza majukumu ya kulea kichanga.