Mzee baba, pakacha limeanza kuvuja ujue...

Mzee baba, pakacha limeanza kuvuja ujue...

Too low kiongozi
kabombe with all due respect naomba nikufahamishe jambo.. Nadhani unazifahamu hizi SCANIA za kisasa... Hizi gari zina gia 12.... 6low... 6high.. Combination ya hizi gears ndio zinaleta upekee kwenye hizo gari.... Huwa tuna tabia ya kudharau namba sifuri... Lakini tarakimu haziwezi kukamilika bila sifuri
 
Teteee....nimesikia hana mmoja anasema uchaguzi wa Kinondoni hautakuwa wa vyama ...hasira watazimalizia hapo wamtumie ujumbe Baba
 
Hii ni tamthilia au simulizi ?
Twende hospital au tutumie mizizi ?
Hivi hii ni ndoto au jinamizi ?
Na hasa hizi hasira za mkizi
Mambo yanatokea kama ajizi
Washangaa ya leo hukumbuki juzi
Yapo bayana kwa mbumbumbu na wajuzi
Wenyewe wameuchuna uso kama mbuzi
Usistaajabu raia kuwa mkimbizi
Hata nchi kavu waweza kupiga mbizi.
 
Hii ni tamthilia au simulizi ?
Twende hospital au tutumie mizizi ?
Hivi hii ni ndoto au jinamizi ?
Na hasa hizi hasira za mkizi
Mambo yanatokea kama ajizi
Washangaa ya leo hukumbuki juzi
Yapo bayana kwa mbumbumbu na wajuzi
Wenyewe wameuchuna uso kama mbuzi
Usistaajabu raia kuwa mkimbizi
Hata nchi kavu waweza kupiga mbizi.
 
daaa! we jamaa kwa fasihi ni nooma aisee, hahahahaaa chama la wana
Mshana Jr anatisha! Message inafika bila chenga! Kwanza ni burudani lakini pia imeshiba ujumbe mzito! Umewasemea wenye chama chao wamefurahi sana!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom